Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi
sasa angalia hiyo statement aliyoandika kwamba ushawahi kuwauliza wana kanisa? Hivi nitakuwa na akili kwenda kuuliza sehemu imeandikwa freemason HALL kwamba mna kanisa embu nisaidie kwenye hili au mimi uelewa wangu finyu?
Watakushangaa sana my dear, mfano sehemu imeandikwa Zahanati wewe ukaulize kama kuna Hakimu [emoji1]

Lile Hall mimi binafsi na rafiki zangu enzi za utoto wa shule tuliwahi kwenda pale, tukakutana na Walinzi wakatutwanga maswali kadhaa tukaondoka tumenywea, walikua wana haki kwanza walitaka kujua tuna shida gani ya kuingia mule ndani, 'hatukua nayo ni umbea wetu tu' [emoji1], wakataka kujua kama kuna Mtu tunafahamiana nae mule tunamuhitaji 'hatukua na huyo Mtu', mwisho wakatuambia ile ni ofisi hawawezi kuruhusu watu kuingia hovyo bila kua na ahadi na muhusika wa ndani.

Nadhani huyo ndugu yetu na yeye alijaribu akakutana ma majibu hayo ndio maana ana hasira nao.
 
Watakushangaa sana my dear, mfano sehemu imeandikwa Zahanati wewe ukaulize kama kuna Hakimu [emoji1]

Lile Hall mimi binafsi na rafiki zangu enzi za utoto wa shule tuliwahi kwenda pale, tukakutana na Walinzi wakatutwanga maswali kadhaa tukaondoka tumenywea...
sasa kama alijaribu kweli ndo useme pale ni kanisani😂😂? Daaah ugonjwa wa akili ni tatizo baya. Au ulishawahi kwenda kanisani jumapili alafu pale getini mtu akusimamishe akwambie unafuata nini humo ndani?

Itakuwa ni ajabu sasa ukishaona unaenda sehemu unaulizwa maswali ujue siyo kanisa hilo tena mana KWA umri wangu mpaka sasa sidhani kama kuna mtu anaulizwa akifika mlango wa kanisani jumapili kwamba unamfata nani huko ndani au kama una miadi naye au nadanganya?
 
Papa akiusia
IMG-20230125-WA0144.jpg
 
sasa kama alijaribu kweli ndo useme pale ni kanisani[emoji23][emoji23]? Daaah ugonjwa wa akili ni tatizo baya. Au ulishawahi kwenda kanisani jumapili alafu pale getini mtu akusimamishe akwambie unafuata nini humo ndani? Itakuwa ni ajabu sasa ukishaona unaenda sehemu unaulizwa maswali ujue siyo kanisa hilo tena mana KWA umri wangu mpaka sasa sidhani kama kuna mtu anaulizwa akifika mlango wa kanisani jumapili kwamba unamfata nani huko ndani au kama una miadi naye au nadanganya?
Uko sahihi hakuna nyumba yoyote ya ibada ikawa na walinzi wa kuuliza watu maswali mlangoni,[emoji3]
Huyo jamaa ana matatizo ya afya ya akili inaonesha kwa comments zake tu
 
Dini ni Moja tu uislamu.

Karibuni katika dini ambayo huwezi kusikia kiongozi mkuu na wa kweli sio wa michongo(wakubumba) anatetea usodoma na gomora.
 
Kila nikitafakari hi Karne naona kbsa kuna kitu kizito dunia itakwenda kushuhudia kbla Hawa wazee wa miaka 90 80 hawajsepa
 
Umeandika na kujieleza vizuri ila ungeweka na rejea au source ya TAARIFA au Chanzo kv gazeti Fulani au rekodi ya sauti akitamka ulivyo viandika ingependeza Zaidi la sivyo kukopi au kuandika kitu cha kubuni kuelezea ambacho huna uhakika nacho ni ubadili au wizi maandishi au plagiarism.
 
Nini maana ya baba mtakatifu?
Wanajichanganya kila wanapojaribu kutetea. Ikitokea shida kwenye dini yoyote lazima waumini wafia dini watakuja kutenganisha mtu na cheo ila akifanya mazuri wanavionganisha. Inshort dini ni business fulani iliyopikwa vzr sana Na watu wakanywa uji wake na wamelewa balaa.

Na ndio maana Ile kwamba siku za mwisho kutakuwa na dini Moja kwa kuunganisha hizo dini zote za duniani ambazo tunaziita za Mungu Mara sijui kiti cha petro[emoji23][emoji23][emoji23].

It means zote hizo source yake ni shetani. Ndio maana itakuwa rahisi kuunganishwa......... Viongozi WA dini zote ni wahuni.... Devil worshipers
 
Mbali na pale Posta vikao vyao usiku mnene siku maalumu jumanne na ijumaa v8 kali blacks zinaingia,pia Wanakutana majumbani mwao kuna mahekalu yao huko Mbezi beach,msasani nk.Only member ndio ujua.
Lile jengo la Posta KWA nje ni dogo lakini lina heka 20 lile na ni ghorofa kwenda chini Kati ya tatu hadi saba hivi. Ndio makao yao makuu KWA tza, east africa ni Nairobi. Pia KILA mkoa hata wilaya kubwa Wana makanisa yao ambayo yapo kwenye majumba ya kifahari mitaa ya matajiri mikoani
Nadhariatu hkn ukweli wowote ni uongo tu heka 20 imetoka Wapi Happ eti Wana gorofa za chini huo Ni uongo ..mm. Sikatai kuwa Kuna Freemason ila siyo kwa kamb hyo ,na unafikiri kila tajiri Ni freemason
 
Back
Top Bottom