Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Kwamba walikua wanamwaga njugu bila kujua aliekuepo ndani ni nani ila walikua wakifahamu tu kama hii gari inayokuja ni ya lissu.na kwamba hata lisu asingekuepo ndani kulingana na tinted zilizokua bado wasingejua kuna nani ndani point ni kua hii gari ni yalisu ilivyofika mahala stahili wakamwaga njugu sindio mkuu au nimekosea kukuelewa?
Unaelewa taratibu mno!Ni hivi,wanaweza wakawa walikuwa nje ya viunga vya bunge huku wakimsubiri lisu!Lissu alipotoka bungeni wakahakikisha kuwa ni yeye ndiye kapanda kwenye gari na kaka upande upi!Baada ya hapo wakalifuatilia gari kwa nyuma mpaka kwenye makazi yake ambapo ndipo aliposimama na wakafanya shambulizi hapo hapo!So ndio,walimwaga risasi upande aliokaa Lissu bila kumuona kakaaje!Ndio maana walimwaga risasi nyingi ili kuongeza chance ya kumuua!Picha ya gari baada ya shambulizi ipo mtandaoni,itafute uone!Huwezi kumuona mtu aliyeko ndani ya gari kwa tint ile!Nadhani umeelewa!
 
Dah! Mama Samia umeniangusha!..Kila siku nilikuwa naona awamu hii ni watu wa hovyo isipokuwa wewe na PM Majaliwa but leo umeniangusha kwa knockout!
 
Hata trafwiki haruhusiwi kupokea senti za kubrashi viatu wawapo barabarani, ila kuna kuteleza sometimes nao ni binadamu ati.
 
Mama yenu wewe na nani?usije ukajumlisha ni mama wa Watanzania ukanijumuisha na mimi mama yangu hawezi kuwa taahira kama huyu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mama yako anakipi Cha ziada, kinachofanya ukashifu mama wa wengine, kwa kumuita taahira😂?
We jamaa emb acha kubweka 🗣️ humu🤔, pengine labda hata huyo mama yako Ni mnufaika wa ule mfuko wa TASAF kusaidia Kaya masikini...!
 
Tumwambie tu huyu mke wa Coplo wa zimamoto kuwa wauaji waliowatuma kumuua Lissu hawakumkosa, walimpata, walimimina zaidi ya 30, na zote zililenga pale pale anapokaa Lissu kwa upande wa ndani. Hongera huyo askari kaiva kwenye shabaha.
Mliwatuma wakatekeleza maelekezo.
Ila hata siku moja shetani hajawahi kumzidi Mungu!
Nilikuwa nakuona ww mama mstaarab umekaa kimya haufungamani na hao wenzako, kumbe ulikuwa umeficha makucha, Lissu mliyomtwanga marisasi ya kutosha Mungu akasema no, huyu mtu ni mpango wangu, ni lazima aishi! Mna roho mbaya sana ninyi watu, sijui mwanamke gan ww, hukuzaa??
Jamani hivi bado Chadema hamuelewi kwamba Lissu alipigwa Risasi kwasababu ya nafasi ya Mwenyekiti 😀😀😀😀😀😀😐
 


=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.

Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.

''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".

Hee, Huyu Mama Kumbe naye ni mshenzi ee
 


=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.

Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.

''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Zile tetesi kwamba huyu mama mpuuzi ni form four failure zinaanza kuwa na mantiki.
 
Tatizo ukiwa obsessed na siasa hata Fact ndogo ndogo inakuaga ngumu sana kuelewa.
Tulizeni akili zenu mtafakari kwa kina japo sio kila mtu ana upeo wa uchambuzi
 
Hakika huyu mama si Muislam ..atakuwa kuna Mungu wake anayemuabudu ...bila shata atakuwa wa Chato! Hizi siyo kauli za kiungwana hata kidogo.
 
Kwa akili yako, mission ya kuuwa inayotolewa na kiongozi mkuu wa nchi, Kama mbavyotaka kutuaminisha, anatumwa police officer😂? Mnapenda kuchukulia vitu easy sana.Risasi 38, kukiwa hakuna ulinzi wowote, gari umesimama commando ashindwe kukuuwa 😂😂😂, huyo alikuwa ana winda ndege labda.

NB Ingekuwa Ni agizo kutoka juu, Kama mnavyodai, na kwa mazingira ya tukio, Hali ingekuwa tofauti kidogo.Wachunguzane tu hukohuko ndani ya Chama Chao.
Kwa iyo Chadema wapange kumuua, Serikali wagome kuchunguza, Magufuli atoe maagizo kwa ndugai kukataa kulipia Matibabu na mwisho CCTV camera kwenye eneo la tukio zitolewe na bunge la ndugai wamvue ubunge Lissu!!


Labda tuseme hujaenda shule, haya mambo yote yataingia akilini mwaki kweli???!
 


=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.

Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.

''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Kwa siku ile alienda kumtembelea hispital ilikuwa ni unafiki sio?
Nakumbuka kiogozi wa kwanza kumtembele lisu hospital ni samia kipini yuko ziarani huko nje
 
Hao wadeni wake baadae wakaenda kun'goa CCTV

Lakini kabla ya shambulizi hao jamaa ambao walichukuliwa wake zao walihakikisha walinzi wote hapo Area D wanaondolewa amaa kweli hao watu wananguvu serikalini
Inawezekana Lisu alimchukua mke wa Meko, kama sababu ni kuchukua wake za watu
 
Siamini kama Mama yetu ameanza kuongea hayo maneno
 
Back
Top Bottom