Awamu ya 5 ilikuwa ni janga la taifa
 

AWAMU YA 6 INAONGOZWA KWA UFISADI.​

 
Serikali ya Magufuri imefanya Mambo makubwa kwa mda mfupi,kuliko Sisi tulioka miaka 30 by Ally Assan Mwinyi,hizi nyingine ni porojo.
 
Maushungi alikuwa sehemu ya mfumo wa awamu ya 5,ila Cha kushangaza wapambe wake wanamuweke pembeni kwenye kashfa za wizi na lawama zinakwenda kwa Marehemu pekee

Unaweza shangaa hata hili sakata la pikipiki 1 kununuliwa 11m lawama akapewe marehem.
 
Mnatumia nguvu kubwa sana kumchafua Bwana yule ila ukweli utabaki pale bwana yule aliupiga Mwingi sana .
 
Ushuzi mtupu......
 
Serikali ya Magufuri imefanya Mambo makubwa kwa mda mfupi,kuliko Sisi tulioka miaka 30 by Ally Assan Mwinyi,hizi nyingine ni porojo.
Huyo alichokuwa anakitafuta kutoka kwa jiwe ni mwanawe kupata kanafasi na tayari kashafanikiwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…