Mnajichanganya, moja ya haki za mashoga ni kufunga ndoa huko sheria zilikopita. Unapanda nini ukiwa na sheria hizi? Kwa karne nyingi hakukuwa na haki za mashoga, tunatafuta nini sasa?

Tutajieni hizo haki za mashoga ambazo hawana wakati ni raia kama wengine. Hizi sheria zikipita alafu Padre akahubiri kuwa ushoga ni dhambi na ndoa zake ni laana unajua sheria hizo hizo zitatumika kuwafunga mapadre?

Sheria ya kutoa mimba unajua imefunga mapadre wanaopinga kuwa na hizo clinic legally? Hamjui kinachoendelea duniani na Pope analivua nguo Kanisa.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
ipo siku Papa atasema kanisa linakubaliana na ushoga,nasema ipo siku kama sio Papa huyu basi anaefata.
Kuna haja gani sasa ya kusema ushoga sio kosa wakati zipo nchi ushoga ni kosa na wanahukumiwa?,kiongozi wa Dini jambo kama hili baya la ushoga alitakiwa anyooke kwamba ushoga ni dhambi full stop.
 
ipo siku Papa atasema kanisa linakubaliana na ushoga,nasema ipo siku kama sio Papa huyu basi anaefata.
Kuna haja gani sasa ya kusema ushoga sio kosa wakati zipo nchi ushoga ni kosa na wanahukumiwa?
Basi usubiri kwanza ifike hiyo siku, usilazimishe ili upate cha kujadili sasa
 
Kuna mtu ameandika kuwa humu kuna watu wengi wavivu wa kusoma. Hebu onyesha mstari ambao amehimiza sheria za kiraia zipitishe haki ambazo Kanisa linapinga
Ukisema ushoga si uhalifu chanzo chake si sheria zilizopitishwa kuwa si uhalifu? Anaposema kanisa liwapokee kwani Kanisa lini limewakataa? Kanisa lifanye nini kipya?

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…