Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Mama yetu Samia tuna kuheshimu sana jizuie ulimi wako usinene yasiyo haki au ushalewa sifa kuwa u mweupe na u mzuri ?
Mume wa mama Samia aandike maumivu na kama ana uwezo wa kushika mimba, awamu hii wakishinda yeye na Meko tutarajie mtoto mjukuu hapo
 
Kwa iyo Chadema wapange kumuua, Serikali wagome kuchunguza, Magufuli atoe maagizo kwa ndugai kukataa kulipia Matibabu na mwisho CCTV camera kwenye eneo la tukio zitolewe na bunge la ndugai wamvue ubunge Lissu!!


Labda tuseme hujaenda shule, haya mambo yote yataingia akilini mwaki kweli???!
Hawa wamebakisha kidogo wataanza kutajana majukwaani.
Mungu hadhihakiwi.
 
Jamani hivi bado Chadema hamuelewi kwamba Lissu alipigwa Risasi kwasababu ya nafasi ya Mwenyekiti 😀😀😀😀😀😀😐
Alafu Chadema wakatoa cctv camera eneo la tukio, wakamnyima matibabu, wakazuia watu kuvaa fulana za pray for Lissu, wakazuia watu kumchangia damu na kumuombea Lissu, mwisho wakamvua na ubunge???

Kweli Chadema wananguvu na wanaendesha Serikali kwa kivuli cha Magufuli!
 
Lissu itakuwa alipigwa risasi na Wadeni wake au alikua anachukua wake za watu, ndiyo hayo matatizo kajisababishia!!
Swali ambalo huwa hamtaki kujibu, hao wadeni walikuwa na Uwezo gani kuondoa Walinzi getini? Na walikuwa na Uwezo gani kurudi siku ya 2 kung'oa CCTV? Na walikuwa na Uwezo gani kuzuia report ya Kamati ya Ulinzi na Usalama ya Bunge isisomwe Bungeni? Walikuwa na Uwezo gani kukataa kumlipia Lissu matibabu? Walikuwa na Uwezo gani kumfuta Lissu Ubunge?

Mwache ufala Unajua!
 
Kwa iyo Chadema wapange kumuua, Serikali wagome kuchunguza, Magufuli atoe maagizo kwa ndugai kukataa kulipia Matibabu na mwisho CCTV camera kwenye eneo la tukio zitolewe na bunge la ndugai wamvue ubunge Lissu!!


Labda tuseme hujaenda shule, haya mambo yote yataingia akilini mwaki kweli???!
Umeanza vizuri,nikafikiri huu ndo utakuwa mwanzo tujibizane kwa hoja, ila hapo mwishoni, ndo umeharibu, shule hajaenda mama yako na baba yako, na hata wewe pia.
 


=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.

Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.

''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Huyu mama ni mafia sana uchaguzi wa 2015 alikuwa anatembea anagawa hela kwa kificho.
 
Mume wa mama Samia aandike maumivu na kama ana uwezo wa kushika mimba, awamu hii wakishinda yeye na Meko tutarajie mtoto mjukuu hapo
Huyo mama anayo madhaifu yake, Madhambi yake mengi lakini chadema waliamua lustily tu kiutuuzima
 
Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.

Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Ben sanane aliutaka uenyekit wa Chama akapotea mpaka leo.
Tundu lissu aliutaka uenyekiti wa Chama akapigwa na vitu vinavyosadikika ni risasi.
F. SUMAYE aliutaka uenyekiti wa Chama akaambiwa kuwa Sumu haionjwi kwa usalama wa maisha yake akaamua kujiweka pembeni na kuchomoka kwenye himaya za mtia Sumu.

Swali; kwanini Kila anaeutaka uenyekiti wa Chama CDM anapatwa na matatizo Ni ipi Siri iliyopo Hapo nyuma?

Je nikweli Mbowe Ni kibaraka wa serikali kwamba hawezi kutoka kwenye kile kiti kwa masilahi ya Taifa?
kwa hiyo Mbowe ndo aliyeng'oa CCTV camera na kuondoa walinzi?
 
Umeanza vizuri,nikafikiri huu ndo utakuwa mwanzo tujibizane kwa hoja, ila hapo mwishoni, ndo umeharibu, shule hajaenda mama yako na baba yako, na hata wewe pia.
kwani ukimtaja baba na mama yake hapa badala ya buku saba inajiufunga kumi?
 
Tumwambie tu huyu mke wa Coplo wa zimamoto kuwa wauaji waliowatuma kumuua Lissu hawakumkosa, walimpata, walimimina zaidi ya 30, na zote zililenga pale pale anapokaa Lissu kwa upande wa ndani. Hongera huyo askari kaiva kwenye shabaha.
Mliwatuma wakatekeleza maelekezo.
Ila hata siku moja shetani hajawahi kumzidi Mungu!
Nilikuwa nakuona ww mama mstaarab umekaa kimya haufungamani na hao wenzako, kumbe ulikuwa umeficha makucha, Lissu mliyomtwanga marisasi ya kutosha Mungu akasema no, huyu mtu ni mpango wangu, ni lazima aishi! Mna roho mbaya sana ninyi watu, sijui mwanamke gan ww, hukuzaa??
Hizo sio risasi ni magoroli ya ndege, wewe unajua risasi kweli?
 
Back
Top Bottom