Awamu ya 5 ilikuwa ni janga la taifaTuanze sasa kunadi ripoti ya CAG wa awamu hii mbele ya wananchi kwa njia ya mikutano ya hadhara Tena tuanzie pale pale Dar es Salaam ndani pale viwanja vya Zakieem, twende viwanja vya Kawe na kwingineko ili wananchi waelezwe "ukweli huu wa wazi" wa CAG machachari wa sasa. Ha ha ha haaaa!
Watu wanasema kuwa dunia ya leo ogopa sana technology na watawala.
Leo hii tumeanza kugundua na kujuzwa na vyombo vya habari kuwa awamu ya 5 iliongoza kwa ufisadi.
Waliokuwa wanajiita wazalendo kumbe walikuwa ndio wapigaji wakubwa wa mali ya umma.
Source:raia mwema.View attachment 2187981
Awamu ya 5 inanuka maovuNinawashauri... vinginevyo muwe wazi kuwa mnaogopa kuyaeleza haya wazi wananchi mbele yao maana wanaweza kuwauliza maswali magumu. Ha ha haaaa!
Weka vielelezo siyo kupayuuuka tuAWAMU YA 6 INAONGOZWA KWA UFISADI.
Serikali yanunua Pikipiki 68 kwa milioni 789.8. Hizi ni aina gani za pikipiki?Weka vielelezo siyo kupayuuuka tu
Awamu ya tano ilikuwa ya kifisadi haswaaKina Ulimwengu hata wakimegewa watasingizia awamu ya tano
Ni muda muafaka habari hizi ziwafikie wananchi kwa njia ya mikutano ya hadhara lengo tujiepushe kuitwa keyboard warrior na kuonyesha kuwa tumefunguliwa.Awamu ya 5 ilikuwa ni janga la taifa
Serikali ya Magufuri imefanya Mambo makubwa kwa mda mfupi,kuliko Sisi tulioka miaka 30 by Ally Assan Mwinyi,hizi nyingine ni porojo.Watu wanasema kuwa dunia ya leo ogopa sana technology na watawala.
Leo hii tumeanza kugundua na kujuzwa na vyombo vya habari kuwa awamu ya 5 iliongoza kwa ufisadi.
Waliokuwa wanajiita wazalendo kumbe walikuwa ndio wapigaji wakubwa wa mali ya umma.
Source:raia mwema.View attachment 2187981
Kajichafua mwenyewe na ufisadi wakati wa utawala wakeMnajitahid sana kumchafua mzeee wa watu [emoji119]
Tunawasubiri mtaani mikutano yenu ya hadhara mtueleze mambo haya kiundani tuwaelewe. Ha ha haaaaAwamu ya 5 inanuka maovu
Jenerali Ulimwengu ndiyo CAG aliyetoa taarifa hii ya ufusadi wa Magufuli???Kina Ulimwengu hata wakimegewa watasingizia awamu ya tano
Hiyo haituhusu maana ufisadi ndani ya ccm ni sawa na kambale na majiTunawasubiri mtaani mikutano yenu ya hadhara mtueleze mambo haya kiundani tuwaelewe. Ha ha haaaa
Labda aliupiga nyumbani kwenu burigiMnatumia nguvu kubwa sana kumchafua Bwana yule ila ukweli utabaki pale bwana yule aliupiga Mwingi sana .
Ushuzi mtupu......Watu wanasema kuwa dunia ya leo ogopa sana technology na watawala.
Leo hii tumeanza kugundua na kujuzwa na vyombo vya habari kuwa awamu ya 5 iliongoza kwa ufisadi.
Waliokuwa wanajiita wazalendo kumbe walikuwa ndio wapigaji wakubwa wa mali ya umma.
Source:raia mwema.View attachment 2187981
Kwa sukuma gang wanamchukia kila anayekosoa utendaji wa jiweJenerali Ulimwengu ndiyo CAG aliyetoa taarifa hii ya ufusadi wa Magufuli???
Wanamtafuta mchawi wakati mchawi ndiye kiongozi waoKajichafua mwenyewe na ufisadi wakati wa utawala wake
Endeleeni kupambana!Jenerali Ulimwengu ndiyo CAG aliyetoa taarifa hii ya ufusadi wa Magufuli???
Huyo alichokuwa anakitafuta kutoka kwa jiwe ni mwanawe kupata kanafasi na tayari kashafanikiwaSerikali ya Magufuri imefanya Mambo makubwa kwa mda mfupi,kuliko Sisi tulioka miaka 30 by Ally Assan Mwinyi,hizi nyingine ni porojo.