Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mbambamba.Sawa muunga mkono uchoko,ukute wewe ndiye mchokonolewaji mkuu
Mimi napinga ushoga na ni machukizo makubwa kwa Mungu.Mimi nawapiga paipu mabwabwa kama wewe.
Tena unaonekana una tigo laini yenye mafutaa.
Naomba.
Kaandike jina upate vilainishi vyako,vitapatikana kanisani kuanzia muda wowoteAcha mbambamba.
Embu Rais wako asimame hadharani akatae ushoga halafu iwe kampeni endelevu uone ni nini kitatokea.Kuna mtu amekulazimisha UFIRWE?
Dhambi sio uhalifu duuhAlichofanya papa ni sawa na kumkuta mwizi anapigwa mawe, ukatuliza kadamnasi yakuwa mwizi hapaswi kupigwa kwakuwa kuna haki za binadamu na kumpiga ni kumvunjia haki yake BILA kusema kuwa alichofanya mwizi ni KOSA/DHAMBI na anastahili hukumu.
Hawa viongozi wa dini wako kiupigaji zaidi hawakemei dhambi directly just ni kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa.
Kwa hiyo Google ndiyo imempa cheo hicho? Sijauliza kwa ubishi. Ukisema hivyo hata mzee wa Upako na Mwamposa nao wanaweza kujiita successors of Peter? Why Pope???
Mimi napinga ushoga na ni machukizo makubwa kwa Mungu.
Rais amekulazimisha UFIRWE?Embu Rais wako asimame hadharani akatae ushoga halafu iwe kampeni endelevu uone ni nini kitatokea.
Confusion husababishwa na aina ya reporters. Wengi huichukua kauli ilivyo na kwenda kuipambanisha dhidi ya uelewa wa waumini na kui report in a way itaonekana wakubwa wanayumbisha misingi.Ni kweli Kanisa halibariki na halitokuja kubariki sababu hakuna mwenye mamlaka hiyo. Ila hizi confusion ndio zinazochanyanga hata waamini na kufikiri Kanisa linalegeza mafundisho yake.
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Shoga mzowefu gauni lako la harusi ilo hapo vaa ukaolewe sasa muda ndo huu.Acha mbambamba.
Huu ukatoliki naweza uacha tu.
Hahahaha. Unajisumbua bure tu.Shoga mzowefu gauni lako la harusi ilo hapo vaa ukaolewe sasa muda ndo huu.View attachment 2495325
Umeanza vizuri sana ila umekuja kumaliza vibaya, kwenye mtungi kamnyweso hapo umetukosea sana yaaani mimi nilewe niwe sawa na aliyefirwa???Huwa sichangii topics ambazo watu hutumia hisia zaidi kuliko akili Ila nitajibu kwa huu upotoshaji unaofanywa na hii thread
Papa hajasema ushoga sio dhambi na hana mamlaka hiyo ya kuihalalisha dhambi maana ukisema anayo bhasi utaamini papa yupo juu ya mamlaka ya Mungu, kitu ambacho si kweli
Ila kitu alichomaanisha
"Kila uhalifu ni dhambi Ila si kila dhambi ni uhalifu"
Ndio maana hata wewe upo huru kuisaliti ndoa yako utakavyo pasipo dini kusema upigwe mawe kwa sababu si uhalifu
Kingine Mungu aliiteketeza sodoma na Gomorah kwa sababu ya homosexuality lakini gharika ya Mungu iliteketeza kila mtu. hata Yona alitumwa kuwahubiria watu wa ninawi kuwa hasira ya Mungu ipo juu yao na mji ungeteketezwa
Hivyo, utaona kuwa HASIRA YA MUNGU IPO KATIKA KILA UHARIBIFU NA UCHAFU TUNAOUFANYA
Na kama haitoshi, biblia ikaainisha wazi kuwa ni dhambi gani isiyosameheka
M A R K O 3:28-29 “Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote; bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele”.
Hivyo, wewe mzinzi, mlevi, msengenyaji, mwizi na kila aina ya dhambi, HASIRA YA MUNGU IPO JUU YETU SOTE lakini Mungu kwa rehema zake, wote ni wake na tunastahili msamaha wake tukijinyenyekeza na kufanya toba
Hivyo,kwa kauli hii, papa hajakosea 🙏🏽🙏🏽
Someni neno kwa neno alichosema Papa.Yalaaaaaaaa
Mama weeeeeeeeeee.......
Tumekwisha tumekwishaaaaaaa .......