Ni kweli Mkuu, ila anaepata athari zaidi ndio anapaswa kujilinda.Je alizaa kwa kujiingilia mwenyewe!? Ni kweli ni kosa lakini tusiwasakame sababu sisi ndio waingiliaji, ila kesi hiyo haionekani saana sababu sisi hatutembei na kidhibiti(ujauzito)
Hoja haikuwa kwamba hawajakosea, hoja ni kuwa tusiwasakame sababu huwa tunakosea nao...
Dhambi ya uzinifu tunaifanya wote, hata mwanaume kuwa na mtoto kabla ya ndoa ilipaswa kuwa jambo lisilopendeza, unakuwa na mtoto na hujaoa mama yake, iwe fedheha kwako.
Mkuu jaribu kutumia hata akili za kuvukia barabara basi.Kwenye hii Forum search malalamiko single mothers halafu utaona kuna single mothers wangapi wameleta mada.
Dah! Hatari Mkuu.Generally wapi hivyo. Hata mimi nilikuwa mbishi sana. Nikampata mmoja kwanza ni faita, mcha Mungu, mumewe aliachana muda mrefu, mtoto mmoja tu. Nikaona nimepata mke mwenye experience hapa. Aaagh nilivyoanza kumla na akajiona kwamba siwezi kupindua, akaanza visa, mara baba nani hata nikimwambia leo unanirudia, mara yeye marafiki zangu wengi ni wanaume. Pumbaaavu
Hana Hoja yoyote Mkuu.Una hoja,usikilizwe mkuu
Kutwa kelele za single mothers ni kutoka kwa vijana. Kwanini mnakuwa na kiherehere nao? Mbona wao hawafungui nyuzi za kulia lia?Mkuu jaribu kutumia hata akili za kuvukia barabara basi.
Unadhani hizo mimba kwa kiasi kikubwa walizibeba ili iweje?
Wengi wamebeba Mimba ili waolewe lakini ndio hivyo wametoswa na waliozaa nao.
Ulayamaze fatila ahoyene🤝Habari zenu wakuu,
Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana zikiwasema wanawake waliozaa nje ya ndoa kuwa hawafai na sio wa kuwaoa abadani. Kiukweli hili suala ni nyeti na linahitaji mjadala mkubwa ila mimi nitaongelea sababu zinazofanya wanaume wenzangu wengi wawe wagumu kuoa au kuanzia mahusiano ya kudumu na Single Mothers.
Hizi ni kati ya sababu zinazofanya wanaume wenzangu kuogopa kuingia kwenye Ndoa na single mothers;
1) Ubinafsi
- Kiukwei kila binadamu duniani ni mbinafsi, na ninaweza kusema ubinafsi sio kosa maana ni moja ya njia ya kujipenda kama binadam. Unapoona Mwanaume anakataa kuoa single mother basi tambua kuwa hataki kukubali fedha zake, au mali zake zitumike na uzao wa mtu mwengine.
Ngoja nitoe mfano, Mwanaume akioa Mwanamke kwa tamaduni zetu ni kwamba Mwanaume ndio mtoaji Mkuu wa familia, na niyeye ndio anaeihudumia familia yake kwa kiwango kikubwa (Fedha).
Wanaume wengi tunaogopa fedha zetu kuchukuliwa kisiri na kumjengea Mtoto wa single mother future yake, Wanaume hatutaki hilo suala tunataka mali zetu zitumiwe na uzao wetu tu na sio nje ya hapo.
2) Amani - sisi wanaume tunaoa kwa kuangalia past ya mwanamke na sio vyenginevyo, tukigundua past ilikuwa mbaya basi ni lazima tutoke nduki.
Kuzaa nje ni moja ya dalili kuwa past ya mwanamke ilikuwa mbaya, na tukigundua hilo huwa tunakosa amani (Peace).
USHAURI
DADA ZANGU NAOMBA MJITUNZE MAANA SISI WANAUME TUKITAKA KUOA HUWA TUNAANGALIA MAISHA YA NYUMA YA MWANAMKE NA SIO VYENGINEVYO.
UKO SAHIHI SANA,2) Amani - sisi wanaume tunaoa kwa kuangalia past ya mwanamke na sio vyenginevyo, tukigundua past ilikuwa mbaya basi ni lazima tutoke nduki.
Kuzaa nje ni moja ya dalili kuwa past ya mwanamke ilikuwa mbaya, na tukigundua hilo huwa tunakosa amani (Peace).
USHAURI
DADA ZANGU NAOMBA MJITUNZE MAANA SISI WANAUME TUKITAKA KUOA HUWA TUNAANGALIA MAISHA YA NYUMA YA MWANAMKE NA SIO VYENGINEVYO.
Hapana Mkuu.The same to single father
Huo ndio ukweli Mkuu.UKO SAHIHI SANA,
KWA KUONGEZA
MWANAUME ANAPENDA KUMILI MKE, NDIO ASILI YETU.
KUMILIKI ALIYEKUWA ANAMILIKIWA NA MWINGINE NI UKAKASI SANA.
ZAMA HIZI KUOA TU MKE NI CHANGAMOTO, HALAFU ETI NDIO UOE ALIYE NA MTOTO AU WATOTO😡😡
Kuoa single maza ni kujishusha thamani sanaMapenzi yana nguvu Mkuu, ila ndio hivyo wanawake wenyewe hawana msimamo tu.
Laiti kama Single mother wangekuwa wanajielewa basi wangekuwa wanaolewa sana, maana wana experience ya maisha kuwazidi wasiokuwa na watoto.
SOLUTION NI WAWE NA MISIMAMO NA UPENDO KWA WENZA WAO WAPYA.
Wanaume mko wengi TU,lakini sio wote wenye sifa ya kuwa mume wa MTU.Hapana Mkuu.
Wanaume tupo wachachee sana kuliko wanawake, na pia sisi wanaume ni watoaji wakuu kwenye familia (Fedha/Kuhudumia familia).
Mwanaume kuoa ni rahisi kuliko Mwanamke kuolewa akiwa single mother
WANAWAKE JITUNZENI.
Wamewakosea kina nani? Kwanini vijana wasio na makosa wala hawawataki single mothers ndo wasemaji wao wakuu?Sio hawafungui. Ni Hawafungui nyuzi nyingi.!!
Wanajijua ni wakosefu ndio maana wanakaa kimya.
Wamewakosea wazazi/walezi na familia zao. Wazazi/Walezi wameshadhalilika kwa Mwana kuzalia nyumbani tena nje ya ndoa.Wamewakosea kina nani? Kwanini vijana wasio na makosa wala hawawataki single mothers ndo wasemaji wao wakuu?
Mkuu kwanza kabisa ningependa uende Google na ku-search World population ina viumbe wangapi wenye jinsia Ke, halafu ukimaliza uangalie na jinsia Me?Wanaume mko wengi TU,lakini sio wote wenye sifa ya kuwa mume wa MTU.
Kuolewa NI maamuzi ya mtu.
Single mother asipoelewa kapenda mwenyewe.
hebu rejea Zari,shamsa,n.k
Single father mna MATATIZO pia,endeleeni kujipa moyo
Mkuu kati ya hao uliowataja hakuna Mwanaume mwenye akili timamu atakaemuoa Mke wa kwanza hao wanawake.Wanaume mko wengi TU,lakini sio wote wenye sifa ya kuwa mume wa MTU.
Kuolewa NI maamuzi ya mtu.
Single mother asipoelewa kapenda mwenyewe.
hebu rejea Zari,shamsa,n.k
Single father mna MATATIZO pia,endeleeni kujipa moyo
Eti single maza asipoolewa kapenda mwenyewe 🤣🤣🤣Single mother asipoelewa kapenda mwenyewe
Mbona sisi hatujalalamika, tujifunze nini sasa?Lisemalo lipo kama halipo laja Mkuu.
Wanawake Jitunzeni.