Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kosa liko wapi?Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Bora hata hivyo kuliko kwenda alafu unapandishwa kwenye daladalaTatizo lugha, London like Kingereza chake cha kuungaunga angeongea na nani?
Pili ile betri aliyowekewa kwenye moyo hawezi kukaa angani Massa mengi.
Kwani kuna shida?Mlete kiongozi wa mabeberu bongo kisha mpandishe bus uone balaa lake
Ujinga wa mwafrika tu .Usihangaike mkuu, haters wameishiwa hoja kwahiyo sasa ni mwendo wa kuokoteza kila wanachokihisi......la kuchekesha ni kuwa kadiri wanavyoonyesha chuki zao ndivyo wanavyozidi kuonekana hamnazo mno! Sikutegemea km hawa haters ni wapuuzi hv aisee!!!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]eti wamepandishwa Nini?Huku kwetu "wakuu wa nchi" wanaingia kwa misafara. Ataanza wa Rwanda, Kenya, Tz, Botswana, nk. Wao tu kuingia ni shughuli ya masaa, huko wa malkia wote wamepandishwa Mbezi-Kivukoni.
Biden anatua na the beast, ambulance, jammer na gari zingine kadhaa afu umuweke kwenye yutong 😀
Kwani vipi yeye amenuna au amefurahia? Mbona Ruto ana shangwe tuAibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
noma sanaeveryone else
Namuona Ruto hapo piaAibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Nimecheka sana watetezi wao walipoleta hiyo statement wakidhani ndio itatuconvince kumbe nayo ndani yake inaonesha dharau zaidi kwa kuwaita everyone elsenoma sana
yaani wakati nyie mnawalamba matako huku
wao wanawaoneni mbwa, mnaswekwa pamoja kwenye daladala
Biden tu ndio yuko exempt kwa usalama maana maadui ni wengi
Hii Habari aliitoa waziri kuwa ili kupunguza msongamano hata Heathrow haikutumika kwa kupokea wageni mashuhuri
Na pia waliambiwa waje wachache sana yaani kama ni Rais na mke/mume tu na wachache sana
Wote wametua Luton na Stansted na helicopter marufuku
Kupandishwa bus ni sawa tu kupunguza msongamano
La sivyo barabarani tusingepita
Ila na humo kama kuna adui yako ni nkonzi tu haha
Weka picha ya Marais wa nchi kubwakubwa wakiwa kwenye mabasiAcha ushamba wewe [emoji35] waliokuwa na magari yao ni rais wa marekani na Israel basi!
The rest ni mabasi!
Mijitu yenye uwelewa finyu ni shida humu jukwaani walahi!
Majitu mazima ovyooooooo walahi [emoji2959]