Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Nataka kumjua huyo Rais aliewapiga picha ya pamoja ni naniWabongo hapana aisee
View attachment 2361670
Nafikiri atakuwa Kagame
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nataka kumjua huyo Rais aliewapiga picha ya pamoja ni naniWabongo hapana aisee
View attachment 2361670
peleka hasira kwa aliyekuwekea tozo, siyo mimiNasema, nitakupigaaa, IPs can't hide ww shenzi, nitakupigaa, ww sio wa kutoa hayo matusi hadi kwa Mkuu wa nchi, nasema nitakupiga hujawahi ona, nakwambia ww, pumbaf kabisa
Acha na hayo, wewe ndiye huyo kwenye picha?Kuna vijana wapumbavu sana
Kwani basi kapanda RAIS wa Tanzania tu?
Mbona wageni wa SADC wakiwemo Marais, Tanzania tuliwaandalia magari special?
Anawacheka wenzie wanaojionaga wao ni PrezidaaaaaaaaaaaaHuyo Ruto, ndiyo Kwanza anachekelea, kupandishwa kwenye basi, kwa kuwa yeye ni "Hustler" anaona kama vile wamempa promotion kumpandisha kwenye basi, kwa kuwa yeye kawaida yake kuendeshwa kwenye toroli!😅
Wameweka lockdown sehemu watulie kwanza.Mabodigad wa maraisi wamewekwa wapi raisi wetu akidhuliwa?
Wewe ni mtu mpambavu sana, matusi yote hayo ya nn? Kama mtu kamtukana kiongozi achana nae mpuuzie, maishe yanaendelea. Sasa utatukana wangapi na wajinga kila siku wanazaliwa.Wee uta
Wee nitakupiga utapike damu nyeusi, pumbaf black mind, nasty, shenzi wee, hujatiwa adabu, stupid, i will screw you up, nyokQ, nitakupiga ukojoe, huna adabu ww, unaweza mwambia hadi Mh. Rais maneno hayo, ww hujapigwa muda, nitakupiga ukisimama na kuongea una bahati, pumbaf
Hivi wewe unajionaje labda?Wewe ni mtu mpambavu sana, matusi yote hayo ya nn? Kama mtu kamtukana kiongozi achana nae mpuuzie, maishe yanaendelea. Sasa utatukana wangapi na wajinga kila siku wanazaliwa.
Kuna watu ni wajinga na wapumbavu mliopitiliza
Ushagundua hiloLeo kila mwehu atafungua uzi
Unawajuwa MI6?Mabodigad wa maraisi wamewekwa wapi raisi wetu akidhuliwa?
Wakina Bond, James Bond.Unawajuwa MI6?
Wehu wanafungua uzi halafu machizi tunakomenti ukiwemo na wewe mkuu..😂Leo kila mwehu atafungua uzi