Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi
Hakika watu wanamuongelea siku nyingi sana.
Ila leo nimehakikisha mwenyewe kuwa ni mmoja kati ya Ma Anti Christ.
Wasabato wana hoja ya msingi kuhusu Papa.

Anachukua maagizo toka KWA black pope, ofisi ya black pope ipo vatican ghorofa la saba kwenda chini.
Black pope anapewa maagizo direct toka KWA lusifer.
White pope uchukua maagizo toka kwa Black pope na kuyaleta kwa wanadamu.
Papa huyu huyu ndie aliunga mkono utoaji mimba.
Leo anaunga mkono ushoga.
 
Hawa Keyboard Worriors wamezoea kusikia kauli tata za kuhamasisha makasiriko.

Papa kazungumza Ukweli. Kasema watu wote wana dhambi, hakuna mtu mwenye haki ya kuhukumu mwingine.

Ukweli mchungu. Sasa hawa Keyboard Worriors wanataka papa aseme mashoga wauwawe!! Na wanajiita WAKRISTU.

Kristu gani wa makasiriko huyo wanayemuabudu?
Mbona wezi na majambazi mnawahukumu? Basi na wao waacheni wafanye watakavyo watakuja kuukumiwa na mungu.
 
Mtu yeyeto anaependa Sana kukojolewa akili yake huwa na shaka.
Mwanamke mzinzi na asiye mzinzi thinking zao zipo tofauti mzinzi huwa na low thinking. Huwezi ukawa mwanaume shoga then uwe smart kichwani.
Mwanamke kukojolewa ni asili lengo kuu ni kuendeleza uzao wa Mwanadamu, mwanaume kukojolewa ni kuondolewa utu wake.
Mmh wewe unasema shoga hawezi kua smart kichwani wakati hata hizo nguo uvaazo zimekua designed na mashoga [emoji15]
 
Hello Wadau.

Papa Francis wa RC ya Vatican ameupiga Mwingi Kwa Kuunga mkono ushoga na kusema Mashoga sio wahaliifu, na kwamba ni Wana wa Mungu pia.[emoji849][emoji849]

Haijaeleweka mara Moja ikiwa huu ndio Msimamo wa Kanisa Katoliki au ni maoni ya binafsi ya Papa Francis.

Commets ziwe fupi fupi tafadhali.

------
Papa Francis amekosoa sheria zinazoharamisha mapenzi ya jinsia moja kuwa "sio haki", akisema Mungu anawapenda watoto wake wote jinsi walivyo na kuwataka maaskofu wa Kikatoliki wanaounga mkono sheria hizo kuwakaribisha watu wa LGBTQ kanisani.

"Kuwa mpenzi wa jinsia moja si kosa," Francis alisema wakati wa mahojiano Jumanne na The Associated Press.

Francis alikiri kwamba maaskofu wa Kikatoliki katika baadhi ya sehemu za dunia wanaunga mkono sheria zinazoharamisha mapenzi ya jinsia moja au kubagua jamii ya LGBTQ, na yeye mwenyewe alitaja suala hilo kwa maneno ya "dhambi".

Lakini alihusisha mitazamo hiyo na asili ya kitamaduni na kusema maaskofu hasa wanahitaji kupitia mchakato wa mabadiliko ili kutambua utu wa kila mtu.

"Maaskofu hawa wanapaswa kuwa na mchakato wa uongofu," alisema, akiongeza kwamba wanapaswa kutumia "huruma, upole, kama Mungu ana kwa kila mmoja wetu".

Baadhi ya nchi 67 au mamlaka duniani kote zinaharamisha shughuli za ngono za watu wa jinsia moja zilizokubaliwa, 11 kati ya hizo zinaweza au kutoa hukumu ya kifo, kulingana na Human Dignity Trust, ambayo inafanya kazi kukomesha sheria hizo. Wataalamu wanasema kwamba hata pale ambapo sheria hazitekelezwi, zinachangia unyanyasaji, unyanyapaa na ubaguzi dhidi ya watu wa LGBTQ.

Nchini Marekani, zaidi ya majimbo kumi na mbili bado yana sheria za kupinga mapenzi ya jinsia moja kwenye vitabu, licha ya uamuzi wa Mahakama ya Juu wa 2003 kutangaza kuwa ni kinyume cha katiba.

Umoja wa Mataifa mara kwa mara umekuwa ukitoa wito wa kukomeshwa kwa sheria zinazoharamisha mapenzi ya jinsia moja , ukisema zinakiuka haki za faragha na uhuru wa kutobaguliwa na ni ukiukaji wa majukumu ya nchi chini ya sheria za kimataifa kulinda haki za binadamu za watu wote, bila kujali mwelekeo wao wa kijinsia au utambulisho wa kijinsia.

Akitangaza sheria kama hizo "sio za haki", Francis alisema Kanisa Katoliki linaweza na linapaswa kufanya kazi ili kukomesha. "Lazima ifanye hivi. Ni lazima ifanye hivi,” alisema.

Francis alinukuu Katekisimu ya Kanisa Katoliki kwa kusema wapenzi wa jinsia moja lazima wapokewe na kuheshimiwa, na hawapaswi kutengwa au kubaguliwa.

"Sisi sote ni watoto wa Mungu, na Mungu anatupenda jinsi tulivyo na kwa nguvu ambayo kila mmoja wetu anapigania utu wetu," Francis alisema, akizungumza na AP katika hoteli ya Vatican anakoishi.

Sheria hizo ni za kawaida barani Afrika na Mashariki ya Kati na ni za wakati wa ukoloni wa Waingereza au zimeongozwa na sheria za Kiislamu.

Baadhi ya Maaskofu wa Kikatoliki wameziunga mkono kwa nguvu kwamba zinaendana na mafundisho ya Vatikani ambayo yanachukulia vitendo vya mapenzi ya jinsia moja kuwa "vina machafuko ya asili", huku wengine wakitaka zibatilishwe kama ukiukwaji wa utu msingi wa binadamu.

Mnamo mwaka wa 2019, Francis alitarajiwa kutoa tamko la kupinga kuharamishwa kwa mapenzi ya jinsia moja wakati wa mkutano na vikundi vya haki za binadamu ambavyo vilifanya utafiti juu ya athari za sheria kama hizo na kile kinachoitwa "matibabu ya ubadilishaji".

Hatimaye, papa hakukutana na makundi, ambayo badala yake yalikutana na mtu Nambari 2 Vatikani, ambaye alithibitisha tena "hadhi ya kila mtu na dhidi ya kila aina ya vurugu".

Siku ya Jumanne, Francis alisema kuna haja ya kuwa na tofauti kati ya uhalifu na dhambi kuhusiana na mapenzi ya jinsia moja.

"mapenzi ya jinsia moja si kosa," alisema. "Sio uhalifu. Ndio, lakini ni dhambi. Sawa, lakini kwanza tutofautishe kati ya dhambi na uhalifu.”

"Pia ni dhambi kukosa hisani," aliongeza.

Mafundisho ya Kikatoliki yanashikilia kwamba ingawa wapenzi wa jinsia moja lazima waheshimiwe, vitendo vyao "vina machafuko ya asili". Francis hajabadilisha mafundisho hayo, lakini amefanya kufikia jumuiya ya LGBTQ kuwa alama mahususi ya upapa wake.

Kuanzia na tamko lake maarufu la 2013: "Mimi ni nani kuhukumu?" alipoulizwa kuhusu kasisi aliyedaiwa kuwa ni mpenzi wa jinsia moja , Francis ameendelea kuhudumu mara kwa mara na hadharani kwa jumuiya ya wapenzi wa jinsia moja na waliobadili jinsia .

Akiwa askofu mkuu wa Buenos Aires, alipendelea kutoa ulinzi wa kisheria kwa wapenzi wa jinsia moja kama njia mbadala ya kuidhinisha ndoa zao, jambo ambalo mafundisho ya Kikatoliki yanakataza.

Licha ya mawasiliano hayo, Francis alikosolewa na jumuiya ya Wakatoliki wa LGBTQ kwa amri ya 2021 kutoka ofisi ya mafundisho ya Vatikani kwamba kanisa haliwezi kubariki muungano wa watu wa jinsia moja "kwa sababu Mungu hawezi kubariki dhambi".

Vatikani mwaka wa 2008 ilikataa kutia saini tamko la Umoja wa Mataifa lililotaka kukomeshwa kwa mapenzi ya jinsia moja, ikilalamika kuwa maandishi hayo yalikwenda nje ya upeo wa awali na pia yalijumuisha lugha kuhusu "mwelekeo wa kijinsia" na "utambulisho wa kijinsia" .

Katika taarifa yake wakati huo, Vatikani ilizitaka nchi kuepuka "ubaguzi usio wa haki" dhidi ya wapenzi wa jinsia moja na kukomesha adhabu dhidi yao.


Chanzo: BBC Swahili
Huyu papa wanataka kumfukuza kwa misimamo yake ya hovyo.kuna mahala nimeona kuna hiyo issue ya kumuondoa madarakani.
 
Mbona wezi na majambazi mnawahukumu? Basi na wao waacheni wafanye watakavyo watakuja kuukumiwa na mungu.
Wezi na Majambazi ni Wahalifu,
Ndio maana Papa kasema Ushoga sio uhalifu japo ni dhambi
 
The worst part of it is that there is no turning back now!.We're done.!They have taken over.Mission completed.
Never, its just a war! The church survived a lot for more than 2000 years. Just trying to do something on our generation.

We don't care the figures even a Pope, whoever teaches contrary to the Catholic Church fundamental teachings is heretic!

Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Kama hii habari ni kweli basi huyu Papa atupe maandiko katika biblia yanayounga mkono hoja yake.

Ushoga ni uovu kama uovu mwingine na Papa hawezi kutuambia kwamba waovu wote waende na wapokelewe kanisani na kama wanaenda kanisani basi ni kwenda kutubu dhambi yao na kuacha kabisa kuitenda hiyo dhambi.
 
Pope aliyefariki juzi alitumia kigezo cha umri kuachia nafasi ya upapa kwa outside meaning ( maana ya nje ) lakini kwa watafiti wa mambo wanasema na ni kweli kabisa aliamua kwa maana ya ndani ambayo yeye binafsi alipinga kanisa katoliki kuwa chini ya freemason alisema atamkosea Mungu wake akaona hawezi wakwepa au pingana na freemason akaona busara akae pembeni kwa kusingizia tatizo la umri. Huwa ni nadra Sana pope kujiuzulu. Mapapa huwa wanafia madarakani.
Aliyepo ni member wa freemason hata kauli zake za kindumila kuwili yaaani anaingia KISHA anatoka kidogo kuwaacha hewani wasiojua meaning yaani anawaacha watu katikati,anakuwa anasapoti jambo indirect way. Huwezi tenganisha dhambi na uhalifu. Papa aliyekufa papa msomi aliona heri kuachia kuliko kupokea maagizo toka KWA black pope. Papa mweusi ni invisible pope lakini anatenda kazi na white
Nikikwambia unipe stiff testimony ya unayoyasema unayo? Au na wewe ulihadithiwa?
 
Uzinzi si ni haki kufanya lakini ni dhambi.

Sijaona alichokosea na nadhani ni bora kuwatambua mashoga kanisani kuna faida maana tunajua watu gani tuwambie watoto wetu wakae nao mbali kuliko kupinga kumbe majangili wapo in silence mode siku tunawapa watoto washinde nao tukijua wafia dini wenzetu tunarudi tunakuta wamelawiti dadeeq!
 
SAsa hao wanaendesha dini KWA kufuata katiba ya nchi na sio muongozo wa Ukristo.
Hawana tofauti na mitume na manabii wanaoruhusu wanawake wanaovaa isivyo KWA maadili ya Kikristo kuingia makanisani mwao sababu watakosa sadaka.
Kanisa kufuata utamaduni wa eneo husika badala ya Muongozo wa Biblia,huko ni kwenda kinyume na mafundisho ya dini.
Kanisa na siasa havichangamani.
Katiba ya nchi inahudumia watu wote wa Mungu na wa shetani. Dini inatakiwa isimame kama dini hata kama atasali mtu mmoja, wanaotaka kujiunga na dini wafate misingi ya dini na sio dini ifate misingi ya katiba.
Wewe siijui imani yako but hili tuliweke hivi!!!

Leo mtaani pana shoga mpagani ametaka kusikia neno la Mungu abadilike ila akapendezwa na mafundisho ya Kanisa Catholic halafu ikawa Askofu wa jimbo husika alishatoa kauli kwamba jamii hiyo haitakiwi hapo Kanisani unadhani atathubutu kuingia?hapa nimezingumza mfano ndani ya Marekan

Kwenye bold ktk post yako kiongozi wetu mkuu Yesu Kristo alishatuonya "ya Kaiser apewe Kaiser (heshima kwa katiba za nchi ambako waumini wanaishi) ya Mungu apewe Mungu (kutowafukuza wale wanaohisiwa kuwa na dhambi sana.

Ni vitu vipo wazi ukitaka kusikia unachotaka wewe sawa but taratibu zote zimeandikwa ndani ya kitabu.
 
Kiongozi wa kanisa katoriki papa Francis amekisoa sheria zinazo haramisha Ushoga na kuwataka baadhi ya maaskofu wanao ziunga mkono sheria hizo kuacha Mara moja.
Kwa mujibu wake ana sema ushoga si uharifu, wala mashoga si waharifu bali na wao ni watoto wa Mungu hivyo kuwasakama ni dhambi.
Amesisitiza kuwa mapenzi ya jinsia moja sio kosa wala si dhambi.View attachment 2495357
Ni Katoliki sio katoriki ndugu
 
Sawa vijana wa mwamposa
Hakika watu wanamuongelea siku nyingi sana.
Ila leo nimehakikisha mwenyewe kuwa ni mmoja kati ya Ma Anti Christ.
Wasabato wana hoja ya msingi kuhusu Papa.
 
Lengo kuu la ushoga ni kuondoa mankind,ni ajenda za kufuta uzao wa binadamu.
Mtu mwenye akili timamu hawezi kukojolewa then akawa timamu anaondolewa utu wake.
Thus shoga hana thamani kwenye Jamii ni SAwa na pigs, hawezi simama kwenye Jamii anaonekana ni takataka.
Wengi ni kama Wana shida ya mental uishi hatia.
Shoga azai
Ni kweli pigs ana thamani? Au thamani gani Unayoizungumzia
 
Ushoga ni sawa na ukoma au Zombi. Ni mapepo ya aina yake ambayo kazi yake kuu ni kuvuruga system ya God. Papa alitakiwa kulijua hilo na wewe ulijue. Ukiwakaribisha watu wa namna hii nyumbani kwako wakaishi hapo, lazima mtoto wako atapata ukoma huu kama sio wewe. Kuwakaribisha kanisani ni kuingiza huu ukoma sehemu takatifu ya kumuabudu Mungu.
Hawa mazombi walitakiwa watengwe sehemu wasaidiwe kutolewa mapepo ya kizombi mpaka warudi kwenye ubinadamu kamili ndio waruhusiwe kanisani.
Tatizo wakatoliki labda wakalismatiki, hawajui kutoa pepo. Hata papa hawezi kukemea pepo likatoka, ndio mana anapiga chenga za kulainisha.

Ni hatari hii roho chafu ya uchafuzi imesha mvuruga papa wenu, you are next! Wasubirini wanakuja huko makanisani, yaani ni mazombi likikukuta lazima likuambukize, si unaona yanavyotembea kizombi.
Dah, nimecheka sana. Haya mambo haya yanachekesha sana.

Utashangaa Serikali ikisema mashoga wote wauawe, utashangaa baada ya siku mbili humu JF nabaki mimi na labda Maxence Melo tu, wengine pamoja na kelele zenu nina wasiwasi na hatma zenu!
 
Back
Top Bottom