Papa Francis: Mapenzi ya Jinsia Moja siyo Kosa, siyo Uhalifu, lakini ni Dhambi
Natumai kupitia video hii unaweza kuwa na mtazamo wako binafsi kuhusu kauli yake.
 
Huyu papa kapotoka hivi mtu mwenye akili timamu unaanzaje kuutetea ushoga?
 
Duuh kazi ipo kwann waumini wa kanisa Katoliki wanachezewa hivi? kwann sio misikiti na makanisa mengine? na kwann wajikite sana kwenye hoja hiyo moja kwa muda mrefu? kuna nn hapa?
 
Acha justfication papa kakosea sana kukubali nchi zikubali mapenzi ya jinsia moja ni kukubali ushoga kwenye jamii, ni kukubali dhambi nilitegemea yeye ndiyo akataze nchi za ulaya kupitisha sheria za aina izoo ila yeye ndyo kahalalisha wakubaliwe hakuna mtu asiyetenda dhambi na wote ni watoto wa Muumba lkini waje kanisa kutubu na kuacha siyo waje ndani ya kanisa kma watu wa jamii izoo na kanisa halitakiwi kutambua mapenzi au ndoa za namna iyoo
Watu wakifirana wewe unaumia nini?
 
Huwa sichangii topics ambazo watu hutumia hisia zaidi kuliko akili Ila nitajibu kwa huu upotoshaji unaofanywa na hii thread

Papa hajasema ushoga sio dhambi na hana mamlaka hiyo ya kuihalalisha dhambi maana ukisema anayo bhasi utaamini papa yupo juu ya mamlaka ya Mungu, kitu ambacho si kweli

Ila kitu alichomaanisha
"Kila uhalifu ni dhambi Ila si kila dhambi ni uhalifu"

Ndio maana hata wewe upo huru kuisaliti ndoa yako utakavyo pasipo dini kusema upigwe mawe kwa sababu si uhalifu

Kingine Mungu aliiteketeza sodoma na Gomorah kwa sababu ya homosexuality lakini gharika ya Mungu iliteketeza kila mtu. hata Yona alitumwa kuwahubiria watu wa ninawi kuwa hasira ya Mungu ipo juu yao na mji ungeteketezwa
Hivyo, utaona kuwa HASIRA YA MUNGU IPO KATIKA KILA UHARIBIFU NA UCHAFU TUNAOUFANYA

Na kama haitoshi, biblia ikaainisha wazi kuwa ni dhambi gani isiyosameheka

M A R K O 3:28-29 “Amin, nawaambia, Dhambi zote watasamehewa wanadamu, na kufuru zao watakazokufuru zote; bali mtu atakayemkufuru Roho Mtakatifu hana msamaha hata milele; ila atakuwa ana dhambi ya milele”.


Hivyo, wewe mzinzi, mlevi, msengenyaji, mwizi na kila aina ya dhambi, HASIRA YA MUNGU IPO JUU YETU SOTE lakini Mungu kwa rehema zake, wote ni wake na tunastahili msamaha wake tukijinyenyekeza na kufanya toba

Hivyo,kwa kauli hii, papa hajakosea [emoji1431][emoji1431]
Naona unajitoa ufahamu, lakini tumeshajua ukweli
 
Nyote ni Wazinifu bhana usitake kuleta mambo mengi, tena nyie mnaojisifu kutembea na wake za watu si ndio nasikia hua kuna mafuta mnapakwa au? 🤔
Kupakwa mafuta ni ajali kazini maana mpaka kupakwa unaliwa si kazi ndogo 😂😂😂 yataka moyo.


Turudi kwenye mada ya Papa kuruhusu USHOGA kanisani..


USHOGA is more than lile tendo linalofanyika,,, but kile kilicho kwenye ufahamu wake, mawazo yake yaani huyu SHOGA yaani huwa mpaka kupenda hako kamchezo bila shurti 🤣🤣🤣🤣 na wengine kujibadili mpaka mwonekano uwe wa kike kike.... Sasa hichi ndo PAPA anataka kukiruhusu kije kanisani 🤭

Mfano mpo church na mwanao wa kiume halafu pembeni yake kuna njemba imekaa tena imepiga kimini na ugoko wenye msuli wazi, make-up ya nguvu,nyusi bandia na kipima joto kwapani 😂😂😂 ,,,, hivi would you not consider psychological safety of your son ikiwa kila mkienda Kanisani anawaona hao viumbe????

Tunapokataa USHOGA tunakikinga KIZAZI kijacho, siyo KIROHO tu bali hata KIMWILI.
 
Kiongozi wa kanisa katoliki Duniani Papa Francis amekemea sheria zote zinazopinga ushoga na kusema hizo sheria sio za haki kwani Mungu anawapenda watu wake wote bila ubaguzi, bila kujali kama ni mashoga au lah.

Soma mwenyewe hapa.
Mlitaka tuwageuze qibla??
Aliye Waumba Anasema Tuwapende![emoji106]
Na Pope Amenukuu Agizo la Muumba wake!
Ushahidi Alipo Rejea Hapa!
[emoji116][emoji116]
Matthew 5:44-46
[44] lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,

[45] ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.

[46]Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?
 
Mlitaka tuwageuze qibla??
Aliye Waumba Anasema Tuwapende![emoji106]
Na Pope Amenukuu Agizo la Muumba wake!
Ushahidi Alipo Rejea Hapa!
[emoji116][emoji116]
Matthew 5:44-46
[44] lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,

[45] ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.

[46]Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?
Muwe mnakulana ila tusiwaone tutawafanya kitu mbaya
 
Haya mambo tangu enzi za mababu zetu yalikuwepo, yalifanywa kwa Siri ila sasa wanataka kuyaweka hadharani. Ni aina ya starehe ya mtu ili mradi asivunje sheria. Ngonga niichunguze katiba kama kuna kipengele kinachopinga ushoga.
 
Mlitaka tuwageuze qibla??
Aliye Waumba Anasema Tuwapende![emoji106]
Na Pope Amenukuu Agizo la Muumba wake!
Ushahidi Alipo Rejea Hapa!
[emoji116][emoji116]
Matthew 5:44-46
[44] lakini mimi nawaambia, Wapendeni adui zenu, waombeeni wanaowaudhi,

[45] ili mpate kuwa wana wa Baba yenu aliye mbinguni; maana yeye huwaangazia jua lake waovu na wema, huwanyeshea mvua wenye haki na wasio haki.

[46]Maana mkiwapenda wanaowapenda ninyi mwapata thawabu gani? Hata watoza ushuru, je! Nao hawafanyi yayo hayo?
Wasiotoa michango ya Jumuia mnawatenga na Padri anagoma hata kuwafanyia IBADA YA MAZIKO (japo haina msaada kwa Marehemu) ,,,iweje leo ghafla muwapende MASHOGA eti tusiwatenge 😂😂
 
Back
Top Bottom