Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Nafikiri wapo Royal Hospital Chelsea pale waliposhushwa marais na wafalme woteMabodigad wa maraisi wamewekwa wapi raisi wetu akidhuliwa?
Ila watanzania[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji174]Sura ya Samia kwenye picha unaona kabisa anajisemea leo huko bongo mbona patachimbika kwa kupanda basi hilo [emoji1] [emoji1787]
Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Marais wa ulaya na Asia hawajapanda mabasi.ndo maana tunadharauliwa Kwa Sababu ya watu Kama weweWatu mna kiherehere shida iko wapi, marais wengi tu wamepanda bus maalum, isipokuwa Biden na PM wa Israel, aibu ni ipi hapo?
nioneshee raisi au PM wa Ulaya au Asia aliyepanda basi,Watu mna kiherehere shida iko wapi, marais wengi tu wamepanda bus maalum, isipokuwa Biden na PM wa Israel, aibu ni ipi hapo?
Afadhali umesema maana kila kitu imekuwa issue.Hata hapa wakati wa msiba wa Nyerere marais waalikwa walipanda Mabasi maalum
Yale mabasi mengine yote wamepanda akina nani? Maana tumeonyeshwa lile linalotuhusu sisi waafrika tu.Marais wa ulaya na Asia hawajapanda mabasi.ndo maana tunadharauliwa Kwa Sababu ya watu Kama wewe
Onesha basi walilopanda Marais wa ulaya na Asia.hawawezi kupandishwa kwemye yutong hao.Yale mabasi mengine yote wamepanda akina nani? Maana tumeonyeshwa lile linalotuhusu sisi waafrika tu.
nioneshee raisi au PM wa Ulaya au Asia aliyepanda basi,
nyie ndiyo walamba matterCall ya mabeberu
jibu swaliWee uta
Wee nitakupiga utapike damu nyeusi, pumbaf black mind, nasty, matakQ ya ukoo wenu, shenzi wee, hujatiwa adabu, stupid, i will screw you up, nyokQ, nitakupiga ukojoe, huna adabu ww, unaweza mwambia hadi Mh. Rais maneno hayo, ww hujapigwa muda, nitakupiga ukisimama na kuongea una bahati, pumbaf
Nasema, nitakupigaaa, IPs can't hide you shenzi, nitakupigaa, ww sio wa kutoa hayo matusi hadi kwa Mkuu wa nchi, nasema nitakupiga hujawahi ona, nakwambia ww, pumbaf kabisajibu swali