Kinyungu
JF-Expert Member
- Apr 6, 2008
- 19,484
- 38,416
Akija awe anatumia mwendokasi sasa aache kutuweka foleni na ule msafara wake wa ma V8 hamsiniAibu!
Huko London kwenye msiba wa Queen Elizabeth II, Rais Samia wa Tanzania ni mmoja wa Viongozi waliopandishwa kwenye basi.
Nb: Kuna kila dalili Rais wa bongo alikuwa ana mind mpiga picha 😄.
View attachment 2361396