Rais Samia apandishwa Basi huko London kwenye Msiba wa Malkia Elizabeth II
Kutokana na sintofahamu iliyo likumba Taifa baada ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kupanda basi huko London inasemekana Serikali italitolea Tamko jambo hilo.

Ikumbukwe, mapema leo mheshimiwa Rais alijumuika na viongozi wenzake wa Afrika ndani ya usafiri wa basi la abiria kuelekea eneo ambalo mwili wa Hayati Elizabeth.

Mheshimiwa Rais alifanikiwa kupata/kukaa seat pendwa ya dirishani.View attachment 2361758
Daladala Beat na BUZZ GSM.


Tumedhalilishwa sana Waafrika, bora hizo gharama walizoingia wangenunua chakula kwa watu wasio na uwezo Mungu angewapa thawabu
 
Nchi ngumu Sana hi jmn Marais kupanda mabas unapandisha Uzi

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Tatizo hawawezi ficha chuki zao dhidi ya Mama wa watu kwa ujinga wao tu. Kwa idadi ya viongozi hiyo it's impossible kila kiongozi kwenda kwa msafara wake.

Chato gang chuki zinawaendesha sana! Wanafurahia Samia kupanda basi sijui kwa Samia kupanda basi wao wanafaidika nini? Hawana akili kabisa
 
Aliyeruhusiwa kuwa na msafara wake binafsi ni Joe Biden tu, tena baada ya mvutano kidogo. Huwezi ruhusu viongozi takribani 500 kila mmoja awe na msafara wake. Jua kuwa wako salama na tuache inferiority complex na kulalamika kila kitu.

US President Joe Biden allowed to drive in for Queen Elizabeth II’s funeral in a convoy, while other world leaders were lumped into a bus​

(US President Joe Biden allowed to drive in for Queen Elizabeth II?s funeral in a convoy, while other world leaders were lumped into a bus (video))​



Soma hii link
Lete picha ya Rais wa ufaransa au waziri mkuu wa Canada au viongozi wa G7 waliopanda yutong Acha kutetea haya madharau.usitete ukoloni mamboleo.usiwe kipingamizi wa afrika mpya.
 
Hili jambo wala halihitaji ufafanuzi, wengi wanaolishupalia exposure hakuna.

Viongozi wa nchi zengine mf. China, France, Germany, Brazil, etc. wamepanda mabasi na wala haijawa issue kabisa, ila bongo imekuwa big topic.

Tukiendelea na hizi mentality, hawa mafisi wa kijani watatutawala mapaka Yesu au mtume arudi
 
Kutokana na sintofahamu iliyo likumba Taifa baada ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kupanda basi huko London inasemekana Serikali italitolea Tamko jambo hilo.

Ikumbukwe, mapema leo mheshimiwa Rais alijumuika na viongozi wenzake wa Afrika ndani ya usafiri wa basi la abiria kuelekea eneo ambalo mwili wa Hayati Elizabeth ulipo-kuwepo kwa ajili ya kuagwa.

Mheshimiwa Rais alifanikiwa kupata/kukaa seat pendwa ya dirishani.View attachment 2361758
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂🤣😂

Ndio sisi wengine tunaotoka Ngangamfumuni hatuna habari nao Kazi inaendeleaa

Simnajifanya miungu mtuuu,acha dawa iwaingie

Ila wazungu original ni wabayaa basi lote wamejaa Viongozi wa Kiafrica
 
Kutokana na sintofahamu iliyo likumba Taifa baada ya Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama kupanda basi huko London inasemekana Serikali italitolea Tamko jambo hilo.

Ikumbukwe, mapema leo mheshimiwa Rais alijumuika na viongozi wenzake wa Afrika ndani ya usafiri wa basi la abiria kuelekea eneo ambalo mwili wa Hayati Elizabeth ulipo-kuwepo kwa ajili ya kuagwa.

Mheshimiwa Rais alifanikiwa kupata/kukaa seat pendwa ya dirishani.View attachment 2361758
Ha! Ha! Ha!
Hakika Bi. Mikopo amechokwa na watanganyika
 
Hili jambo wala halihitaji ufafanuzi, wengi wanaolishupalia exposure hakuna.

Viongozi wa nchi zengine mf. China, France, Germany, Brazil, etc. wamepanda mabasi na wala haijawa issue kabisa, ila bongo imekuwa big topic.

Tukiendelea na hizi mentality, hawa mafisi wa kijani watatutawala mapaka Yesu au mtume arudi
Achaa maneno weka picha

Kiswahili ya nini wekaa pichaa
 
Lete picha ya Rais wa ufaransa au waziri mkuu wa Canada au viongozi wa G7 waliopanda yutong Acha kutetea haya madharau.usitete ukoloni mamboleo.usiwe kipingamizi wa afrika mpya.
Hawa ndiyo wanaouchelewesha uhuru wa Africa...Saa hizi Urusi inatupa nafasi hawa wa hivi ndiyo ukute washauri wa viongozi wetu ambao walitakiwa kukasirika na kufanya kweli kwakua Mungu mwenyewe katupa nafasi ya kuona chuki ya wazi ya hawa nyakati hizi Rusia inapopambana kubadili mfumo wa dunia
 
Kumbe uwezo wa kukaa na kujazana ndani ya basi upo tu😂😂 na kumbe hata wao ni binadamu tu kama sisi. Sasa kwa nini huwa wanajikweza huku?😀😀

Sema bimkubwa kinamna kama anajiziba uso asionekane😁

View attachment 2361420
View attachment 2361410
Watoto wasiojua mambo haya waelezwe kwamba msibani hatutafuti umaarufu hata kidogo huo ni utaratibu wa kawaida kabisa na jua tukio hili ni kubwa,issue ni kushiriki msiba then kurudi nyumbani kazi iendelee.
 
Tatizo hawawezi ficha chuki zao dhidi ya Mama wa watu kwa ujinga wao tu. Kwa idadi ya viongozi hiyo it's impossible kila kiongozi kwenda kwa msafara wake.

Chato gang chuki zinawaendesha sana! Wanafurahia Samia kupanda basi sijui kwa Samia kupanda basi wao wanafaidika nini? Hawana akili kabisa
Jikite kwenye mada mkuu... Chato gang ndio ipo kwenye school bus?
 
Back
Top Bottom