Rais Samia apandishwa Basi huko London kwenye Msiba wa Malkia Elizabeth II
Kutokana na sintofahamu iliyo likumba Taifa baada ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kupanda basi huko London inasemekana Serikali italitolea Tamko jambo hilo.
Ukiangalia Ruto alivyokaa, ni dhahiri hata legroom kwenye hilo basi hakuna. 😆😆

Huu ni udhalilishaji wa kiwango cha juu kwa viongozi wetu.
 
Huyu anaanza kutawala Uingereza mwaka 1952 Putin anazaliwa kwao Russia. Ni mtu mashuhuri na mwenye ushawishi mkubwa.
Kama tu ili mtu aingie ndani ya ukumbi wa bunge mpaka kanuni zibadilishwe sembuse kuvuruga protocol ya wakuu wa nchi? Nimetafakati sana hiki kitu, ni zaidi ya tunavyotaka kuliweka simple....Hilo taifa limetudhalilisha wana wa dunia hii ambao ma Rais wetu wamewapa heshima kutuwakilosha
 
Ingetakiwa warushwe vichurachura na kuchapwa fimbo za kwenye makalio kabisa ili wakome kujikombakomba kwa watu. Huku nchi ni kwake 🐭🐭🐭 road wakiua watu, vitu vinapanda bei, tuzo kila mahali, yeye anapuyanga tu huyo Bi.Tozo. Angerushwa vichurachira na kulimwa mitama kabisa.
 
Yaani rais wa Marekani ndio karuhusiwa kuingia Buckingham na msafara wake, marais wengine toka nchi nyingine duniani wamepakiwa kwenye mabasi, yani hawajapewa hadhi ya urais kabisa, hizo si dharau jamani, hlf pia ni security threat kwa hao marais.

Wao wakija huku, tunasafisha hadi barabara
Hayo mabasi waliyo panda usije ukajua ni ni sawa na Simiyu express ..na wametoa sababu zenye mashiko kabisaaa kama mwepesi wa kuelewa sababu na mitazamo ya wengine ni wazi utaelewa tu ..... Na sio ajabu mbona ktk msiba wa kiongoz wetu mkubwa tu baadhi ya mabalozi walipanda vosta
 
Mkuu hayo ya kupandishwa mabasi ni power relations tu. Ni yule anayejihisi mkubwa kutaka kumwonyesha yule anayemwona mdogo kuwa hilo basi ndiyo nafasi yake anayostahili. Ogopa sana mkuu wa nchi kuchukulia hilo jambo kwamba it's OK. Israel ni nchi ndogo sana na wala haipo kwenye G7 but those guys believe and think as if they rule the world. Na prime minister wao hawezi kukubali kupandishwa basi. Ni haya matakataka ya kiafrika tu.
Maneno ya kufikirisha sana haya. Waafrika tuamke
 
Hayo mabasi waliyo panda usije ukajua ni ni sawa na Simiyu express ..na wametoa sababu zenye mashiko kabisaaa kama mwepesi wa kuelewa sababu na mitazamo ya wengine ni wazi utaelewa tu ..... Na sio ajabu mbona ktk msiba wa kiongoz wetu mkubwa tu baadhi ya mabalozi walipanda vosta
Tunachojua mama kawahi siti ya dirishani...
 
Hili jambo wala halihitaji ufafanuzi, wengi wanaolishupalia exposure hakuna.

Viongozi wa nchi zengine mf. China, France, Germany, Brazil, etc. wamepanda mabasi na wala haijawa issue kabisa, ila bongo imekuwa big topic.

Tukiendelea na hizi mentality, hawa mafisi wa kijani watatutawala mapaka Yesu au mtume arudi
Sawa mkuu.

Kama exposure basi wakirudi wasitugandishe barabarani masaa mengi kwa misafara yao kumbe kupanda gari moja inawezekana.
 
Hata ukikejeli ila ndio treatment imefanywa kwa wote with exceptions ya hao 6..

Kwa Africans eti Rais wa Zimbabwe ndio alikuwa dereva wa Bus lao 😂😂😂😂
 
Tuache chuki za kipuuzi, wakuu wa nchi zote za Commonwealth wamealikwa na itifaki inafaa wahudhurie wao wenyewe.

Huwezi kuupata mkusanyiko huu wa kihistoria Tena mpaka unakufa.

Wabongo tumevuka kiwango cha chuki na roho mbaya.

Mpuuzi wewe na Shangazi zako,
Ukifa wewe watakusanyika ukoo wako kukuzika,

Unaongelea chuki wakati wewe kutwa kumsema Marehemu Magufuli,

Pathetic.
 
Kutokana na sintofahamu iliyo likumba Taifa baada ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kupanda basi huko London inasemekana Serikali italitolea Tamko jambo hilo.

Ikumbukwe, mapema leo mheshimiwa Rais alijumuika na viongozi wenzake wa Afrika ndani ya usafiri wa basi la abiria kuelekea eneo ambalo mwili wa Hayati Elizabeth ulipo-kuwepo kwa ajili ya kuagwa.

Mheshimiwa Rais alifanikiwa kupata/kukaa seat pendwa ya dirishani.View attachment 2361758
Kama Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sidhani kama kuna ufafanuzi utatolewa. Labda ufafanuzi utolewe wa kwanini Lissu analala kitanda kimoja na Amsterdam.
 
Kutokana na sintofahamu iliyo likumba Taifa baada ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kupanda basi huko London inasemekana Serikali italitolea Tamko jambo hilo.

Ikumbukwe, mapema leo mheshimiwa Rais alijumuika na viongozi wenzake wa Afrika ndani ya usafiri wa basi la abiria kuelekea eneo ambalo mwili wa Hayati Elizabeth ulipo-kuwepo kwa ajili ya kuagwa.

Mheshimiwa Rais alifanikiwa kupata/kukaa seat pendwa ya dirishani.View attachment 2361758
Acheni ujinga nyie..Hapa wako Marasi wote wa Afrika sipati picha ingekuwa ni SSH ambavyo wabongo wangetokwa na mapovu..

Mambo ya mdomo mdomo na yasiyo na maana WaTzn wanayapenda Sana.
 
Wameenda kufanya nini kama sio kujipendekeza??wewe kila siku mtu yupo kwa majirani utafikiri hana kitanda Wala nyumba . Mbona jiwe alikuwa haendi.
 
Back
Top Bottom