Nani amempa u successor wa Peter? Kwa ushahidi upi? Wapi?
 
Wewe ni mmoja wao? Napata shida kuona mwanaume anatetea uchoko! Let alone in church!
 
...... Asante kwa ufafanuzi
MTAZAMO
Unajua hizo sheria za mashoga? Kwamba tuunge mkono haki za mashoga? Kwani tuna sheria ya kulinda walemavu wowote? Haki zenyewe ni za kishetani, ni juu ya haki ya mashoga kuoana!

Alipaswa ajikite kwenye injili na mambo ya kiraia yasipingane na Mungu. Sioni anatafuta msisitizo gani kwenye haya zaidi ya kuvuruga waamini.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Wewe unafaidika vipi na ushoga kuwa kosa la kisheria?
 
Noma sana dunia
 
Unajua haki za mashoga? Kwani mashoga wanataka sheria ipi zaidi ya hizi zilizopo za kiraia? Wewe ukiua shoga si mhalifu kama wengine? Kinachopiganiwa ni haki za ndoa na hapo ndio mzizi wa ushetani unapokomea.
Wapi aliposema haki za mashoga? Amezungumzia kuwa ni dhambi, ila sio uhalifu, na ni kweli kabisa. Wewe ukifumaniwa na mke wa mtu leo, hakuna sheria inayokupa adhabu, lakini ni dhambi.

 
Ni haramu au kwako wewe sio haramu? Wewe ni shoga? Unataka mwanao awe shoga?
Umeelewa kilichoandikwa? Au unasoma lakini uelewa ndiyo shida?
Badala ya kujishughulisha na hoja wewe unaanza kydandia watu ili wakubebe na utabebwa kweli.

Yeye amesema hilo tendo siyo uharifu bali ni dhambi.
Kuna mambo yanatafsiri uharifu, na dhambi ina tafsiri yake.

Haya hebu wewe tutafsirie uharifu wa hao watu?

Wenye uelewe mdogo ndiyo mmejiweka mstari wa mbele kupinga ushoga matokeo yake ninyi ndiyo chambo mnadakwa kilaini kabisa na kumegwa kimasikhara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…