Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi
Huwa sichangii topics ambazo watu hutumia hisia zaidi kuliko akili Ila nitajibu kwa huu upotoshaji unaofanywa na hii thread

Papa hajasema ushoga sio dhambi na hana mamlaka hiyo ya kuihalalisha dhambi maana ukisema anayo bhasi utaamini papa yupo juu ya mamlaka ya Mungu, kitu ambacho si kweli

Ila kitu alichomaanisha
"Kila uhalifu ni dhambi Ila si kila dhambi ni uhalifu"

Ndio maana hata wewe upo huru kuisaliti ndoa yako utakavyo pasipo dini kusema upigwe mawe kwa sababu si uhalifu

Kingine Mungu aliiteketeza sodoma na Gomorah kwa sababu ya homosexuality lakini gharika ya Mungu iliteketeza kila mtu. hata Yona alitumwa kuwahubiria watu wa ninawi kuwa hasira ya Mungu ipo juu yao na mji ungeteketezwa
Hivyo, utaona kuwa HASIRA YA MUNGU IPO KATIKA KILA UHARIBIFU NA UCHAFU TUNAOUFANYA

Na kama haitoshi, biblia ikaainisha wazi kuwa ni dhambi gani isiyosameheka

M A R K O 3:28-29 “Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote; bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele”.


Hivyo, wewe mzinzi, mlevi, msengenyaji, mwizi na kila aina ya dhambi, HASIRA YA MUNGU IPO JUU YETU SOTE lakini Mungu kwa rehema zake, wote ni wake na tunastahili msamaha wake tukijinyenyekeza na kufanya toba

Hivyo,kwa kauli hii, papa hajakosea [emoji1431][emoji1431]
General hajakosea, kwa sababu Mungu na wahuruma sana, kwake Mungu pamoja na kuwa hiyo dhambi ya kukufuru Roho mtakatifu isiyo sameheka lakini bado asilimia kubwa ya maandiko ya Mungu yana msema ni mwenye kusamehe na kusahau, vipi ikiwa umemkufuru Roho ukatubia hatakusamehe na kusahau hilo kosa? Japo maelezo ya kina ni namna gani hiyo inayoweza kumkufuru Roho hakuna anae weza kutuambia.

(Nisamehewe kusema hivi) alichokosea Papa ni amejaribu kuwatetea kwa namna fulani kama kosa la kawaida kwa hao ndugu wa mapenzi ya jinsia moja, ubaya wa haya makosa ni kwa kizazi na kizazi, kama kizazi kilichotutangulia kingeachilia mianya kama hii unadhani hali ingekuwaje kwa sasa.

Ijulikane mwanaume ndiye anasimamisha kila kilicho simama, kuanzia familia taifa dini na dunia kwa ujumla, wengi wetu tumeona jinsi walivyo wanaume wanaoingikiwa jinsi walivyo, ni dhaifu sana, imagine asilimia zaidi ya 60 ya vijana wote wawe hivyo! Unadhani kuna kinachoweza kuwa kama kilivyo ? Kutakua na dini na kutakua na hao mapadre kweli?
Vipi kwa taifa ,vipi kwa familia na jamii kwa ujumla?

Kinachopaswa ni kupinga, kukataza, kukemea , kuchukua hatua kali hata kwa gharama ya uhai , ili kuokoa kizazi kijacho.

I'm so sorry kwa maoni yangu
 
ipo siku Papa atasema kanisa linakubaliana na ushoga,nasema ipo siku kama sio Papa huyu basi anaefata.
Kuna haja gani sasa ya kusema ushoga sio kosa wakati zipo nchi ushoga ni kosa na wanahukumiwa?,kiongozi wa Dini jambo kama hili baya la ushoga alitakiwa anyooke kwamba ushoga ni dhambi full stop.
Inawezekana anaizungumzia nchi aliyopo kuwa sio kosa. Nchi inayoamini ni kosa na iendelee kuwa hivyo ila yeye ameona sio uhalifu bali ni dhambi kama dhambi nyingine.
 
Zote mbili ni za kiwaki tu, kwani ungezaliwa china-budha, Europe-christians,india-hinduism ukija afrika ni majanga tu??

Kwa hiyo MUNGU, akija kutuadhibu je atanzia zama zile ambapo dini hailuwepo au zama hizi za kina gwajima,mwamposa na mazinge??
Kaka unatafuta ugomvi na wabantu wa JF!!!!!Wao wapo brain washed na Islamic naization na Christianism!!!!!Mpaka wanaukana uafrika wao!!!!Wanawaona wazungu na wayahudi na waarabu miungu watu kaka!!!!Unataka ugomvi kaka
 
Huyu papa siye kabisa toka day one. Huu ukatoliki naweza uacha tu.

Ona sasa hata uhalalishaji wake ni kauli za kitatakitata mtupu.

Hivi mwanaume kwa mwanaume wakioana mbona hata ile kutimiziana ni jambo la kulazimisha katika uchafu?

Hata isingekuwa imani au dini au kitu gani, ile asilia pekee inagoma kabisa?

Ni uchaguzi wa kishenzi hata wanyama hayawani hawaendekezi.

Lakini una shangaa wapo viongozi wa imani wana jaribu kushawishi ueneaji wa tabia hovyo kabisa.

Kwamba kiongozi wa imani ana chagua mashoga kama kundi la kutetewa kwa nguvu zote katika makundi yote yanayoteseka hapa duniani.

Kuna maskini, wagonjwa, wanaokufa vitani sehemu mbalimbali duniani nk.

Hao wote si kitu. ila mashoga waonewe huruma kweli? Yaani baba aone huruma kwa mwanae wa kiume kutaka kuolewa na mwanaume mwenzake?

Sasa naafiki kuwa kazi ya shetani inaelekea kufanikiwa.

Nadhani huku Afrika imefika wakati kuachana na hizi imani za kuletwa.

Maana ni uthibitisho kuwa zilitumika kwa malengo ya kutuangamiza kimwili na kiroho.

Inakera.
Ukiacha Ukatoliki sababu ya mtu hata Papa maana yake bado hujaijua imani. Jikite kujifunza imani hutoyumbishwa na kiumbe yeyote.

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Inawezekana anaizungumzia nchi aliyopo kuwa sio kosa. Nchi inayoamini ni kosa na iendelee kuwa hivyo ila yeye ameona sio uhalifu bali ni dhambi kama dhambi nyingine.
Papa ni kiongozi wa dini Duniani lakini,tena Dini yenye nguvu na ushawishi mkubwa tokea karne nyingi!.
 
Kama sio kosa, dhambi inatoka wapi? Huenda Mungu anafurahia kitendo cha watoto wake kugundua aina ya starehe.
 
Kaka unatafuta ugomvi na wabantu wa JF!!!!!Wao wapo brain washed na Islamic naization na Christianism!!!!!Mpaka wanaukana uafrika wao!!!!Wanawaona wazungu na wayahudi na waarabu miungu watu kaka!!!!Unataka ugomvi kaka
huo ugomvi naupata kuanzia kwenye familia yetu hata jamii inayonizunguka.

Jana nimekutana na sheikh mmoja wa mitaa ya home kaniuliza Mbona huonekani??, nikamwambia mambo mengi tu. Alivyoondoka mi nikamwangalia kisha nikajisemea "colonialism was a deadly weapon*
 
ipo siku Papa atasema kanisa linakubaliana na ushoga,nasema ipo siku kama sio Papa huyu basi anaefata.
Kuna haja gani sasa ya kusema ushoga sio kosa wakati zipo nchi ushoga ni kosa na wanahukumiwa?,kiongozi wa Dini jambo kama hili baya la ushoga alitakiwa anyooke kwamba ushoga ni dhambi full stop.
Bora yeye kawa muwazi kuliko lile dhehebu ambalo kila alhamis wanasema ni halal wanawake kuliwa ndogo na pia kuruhusu wanaume kujiremba kwa kupaka hena kama wanawake sasa hapo hakuna tofauti na ushoga au huijui kaka hiyo dini?????!!!Bora papa kawa muwazi
 
Back
Top Bottom