Themann
JF-Expert Member
- Apr 15, 2022
- 3,842
- 16,058
Aibu Sana sio poa mkuuIna trend sio Tanzania tu, Africa kumewaka.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aibu Sana sio poa mkuuIna trend sio Tanzania tu, Africa kumewaka.
Hivi mkuu unavoona hio bas inafanana na hizo youtong walizopanda viongozi wetu[emoji16][emoji16]Tupunguze ujinga japo kidogo.
Hii ni routine ya kawaida.tatizo hapo kwanini Marais wa ulaya na Asia watumie usafiri binafsi wakati Marais wetu wanapanda yutong kwenye Hilo tukio.yaani watu wamepangwa Kwa madaraja.Tupunguze ujinga japo kidogo.
Ma Rais kutoka Marekani na Israel tu ndio hawajapanda mabasi..Kwanini biden hajapanda basi kama WENZIE akina SAMIA [emoji1787][emoji1787]
Hapo kwenye Machawa hapoooooooo nacheka kama mazuri,Hahha sikutaka kucomment ila comments za waja zimenichekesha sana. Kwamba wamepanda majinja!! [emoji2]
Issue hapa sio ajabu wao kupanda bus, ila ni wao kufanya matanuzi ya gharama yasioyokua ya lazima katika nchi zao, msafara kutoka ikulu hadi St. peters tu pale convoy magari kama 20 hivi wakati kimsingi huku kwetu hata hatari za kiusalama hakuna, ni basi tu ilimradi watutishe na kututetemesha mabarabarani.
Huko wakikutana hata kwenye mikutano ya UN, wanageuka machawa wa Marais wengine. They have no influence at all.
Kwahiyo mnaunga mkono hawa viongozi wa Kiafrica wanastahili special care?
Na hivi wamekutana na wafalme woteMbona hatuoni aibu kwenda kuomba hela za kujenga vyoo na kusomesha watoto?
Kwa wazungu kiongozi kupanda basi au baiskeli ni kitu cha kawaida sana.
Sio kiazi kitamu wala asante rabi hiiTupunguze ujinga japo kidogo.
Aliyeruhusiwa kuwa na msafara wake binafsi ni Joe Biden tu, tena baada ya mvutano kidogo. Huwezi ruhusu viongozi takribani 500 kila mmoja awe na msafara wake. Jua kuwa wako salama na tuache inferiority complex na kulalamika kila kitu.Sasa kama Rais ndani ya basi je wale wapambe si wamebakia hotelini, protokali zote kwishnei...
Kweli Tanzania nchi ndogo sana, maana ningefarijika kama marais wa Ufaransa, Ujerumani US, Canada nao ningewaonamo humo.
Ilitakiwa iwe vivyo hivyo mpaka kwa biden.Tuelimike kidogo[emoji3][emoji3][emoji3]Kila Rais iwapo atapewa just 6 Car motorcadeX50+ Marais London kutakuwa na gari ngapi?? Na je ukiongeza matajiri wa Dunia na USA president na msafara wake 100+Staff Itakuwaje?? Hili bus aliopanda Rais Samia na wengine mimi na wewe ata iweje atutolipanda! Hii imefanywa kutokana na kupunguza Trafic na Kuweka usalama makini- kulinda Bus lenye maraisi 20 ni kazi ndogo kuliko kulinda motorcade 20
Tuache chuki za kipuuzi, wakuu wa nchi zote za Commonwealth wamealikwa na itifaki inafaa wahudhurie wao wenyewe.Hapo kwenye Machawa hapoooooooo nacheka kama mazuri,
Kwanza kwa Maraisi hawa Wapya wala hawakutakiwa kwenda wangetuma wawakilishi tu, hawajawahi kukutana Live na Marehemu sasa huo Msiba umewagusa vipi hadi kuacha Nchi zao na kwenda kujazana huko.
Kwa nini hawa wawili, wamepewa hiyo nafasi?Ni Viongozi wote wa Duniani isipokuwa Biden na PM wa Israel tu
View attachment 2361399
Huyu issue yake siyo kama hajasoma, Bali tupige vita uchawi, kinachoendelea hapa ni uchawi kamili.Tusomeshe watoto shule wawe na uwelewa wasije kuaibika km mleta mda
US ni superpower, na hakuna yeyote duniani mwenye akili timamu anaye-dispute. Kwendana na taratibu za Marekani, Rais amekuwa restricted kupanda usafiri maalamu.Kama ni kawaida mbona Biden hajapanda?