Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi
Huyu papa siye kabisa toka day one. Huu ukatoliki naweza uacha tu.

Ona sasa hata uhalalishaji wake ni kauli za kitatakitata mtupu.

Hivi mwanaume kwa mwanaume wakioana mbona hata ile kutimiziana ni jambo la kulazimisha katika uchafu?

Hata isingekuwa imani au dini au kitu gani, ile asilia pekee inagoma kabisa?

Ni uchaguzi wa kishenzi hata wanyama hayawani hawaendekezi.

Lakini una shangaa wapo viongozi wa imani wana jaribu kushawishi ueneaji wa tabia hovyo kabisa.

Kwamba kiongozi wa imani ana chagua mashoga kama kundi la kutetewa kwa nguvu zote katika makundi yote yanayoteseka hapa duniani.

Kuna maskini, wagonjwa, wanaokufa vitani sehemu mbalimbali duniani nk.

Hao wote si kitu. ila mashoga waonewe huruma kweli? Yaani baba aone huruma kwa mwanae wa kiume kutaka kuolewa na mwanaume mwenzake?

Sasa naafiki kuwa kazi ya shetani inaelekea kufanikiwa.

Nadhani huku Afrika imefika wakati kuachana na hizi imani za kuletwa.

Maana ni uthibitisho kuwa zilitumika kwa malengo ya kutuangamiza kimwili na kiroho.

Inakera.
 
1 Kor 6:9-11

1 Kor 6:9-11 SUV

Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi
 
Alichofanya papa ni sawa na kumkuta mwizi anapigwa mawe, ukatuliza kadamnasi yakuwa mwizi hapaswi kupigwa kwakuwa kuna haki za binadamu na kumpiga ni kumvunjia haki yake BILA kusema kuwa alichofanya mwizi ni KOSA/DHAMBI na anastahili hukumu.

Hawa viongozi wa dini wako kiupigaji zaidi hawakemei dhambi directly just ni kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.
Dhambi sio uhalifu duuh
 
Ni kweli Kanisa halibariki na halitokuja kubariki sababu hakuna mwenye mamlaka hiyo. Ila hizi confusion ndio zinazochanyanga hata waamini na kufikiri Kanisa linalegeza mafundisho yake.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Confusion husababishwa na aina ya reporters. Wengi huichukua kauli ilivyo na kwenda kuipambanisha dhidi ya uelewa wa waumini na kui report in a way itaonekana wakubwa wanayumbisha misingi.

Huu msimamo haujaanza na Pope Francis, uliwahi pia kutolewa na Pope J8hn Paul II, tofauti kipindi kile reporters hata kama si non bel8vers wa RC, walipoenda kuhoji maswali walizingatia mafundisho na misingi ya Kanisa wakapata ufafanuzi na walipoenda ku report, zili columns mbili za mwisho walikua wakirejea utamaduni na mafundisho ya kanisa.

Siku hizo wanabeba kauli ili wakagombanishe au wakachukulie points tatu mitaani na mitandaoni.
 
Acha mbambamba.
Shoga mzowefu gauni lako la harusi ilo hapo vaa ukaolewe sasa muda ndo huu.
images.jpeg
 
Huwa sichangii topics ambazo watu hutumia hisia zaidi kuliko akili Ila nitajibu kwa huu upotoshaji unaofanywa na hii thread

Papa hajasema ushoga sio dhambi na hana mamlaka hiyo ya kuihalalisha dhambi maana ukisema anayo bhasi utaamini papa yupo juu ya mamlaka ya Mungu, kitu ambacho si kweli

Ila kitu alichomaanisha
"Kila uhalifu ni dhambi Ila si kila dhambi ni uhalifu"

Ndio maana hata wewe upo huru kuisaliti ndoa yako utakavyo pasipo dini kusema upigwe mawe kwa sababu si uhalifu

Kingine Mungu aliiteketeza sodoma na Gomorah kwa sababu ya homosexuality lakini gharika ya Mungu iliteketeza kila mtu. hata Yona alitumwa kuwahubiria watu wa ninawi kuwa hasira ya Mungu ipo juu yao na mji ungeteketezwa
Hivyo, utaona kuwa HASIRA YA MUNGU IPO KATIKA KILA UHARIBIFU NA UCHAFU TUNAOUFANYA

Na kama haitoshi, biblia ikaainisha wazi kuwa ni dhambi gani isiyosameheka

M A R K O 3:28-29 “Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote; bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele”.


Hivyo, wewe mzinzi, mlevi, msengenyaji, mwizi na kila aina ya dhambi, HASIRA YA MUNGU IPO JUU YETU SOTE lakini Mungu kwa rehema zake, wote ni wake na tunastahili msamaha wake tukijinyenyekeza na kufanya toba

Hivyo,kwa kauli hii, papa hajakosea 🙏🏽🙏🏽
Umeanza vizuri sana ila umekuja kumaliza vibaya, kwenye mtungi kamnyweso hapo umetukosea sana yaaani mimi nilewe niwe sawa na aliyefirwa???
 
Back
Top Bottom