Sababu ya Single mother kutengwa na wanaume
Je alizaa kwa kujiingilia mwenyewe!? Ni kweli ni kosa lakini tusiwasakame sababu sisi ndio waingiliaji, ila kesi hiyo haionekani saana sababu sisi hatutembei na kidhibiti(ujauzito)

Hoja haikuwa kwamba hawajakosea, hoja ni kuwa tusiwasakame sababu huwa tunakosea nao...
Dhambi ya uzinifu tunaifanya wote, hata mwanaume kuwa na mtoto kabla ya ndoa ilipaswa kuwa jambo lisilopendeza, unakuwa na mtoto na hujaoa mama yake, iwe fedheha kwako.
Ni kweli Mkuu, ila anaepata athari zaidi ndio anapaswa kujilinda.

Wanawake wanakosea sana kuzalia nyumbani maana wanawadhalilisha hadi wazazi na familia zao.
 
Kwenye hii Forum search malalamiko single mothers halafu utaona kuna single mothers wangapi wameleta mada.
Mkuu jaribu kutumia hata akili za kuvukia barabara basi.

Unadhani hizo mimba kwa kiasi kikubwa walizibeba ili iweje?

Wengi wamebeba Mimba ili waolewe lakini ndio hivyo wametoswa na waliozaa nao.
 
Generally wapi hivyo. Hata mimi nilikuwa mbishi sana. Nikampata mmoja kwanza ni faita, mcha Mungu, mumewe aliachana muda mrefu, mtoto mmoja tu. Nikaona nimepata mke mwenye experience hapa. Aaagh nilivyoanza kumla na akajiona kwamba siwezi kupindua, akaanza visa, mara baba nani hata nikimwambia leo unanirudia, mara yeye marafiki zangu wengi ni wanaume. Pumbaaavu
Dah! Hatari Mkuu.

Wanawake wengi waliozalia nyumbani ukiwachunguza wana tabia za hovyo sana.

Wengi wanatamaa na hawana hofu ya Muumba hata kidogo.
 
Una hoja,usikilizwe mkuu
Hana Hoja yoyote Mkuu.

Wanawake walipewa Bikra na Muumba ili wajitunze. Wameshindwa kujitunza sawa. kwanini wazae nje?

Wanadhalilisha familia zao sana, maana unakuta anakaa kwa wazazi na hakuna inshu yoyote inayoendelea kwenye maisha yake.

Tamaa ndio zinafanya wabebe mimba nje ya ndoa.
 
Mkuu jaribu kutumia hata akili za kuvukia barabara basi.

Unadhani hizo mimba kwa kiasi kikubwa walizibeba ili iweje?

Wengi wamebeba Mimba ili waolewe lakini ndio hivyo wametoswa na waliozaa nao.
Kutwa kelele za single mothers ni kutoka kwa vijana. Kwanini mnakuwa na kiherehere nao? Mbona wao hawafungui nyuzi za kulia lia?
 
Habari zenu wakuu,

Nimekuwa naona nyuzi nyingi sana zikiwasema wanawake waliozaa nje ya ndoa kuwa hawafai na sio wa kuwaoa abadani. Kiukweli hili suala ni nyeti na linahitaji mjadala mkubwa ila mimi nitaongelea sababu zinazofanya wanaume wenzangu wengi wawe wagumu kuoa au kuanzia mahusiano ya kudumu na Single Mothers.

Hizi ni kati ya sababu zinazofanya wanaume wenzangu kuogopa kuingia kwenye Ndoa na single mothers;
1) Ubinafsi
- Kiukwei kila binadamu duniani ni mbinafsi, na ninaweza kusema ubinafsi sio kosa maana ni moja ya njia ya kujipenda kama binadam. Unapoona Mwanaume anakataa kuoa single mother basi tambua kuwa hataki kukubali fedha zake, au mali zake zitumike na uzao wa mtu mwengine.

Ngoja nitoe mfano, Mwanaume akioa Mwanamke kwa tamaduni zetu ni kwamba Mwanaume ndio mtoaji Mkuu wa familia, na niyeye ndio anaeihudumia familia yake kwa kiwango kikubwa (Fedha).

Wanaume wengi tunaogopa fedha zetu kuchukuliwa kisiri na kumjengea Mtoto wa single mother future yake, Wanaume hatutaki hilo suala tunataka mali zetu zitumiwe na uzao wetu tu na sio nje ya hapo.

2) Amani - sisi wanaume tunaoa kwa kuangalia past ya mwanamke na sio vyenginevyo, tukigundua past ilikuwa mbaya basi ni lazima tutoke nduki.

Kuzaa nje ni moja ya dalili kuwa past ya mwanamke ilikuwa mbaya, na tukigundua hilo huwa tunakosa amani (Peace).

USHAURI
DADA ZANGU NAOMBA MJITUNZE MAANA SISI WANAUME TUKITAKA KUOA HUWA TUNAANGALIA MAISHA YA NYUMA YA MWANAMKE NA SIO VYENGINEVYO.
Ulayamaze fatila ahoyene🤝
 
Kutwa kelele za single mothers ni kutoka kwa vijana. Kwanini mnakuwa na kiherehere nao? Mbona wao hawafungui nyuzi za kulia lia?
Sio hawafungui. Ni Hawafungui nyuzi nyingi.!!

Wanajijua ni wakosefu ndio maana wanakaa kimya.
 
2) Amani - sisi wanaume tunaoa kwa kuangalia past ya mwanamke na sio vyenginevyo, tukigundua past ilikuwa mbaya basi ni lazima tutoke nduki.

Kuzaa nje ni moja ya dalili kuwa past ya mwanamke ilikuwa mbaya, na tukigundua hilo huwa tunakosa amani (Peace).


USHAURI
DADA ZANGU NAOMBA MJITUNZE MAANA SISI WANAUME TUKITAKA KUOA HUWA TUNAANGALIA MAISHA YA NYUMA YA MWANAMKE NA SIO VYENGINEVYO.
UKO SAHIHI SANA,
KWA KUONGEZA
MWANAUME ANAPENDA KUMILI MKE, NDIO ASILI YETU.
KUMILIKI ALIYEKUWA ANAMILIKIWA NA MWINGINE NI UKAKASI SANA.

ZAMA HIZI KUOA TU MKE NI CHANGAMOTO, HALAFU ETI NDIO UOE ALIYE NA MTOTO AU WATOTO😡😡
 
The same to single father
Hapana Mkuu.

Wanaume tupo wachachee sana kuliko wanawake, na pia sisi wanaume ni watoaji wakuu kwenye familia (Fedha/Kuhudumia familia).

Mwanaume kuoa ni rahisi kuliko Mwanamke kuolewa akiwa single mother


WANAWAKE JITUNZENI.
 
UKO SAHIHI SANA,
KWA KUONGEZA
MWANAUME ANAPENDA KUMILI MKE, NDIO ASILI YETU.
KUMILIKI ALIYEKUWA ANAMILIKIWA NA MWINGINE NI UKAKASI SANA.

ZAMA HIZI KUOA TU MKE NI CHANGAMOTO, HALAFU ETI NDIO UOE ALIYE NA MTOTO AU WATOTO😡😡
Huo ndio ukweli Mkuu.

Wanaume tuna Wivu sana, na pia tunataka kumiliki Mwanamke asiekuwa na mambo mengi (Including asie zaa).

Mwanamke aliezaa nje ya ndoa anafanya wewe Mwanaume uwe na wivu kwake kuliko yeye alivyo na wivu kwako (Huo ni udhaifu kwa Mwanaume).

N.b Mwanamke ndio anapaswa awe na wivu Mkubwa kwako Mwanaume.
 
Mapenzi yana nguvu Mkuu, ila ndio hivyo wanawake wenyewe hawana msimamo tu.

Laiti kama Single mother wangekuwa wanajielewa basi wangekuwa wanaolewa sana, maana wana experience ya maisha kuwazidi wasiokuwa na watoto.

SOLUTION NI WAWE NA MISIMAMO NA UPENDO KWA WENZA WAO WAPYA.
Kuoa single maza ni kujishusha thamani sana
 
Hapana Mkuu.

Wanaume tupo wachachee sana kuliko wanawake, na pia sisi wanaume ni watoaji wakuu kwenye familia (Fedha/Kuhudumia familia).

Mwanaume kuoa ni rahisi kuliko Mwanamke kuolewa akiwa single mother


WANAWAKE JITUNZENI.
Wanaume mko wengi TU,lakini sio wote wenye sifa ya kuwa mume wa MTU.
Kuolewa NI maamuzi ya mtu.
Single mother asipoelewa kapenda mwenyewe.
hebu rejea Zari,shamsa,n.k
Single father mna MATATIZO pia,endeleeni kujipa moyo
 
Sio hawafungui. Ni Hawafungui nyuzi nyingi.!!

Wanajijua ni wakosefu ndio maana wanakaa kimya.
Wamewakosea kina nani? Kwanini vijana wasio na makosa wala hawawataki single mothers ndo wasemaji wao wakuu?
 
Wamewakosea kina nani? Kwanini vijana wasio na makosa wala hawawataki single mothers ndo wasemaji wao wakuu?
Wamewakosea wazazi/walezi na familia zao. Wazazi/Walezi wameshadhalilika kwa Mwana kuzalia nyumbani tena nje ya ndoa.



Elimu ni lazima itolewe hata kama unaona haina maana kwako.

Sisi wanaume tunaojielewa tunatoa elimu ili wasiojielewa wajielewe na wasitupe lawama sisi tunaojielewa kwa kuwanyima maarifa haya Adhimu.
 
Wanaume mko wengi TU,lakini sio wote wenye sifa ya kuwa mume wa MTU.
Kuolewa NI maamuzi ya mtu.
Single mother asipoelewa kapenda mwenyewe.
hebu rejea Zari,shamsa,n.k
Single father mna MATATIZO pia,endeleeni kujipa moyo
Mkuu kwanza kabisa ningependa uende Google na ku-search World population ina viumbe wangapi wenye jinsia Ke, halafu ukimaliza uangalie na jinsia Me?


Ngoja nikuulize swali Mujarabu kabsa. Hivi Mkuu kwanini wazazi/Walezi huwa wanawapa elimu watoto wa kike kujitunza wakifika Baleghe? Kama ukijibu hili swali basi hakuna mjadala wa kuuendelza hapa.


WANAWAKE TUNAWAPENDA SANA, JITUNZENI ILI UPENDO WETU UWE ZAIDI NA ZAIDI KWENU.
 
Wanaume mko wengi TU,lakini sio wote wenye sifa ya kuwa mume wa MTU.
Kuolewa NI maamuzi ya mtu.
Single mother asipoelewa kapenda mwenyewe.
hebu rejea Zari,shamsa,n.k
Single father mna MATATIZO pia,endeleeni kujipa moyo
Mkuu kati ya hao uliowataja hakuna Mwanaume mwenye akili timamu atakaemuoa Mke wa kwanza hao wanawake.

Hao labda awe mke wa pili, au aolewe na Kibenten.

Samahani kwa maneno hayo, najua kuna watu nimekwaza [emoji115]
 
Back
Top Bottom