Kumbe hata basi anaweza kupanda?Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe hata basi anaweza kupanda?Aibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396
Wanasema angeshambuliwa na Mula wa Talebani.Kwanini Biden naye asipande basi!
Soma #561Kiongozi gani zaidi ya viongozi wa Afrika
Na hapo nimesahau kukwambia kwamba usitake kuchukua mifano ya sijui Germany, Brazil, au China ukaibeba kama ilivyo na kuipaste kwa Tanzania. Kila nchi ina historia yake, namna zake na jinsi ambavyo tukio flani lina athari ipi kwa watu wa nchi hizo.
Na hapo ninabet my two cents (japo sijafuatilia mambo ya kifo cha malkia wa uingereza) kwamba Xi Jinping au Putin hawezi kupandishwa basi moja na marais wengine. Viongozi wengi tu wanaojitambua hawawezi kukusanywa kama mahindi na kuwekwa kwenye gunia moja.
Atakuwa Rais kisha atarekebisha, kama mimi sintofanikiwa kuwa na kuleta mageuzi...Nimemwandaa tangu anazaliwa. Ole wao!Kazana baba yasiwe ni maneno tu kumbuka bado tunatawaliwa sijui huyo mtoto wako utamfundishaje labda ujenge shule yako na mitaala isiwe hii tuliyonayo hapo utafanikiwa.
Na bora sintoipanda, sitamani hata kuigusa siyo kupanda....Unabahati matusi hayapo kwenye dictionary ya moyo wangu!😂Pumbaf kweli, hiyo Bus mpaka kufa kwako hutakaa upande kwenda kumzika malkia wala mfalme London.
Hata PutinNi Viongozi wote wa Duniani isipokuwa Biden na PM wa Israel tu
View attachment 2361399
Akili hamna na hamjawahi kuwa nazoHuna akili afadhali ya kamongo ana nafuu kuliko wewe, hahahaha wajinga na washenzi siku zote hawawezi tambua uduni wao.