Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika



=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.

Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.

''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".

Kumbe kazi ya askari ni kuua si kujeruhi ili mhalifu akamatwe kirahisi! Serikali ya shoot to kill?! Mama tubu kwa Mungu mtamaliza raia wema kwa mtindo wenu huu, yaani mnajisifia kuua!
 
Kumbe kazi ya askari ni kuua si kujeruhi ili mhalifu akamatwe kirahisi! Serikali ya shoot to kill?! Mama tubu kwa Mungu mtamaliza raia wema kwa mtindo wenu huu, yaani mnajisifia kuua!
Raia wema hawawezi kumalizwa, yatamalizwa majambazi, na wale wote wasiolitakia mema taifa Hili..!
 
Mama yetu Samia tuna kuheshimu sana jizuie ulimi wako usinene yasiyo haki au ushalewa sifa kuwa u mweupe na u mzuri ?

Huu ndio ukweli hakuna askari mwenye mafunzo apige risasi kumi na sita akose hahahah chadema ndio walumpiga risasi lissu kisa Urais! Lissu amepigwa na watu wa chadema
 
Mama yako anakipi Cha ziada, kinachofanya ukashifu mama wa wengine, kwa kumuita taahira[emoji23]?
We jamaa emb acha kubweka [emoji2788] humu[emoji848], pengine labda hata huyo mama yako Ni mnufaika wa ule mfuko wa TASAF kusaidia Kaya masikini...!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] jibu sahihi kabisa kwa huyo malaya.
 
Watu wanafata ushabiki tu nahili jambo kipo kitu ndani yake! Hivi unawezaje kurudi kwenye nchi unayowindwa na serikali husika huku ukiomba ulinzi huohuo!.. kipo kitu nyuma ya pazia.

Mama samia kasema ukweli hata msimlaumu.. kwa serikali njia za kumtaka mtu zipo nyingi tu lkn sio kwa namna ile ya lissu.. hayo maswali ya CCTV sijui walinzi n.k yatakuwa na majibu tu tatizo kuwekwa hadharani.
Yawekeni hadharani sasa
 
Jamani hivi bado Chadema hamuelewi kwamba Lissu alipigwa Risasi kwasababu ya nafasi ya Mwenyekiti 😀😀😀😀😀😀😐
Huu ujinga bakieni nao huko CCM mlipolala lakini kwa walioamka hawana mda wa kusikiliza propaganda za kishamba namna hizo
 
Tumwambie tu huyu mke wa Coplo wa zimamoto kuwa wauaji waliowatuma kumuua Lissu hawakumkosa, walimpata, walimimina zaidi ya 30, na zote zililenga pale pale anapokaa Lissu kwa upande wa ndani. Hongera huyo askari kaiva kwenye shabaha.
Mliwatuma wakatekeleza maelekezo.
Ila hata siku moja shetani hajawahi kumzidi Mungu!
Nilikuwa nakuona ww mama mstaarab umekaa kimya haufungamani na hao wenzako, kumbe ulikuwa umeficha makucha, Lissu mliyomtwanga marisasi ya kutosha Mungu akasema no, huyu mtu ni mpango wangu, ni lazima aishi! Mna roho mbaya sana ninyi watu, sijui mwanamke gan ww, hukuzaa??

Hakuna kitu kama hicho...ukweli ni kwamba kama askari wetu wange husika kumpiga Risasi wasinge mkosa kabisa na asingekuwa hai kabisa
 
Kwa hiyo mama anataka kusema nini?
Yaani kwa mfano Lissu angepigwa lisasi tatu tu na kufariki hapo ndio tungehitimisha kuwa hao waliompiga Lissu ni askari wa serikali ya CCM!
Hiyo ni akili ya uwendawazimu.

Hivi huyo mama anajua kuwa waliomuua Rais Abeid Karume kule Zanzibar walikuwa ni askari wa serikali ya CCM na walimimina zaidi ya risasi kumi mwilini mwake?

Hivi huyo mama anajua kuwa waliomuua aliyekuwa mkuu wa idara ya usalama wa taifa, Imrani Kombe kule Kilimanjaro walikuwa ni askari wa serikali ya CCM na walimimina zaidi ya risasi tatu mwilini mwake?

Mama anapaswa kutuambia kwa nini mpaka leo hii wahusika wa tukio lile la kutaka kumuua Lissu hawajatafutwa, kutajwa, kukamatwa na kushtakiwa na serikali?

Kama mama Samia anawajua wahusika wa tukio lile la shambulizi dhidi ya Lissu basi awataje, na kama hawajui (ama anaogopa kuwataja) ni vyema akakaa kimya, kuliko kuchokonoa mzinga wa nyuki.

Ni bora hata mama Samia angetuambia basi kwa uchache ni akina nani walimlisha sumu Mzee Mangula akiwa ndani ya ofisi kuu za CCM kiasi cha kuponea chupu chupu kupoteza maisha.

Mwisho napenda kumwambia mama Samia anapaswa kufahamu tu, kikulacho kiko nguoni mwako, asitukane mamba kabla ya kuvuka mto, kilichompata Lissu huenda kitakuja au kingeweza kumpata mtu mwingine yoyote katika Tanzania hii ya sasa.

Yote kwa yote, mama Samia anapaswa kujua Karma ipo, na ipo siku itajibu mapigo. Namkumbusha tu Dr. Omar Ali Juma alifariki ghafla kwa mshtuko wa moyo (Cardiac arrest) mwaka 2001 akiwa makamu wa rais wa Mkapa, ambapo miaka 19 baadaye Mkapa naye alifariki ghafla kwa mshtuko wa moyo (Cardiac arrest). Wote hao wanahusishwa na vifo vya wazanzibar kwenye maandamano ya mwaka 2001.
 
Swali ambalo huwa hamtaki kujibu, hao wadeni walikuwa na Uwezo gani kuondoa Walinzi getini? Na walikuwa na Uwezo gani kurudi siku ya 2 kung'oa CCTV? Na walikuwa na Uwezo gani kuzuia report ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge isisomwe Bungeni? Walikuwa na Uwezo gani kukataa kumlipia Lissu matibabu? Walikuwa na Uwezo gani kumfuta Lissu Ubunge?

Mwache ufala Unajua!
FBI na CIA waliopo ubalozi wa marekani walifanya uchunguzi wa siri ndipo wakawabaini Timu nzima iliyoraribu na kutekeleza shambulio hakuna siri tena washambuliaji wanajulikana vizuri baada ya uchaguzi watafikishwa ICC The Hague kujibu tuhuma zao.
 
Tatizo nyie vijana wa Ufipa mnapoambiwa ukweli mnajikuta kukaza fuvu.

Mama Samia alichokisema ni sahihi; hakuna muuwaji wa kutumia bunduki Ambaye anaweza piga risasi zaidi ya 16 pasipo kumuua mtu na Wala hakuna muuaji anae shambulia miguu na kuacha kichwa na kifua.

Hivyo muwe mnaelewa uhalisia siyo kuwasikiliza wanasiasa kila kitu.
Kweli pale walitumia baruti ndiyo maana hajafa
 
Ndugu haya ni maandiko hayajalishi cheo au umaarufu wa mtu kwa Mungu hvyo vyote havina nafasi.Na uzuri uislamu haurembeshi wala kufichaficha ikiwa Mtume amekosolewa nan mwenye cheo kumshinda yeye ktk uislamu?ktk hii dini hakuna kumtukuza mtu isipokuwa Mungu pekee,tafakar chukua hatua
Na mzazi wako wa kike akiwemo[emoji2788][emoji2788], Sasa bado nahangaika kumweka kweye kundi litakalo msatahili, either sherwani au jini.
Jifunze kuwajibu watu kwa staha, matusi sio hoja.
 
[emoji38] [emoji38] [emoji38] jibu sahihi kabisa kwa huyo malaya.
Unajua, Hawa vijana wa Chadema kwa asilimia kubwa Wana hulka ya fujo na kauli za kifedhuri, Leo najiskia kwenda nao sambamba.Sasa Kama huyo anamwita Samia taahira, bila kujali pengine labda kamzidi umri.
 
Mama Samia mungu anakuona unajua! 😅
... haya bwana tunajua sio wewe na inabidi tu tukupige na leso!
😅
👊 ✌✌✌💥
 
Back
Top Bottom