Hivi wakiruhusu kila Rais aende na gari zake patatosha?

Na biden (Rais wa Marekani) msimfananishe na Marais wengine duniani, analindwa kwa gharama yeyote. Na ni Rais wa Taifa kubwa sana.

Kukaa kwenye basi sioni shida. Walikuwa kwa msiba sio tatizo.

Mnaosema walienda kufanya nini ni akili ndogo sana. Kama unajua ulimwengu unavyofanya kazi huwezi uliza hilo

Na nchi za jumuia ya madola ndio haziwezi kwepa hili la kwenda, kama hakuna sababu ni sawa nikukataa kuwa sehemu yao
 
Hatukatai kubaguliwa,
Ila nawee kujifananisha na Mzungu hiko kitu hakiwezekani na haitowezekana, sababu wamekuzidi kila kitu ' na wala hutowafikia mpaka Dunia itakwenda kuzimu,
Mbona wachina,wahindi au nchi za kiarabu na Asia zimewafikia?viongozi ovyo wenye mawazo kama yako ambayo hawana maono ndo wanaotufanya tusifikie hapo na waafrika wasiofirikia Mbali kama wewe.
 
Najaribu kufikiri kwamba kwa misafara ya viongozi wetu Kama tulivyoizoea, kule isingewezekana na ukizingatia ni msiba.

Lakini kwani afrika Kuna nchi ngapi?!!! isingewezekana kwa kila Rais ikatumika gari moja tu, ili kufika mahala husika Kama sehemu ya heshima kwao na kwa nchi zetu za kiafrika.
 
Suluhisho ya yote haya ni Sisi waafrika tujenge uchumi wetu tuwe na uchumi mkubwa tushindane na nchi za Asia na afrika.wanatudharau Kwa sababu pamoja na ukweli kwamba tunakila Aina ya maliasili bado nchi zetu ni masikini Sana kiasi kwamba tunategemea misaada kwao ni wakati wa waafrika kuamka na kuwakaa viongozi ovyo wasio na maono.
 
..watolee ufafanuzi kwanini Rsisi akisafiri huagwa na kupokewa uwanja wa ndege na utitiri wa viongozi wanaoendeshwa kwenye ma-V8.

.. Kwanini viongozi hao wasipande basi maalum kwenda kumuaga au kumpokea Raisi uwanja wa ndege?
Umeongea vzr kiongozi kuvutumisha ma v8 ni kuwapa mzigo wananchi
 
Chifu hangaya bora angebaki tu balozi angetosha kumuwakilisha
 
Kwani ukiwa na uchumi mkubwa ndio hutashirikiana na wenzako katika matatizo? Wewe kwa upeo wako unazani misafara ingeisha saa ngapi au lini Kama wangesema kila kiongozi spite kwa msafara wake? Hao Polisi wakifanya kazi hiyo wangetoka wapi? Unajuwa no maeneo mangapi yalikuwa yanahitaji kuimarishwa kiulinzi na kiusalama? Tuache ushamba na ulimbukeni, mh Rais wetu mpendwa katuwakilisha vyema watanzania
 
Ukiwa na uchumi mkubwa huwezi kupandishwa Kwenye yutong,Mfano Rais wa France au China au canada au Russia au marekani au waziri mkuu wa Japan au nchi yoyote kubwa hawawezi kurundikwa kwenye hiyo yutong.hapo wametoa heshima Kwa kuangalia wewe ni nani.au Kwa mfano Rais wa afrika kusini kama yupo kapandishwa kwenye yutong IPi.fungueni akili zenu tujenge nchi zetu.watakuheshimu vipi wakati wanajua wanarais wa Africa ni WA michongo?Amka wewe Acha Kulala.
 
alafu wamama wanapendaga sana siti ya dirishani,"muheshmiwa Ruto nadhani ungeniacha mimi nikae dirishani".
 

Nasikia hakuna hata kiongozi mmoja kutoka ulaya aliyepandishwa basi kwenye msiba wa Rais Mandela kwani hawakuziona hizo foleni au usalama,,,hawa watu dawa yao nikutowashobokea nakukomaa tujenge nchi zetu,,,wanatudharau kwakua tunawategemea!
 
GENTAMYCINE dah skujua Kama una upeo mdogo kiasi hiki, unakumbuka kipindi Tanzania inapata Uhuru nkuruma alimtuhumu nyerere kwa kung'ang'ania mfumo wa kijeshi wa kikoloni.? Hata alipo taka kupinduliwa nyerere alienda kwa malkia kuomba msaada.?

Kifupi nyerere alikua ni mtu wa kujipendekeza labda kwa baadae ndo alikuja kuvunja mahusiano ya ki diplomasia Kati ya marekani na uingereza.

Mwenye hiyo orodha yako mtoemo nyerere.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…