Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Mama kaanza kuharibikiwa!
Nondo za Lissu zinawatoa akili!
Nondo za Lissu zinawatoa akili!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshukiwa namba mmoja kafukuzwa kazi Yuko kigamboni ananyonyeshaYupo sahihi kivipi?
Mama yenu wewe na nani?usije ukajumlisha ni mama wa Watanzania ukanijumuisha na mimi mama yangu hawezi kuwa taahira kama huyu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mume wa mama Samia aandike maumivu na kama ana uwezo wa kushika mimba, awamu hii wakishinda yeye na Meko tutarajie mtoto mjukuu hapoMama yetu Samia tuna kuheshimu sana jizuie ulimi wako usinene yasiyo haki au ushalewa sifa kuwa u mweupe na u mzuri ?
Hawa wamebakisha kidogo wataanza kutajana majukwaani.Kwa iyo Chadema wapange kumuua, Serikali wagome kuchunguza, Magufuli atoe maagizo kwa ndugai kukataa kulipia Matibabu na mwisho CCTV camera kwenye eneo la tukio zitolewe na bunge la ndugai wamvue ubunge Lissu!!
Labda tuseme hujaenda shule, haya mambo yote yataingia akilini mwaki kweli???!
Alafu Chadema wakatoa cctv camera eneo la tukio, wakamnyima matibabu, wakazuia watu kuvaa fulana za pray for Lissu, wakazuia watu kumchangia damu na kumuombea Lissu, mwisho wakamvua na ubunge???Jamani hivi bado Chadema hamuelewi kwamba Lissu alipigwa Risasi kwasababu ya nafasi ya Mwenyekiti 😀😀😀😀😀😀😐
Swali ambalo huwa hamtaki kujibu, hao wadeni walikuwa na Uwezo gani kuondoa Walinzi getini? Na walikuwa na Uwezo gani kurudi siku ya 2 kung'oa CCTV? Na walikuwa na Uwezo gani kuzuia report ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge isisomwe Bungeni? Walikuwa na Uwezo gani kukataa kumlipia Lissu matibabu? Walikuwa na Uwezo gani kumfuta Lissu Ubunge?Lissu itakuwa alipigwa risasi na Wadeni wake au alikua anachukua wake za watu, ndiyo hayo matatizo kajisababishia!!
Umeanza vizuri,nikafikiri huu ndo utakuwa mwanzo tujibizane kwa hoja, ila hapo mwishoni, ndo umeharibu, shule hajaenda mama yako na baba yako, na hata wewe pia.Kwa iyo Chadema wapange kumuua, Serikali wagome kuchunguza, Magufuli atoe maagizo kwa ndugai kukataa kulipia Matibabu na mwisho CCTV camera kwenye eneo la tukio zitolewe na bunge la ndugai wamvue ubunge Lissu!!
Labda tuseme hujaenda shule, haya mambo yote yataingia akilini mwaki kweli???!
hahaha mzee wa utepe kitambo sana.Huyu naye ameshanogewa na cheo. Bilali mzee wa kutembea na mkasi mfukoni hakuwaga na ishu kama hizi.
List ya nini!?huyu mama leo kala kungu nyingi zimemlevya.
Mpeni taarifa tumeliongeza jina lake kwenye list.
Huyu mama ni mafia sana uchaguzi wa 2015 alikuwa anatembea anagawa hela kwa kificho.
=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.
Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.
''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Huyo mama anayo madhaifu yake, Madhambi yake mengi lakini chadema waliamua lustily tu kiutuuzimaMume wa mama Samia aandike maumivu na kama ana uwezo wa kushika mimba, awamu hii wakishinda yeye na Meko tutarajie mtoto mjukuu hapo
kwa hiyo Mbowe ndo aliyeng'oa CCTV camera na kuondoa walinzi?Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.
Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Ben sanane aliutaka uenyekit wa Chama akapotea mpaka leo.
Tundu lissu aliutaka uenyekiti wa Chama akapigwa na vitu vinavyosadikika ni risasi.
F. SUMAYE aliutaka uenyekiti wa Chama akaambiwa kuwa Sumu haionjwi kwa usalama wa maisha yake akaamua kujiweka pembeni na kuchomoka kwenye himaya za mtia Sumu.
Swali; kwanini Kila anaeutaka uenyekiti wa Chama CDM anapatwa na matatizo Ni ipi Siri iliyopo Hapo nyuma?
Je nikweli Mbowe Ni kibaraka wa serikali kwamba hawezi kutoka kwenye kile kiti kwa masilahi ya Taifa?
wewe mpe hayo maelezo tu ataelewa.List ya nini!?
kwani ukimtaja baba na mama yake hapa badala ya buku saba inajiufunga kumi?Umeanza vizuri,nikafikiri huu ndo utakuwa mwanzo tujibizane kwa hoja, ila hapo mwishoni, ndo umeharibu, shule hajaenda mama yako na baba yako, na hata wewe pia.
Hizo sio risasi ni magoroli ya ndege, wewe unajua risasi kweli?Tumwambie tu huyu mke wa Coplo wa zimamoto kuwa wauaji waliowatuma kumuua Lissu hawakumkosa, walimpata, walimimina zaidi ya 30, na zote zililenga pale pale anapokaa Lissu kwa upande wa ndani. Hongera huyo askari kaiva kwenye shabaha.
Mliwatuma wakatekeleza maelekezo.
Ila hata siku moja shetani hajawahi kumzidi Mungu!
Nilikuwa nakuona ww mama mstaarab umekaa kimya haufungamani na hao wenzako, kumbe ulikuwa umeficha makucha, Lissu mliyomtwanga marisasi ya kutosha Mungu akasema no, huyu mtu ni mpango wangu, ni lazima aishi! Mna roho mbaya sana ninyi watu, sijui mwanamke gan ww, hukuzaa??