Gun-boot diplomay!Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.
Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.
Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
Yani wewe unawaza kunyakunya tu. Matundu ya choo ya nini? Toka enz na enz tunakunya porini.Rais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.
Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.
Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
Nimehasabu magari nimeishia kuona gari 101, hizo nyingi ni gari za machawa, wanajihudumia wenyewe.
Hahahahahah ukweli mtupu🤣
GT Unazicheki hizo range 2024? Bora waibe watuachie marinda yetu intact. Nchi zingine mnaibiwa na marinda yanatatuliwa.Hahahahahah ukweli mtupu🤣
Hahahaha hamna afadhali, hii nchi ipigwe khinzal moja tu pale Lumumba wakati wa mkutano ili asilimia hata 30% ya wezi iteketezweGT Unazicheki hizo range 2024? Bora waibe watuachie marinda yetu intact. Nchi zingine mnaibiwa na marinda yanatatuliwa.
Ila inasikitisha sana.Hahahaha hamna afadhali, hii nchi ipigwe khinzal moja tu pale Lumumba wakati wa mkutano ili asilimia hata 30% ya wezi iteketezwe
Anakuumiza wewe watanzania tunafurai anatujengeabshule,anatuletea maji,Elimu Bure,afya nk
Sasa hilo ni kosa la nani? Bora hata iwe anajua maana kama hajui basi hiyo ni hatari zaidi kama kiongozi kutokujua anachokiongoza.Mimi nadhani Wakati mwingine hajui kama anasindikizwa na msafara wa magari mengi! Na huenda Safari zake zinaratibiwa na ikulu yeye anaelekezwa apande gari tu.
Hii ichi imejaa wapumbavu sana, shida inaanzia kwenye quality ya elimu tunayopewa WatanzaniaRais wetu namfananisha na Marie Antoinette Mke wa King Lousi wa Ufaransa kabla ya Mapinduzi.
Rais anasisitiza sana tulipe Tozo na kodi ili nchi ijiendeshe yenyewe bila mikopo. Wakati huo huo yeye akiwa ndio mtumaiji mbaya wa hizo pesa na akiwa na matumizi ya anasa, akiwa anatumia Ikulu mbili za Dodoma na Dar es salaam, akiwa na msafara mkubwa kuliko sasa kiongozi yoyote yule Afrika na Duniani.
Ukiangalia huo msafara ni inatisha, huwezi amini kuna shule hazina matundu ya vyoo na tunangoja USAID watujengee.
anazakia labda wanaja mafuta kwa pes zaoMachawa ni DED,RC,DAS,RAS,DC na wanaofanana na hao ,unafikiri wanatoa fedha zao mfukoni?
🚮🚮🚮🚮Nimehasabu magari nimeishia kuona gari 101, hizo nyingi ni gari za machawa, wanajihudumia wenyewe.
Tanzania imejaa mazuzuMimi nadhani Wakati mwingine hajui kama anasindikizwa na msafara wa magari mengi! Na huenda Safari zake zinaratibiwa na ikulu yeye anaelekezwa apande gari tu.
Another new chawaMimi nadhani Wakati mwingine hajui kama anasindikizwa na msafara wa magari mengi! Na huenda Safari zake zinaratibiwa na ikulu yeye anaelekezwa apande gari tu.