Huyo Dereva anayepakia Maraisi wote hao je akifanya ajali?

Samia wetu arudi haraka Malikia keshalazwa.
 
Hamnaga argument based on hearsay & conspiracy mkuu. Argument inajengwa na facts.
Well, stori kuhusu Obama na Saudi King ni fact. Hiyo ya Nyerere sina uhakika sana. Hata hivyo kuna episodes nyingi zinazomhusu Nyerere zinazoonyesha jinsi alivyotambua maana ya image ya Rais wa nchi kwa taifa lake.
 

Wametolewa umaarufu fake wanaoletaga huku. Na hadi wazungu wamewapuuza maana wanawajua ni majizi ya kura tu. Wanajua fika wengi huwa wanaingia madarakani kwa kunajisi chaguzi za nchi zao.
 
Watu wa USALAMA hii naomba muiweke kwenye kumbukumbu zenu muhimu.

Next time msimpeleke RAIS huko kwenye matukio ya dizaini hii

Pelekeni hata waziri

Rais kadhalilishwa sana.

Ana heshima ipi wakati yuko madarakani kwa wizi wa kura wa 2020? Wazungu wanawajua ni wezi tu ndio maana wamewatoa umaarufu.
 
Lete picha ya Rais wa ufaransa au waziri mkuu wa Canada au viongozi wa G7 waliopanda yutong Acha kutetea haya madharau.usitete ukoloni mamboleo.usiwe kipingamizi wa afrika mpya.
Sio kazi yangu kukuletea hayo, tangu last week walitoa utaratibu wote na Joe Biden akaruhusiwa kuwa na msafara wake. Sasa wewe pangu pakavu unataka uwe sawa na wanaokulisha. Ulitaka viongozi wote 500 waruhusiwe kuwa na misafara yao. Biden mwenyewe amepewa hadi idadi ya magari yaliyoruhusiwa. Tafuta wewe mwenyewe na uache kusumbua watu, mabasi yalikuwa mengi tu na hiyo picha inayotrend ni wenyewe wamejipiga picha. Yaani sisi pangu pakavu tuna matatizo sana, kutwa kulalamika bila logic na kutwa kusumbuliwa na inferiority complex.
Wakiwa wanatoa misaada tunawaita wadau wa maendeleo, amka mkuu kwani kwa mzingira ya huo msiba ni sahihi kabisa, hayo mengine ni matatizo yako binafsi.

Angalia baadhi ya viongozi waliotumia mabasi alafu unyamaze uendelee maisha. Wao hata picha hawajajipiga na kupost.

Which world leaders used the bus?

Cristina Gallardo from POLITICOEurope reported that the following world leaders and royals travelled to the funeral by bus:
  • King Abdullah II and Queen Rania of Jordan
  • King Carl XVI Gustaf and Queen Silvia of Sweden
  • Queen Margrethe II of Denmark
  • King Felipe and Queen Letizia of Spain
  • Italy’s President Sergio Mattarella
  • Australian Prime Minister Anthony Albanese
  • European Commission President Ursula von der Leyen
  • Polish President Andrzej Duda and wife Agata
  • German President Frank-Walter Steinmeier
  • King Harald and Queen Sonja of Norway
  • President Halimah Yacob of Singapore
Source: The world leaders and royals who took the bus to the Queen’s funeral


 
We wuz Kangz before them bana, huyo Dereva wao angeliangusha Basi?

Samia arudi haraka nyumbani, Kigagula kimeshazikwa.
 
Viongozi wote wa G7 hawajapanda basi
Mkuu hayo ya kupandishwa mabasi ni power relations tu. Ni yule anayejihisi mkubwa kutaka kumwonyesha yule anayemwona mdogo kuwa hilo basi ndiyo nafasi yake anayostahili. Ogopa sana mkuu wa nchi kuchukulia hilo jambo kwamba it's OK. Israel ni nchi ndogo sana na wala haipo kwenye G7 but those guys believe and think as if they rule the world. Na prime minister wao hawezi kukubali kupandishwa basi. Ni haya matakataka ya kiafrika tu.
 
Ni hivi waliopangiwa kuingia na magari mpaka kanisani ilikuwa King Charles na mkewe, senior royals wa U.K. tena wachache na US president pekee.

Hakuna mwingine alitakiwa kuingia na gari lake.

Halafu sio kwamba wametolewa huko mahotelini na buses. Wote wamekwenda na misafara yao ya ulinzi isipokuwa wameshuka hako ka sehemu kadogo tu kama mile moja au mbili na kuingia kwa mabasi kwa pamoja.
 
Kutupandishia Rais wetu kwenye basi la TATA sijapenda kwakweli.
 
Sasa kama Rais ndani ya basi je wale wapambe si wamebakia hotelini, protokali zote kwishnei...

Kweli Tanzania nchi ndogo sana, maana ningefarijika kama marais wa Ufaransa, Ujerumani US, Canada nao ningewaonamo humo.
Wote wamebebwa kwenye mabasi tofauti mpaka Wafalme wa nchi zote
Ila wa kwetu ukiherehere wa selfie mbona wafalme na marais wengine hawakujipiga picha
Au walitaka kumbumbuku waseme ndani ya jiji la London kwa Bus

 
Mimi ni mtu mwenye akili sana, ukweli humu wengi wenu na wewe ukiwepo hamna akili kabisa empty set, upstairs ghorofani huko juu hakuna kitu kabisa
Huna akili afadhali ya kamongo ana nafuu kuliko wewe, hahahaha wajinga na washenzi siku zote hawawezi tambua uduni wao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…