Kumbe na wewe huwa unatetea unyama ???Ulitaka waanze kumuhoji na kampeni hizi si atalalamika! Halafu usitumie tuli mi sihusiki wewe acha kuwa na akili mgando..
Matukio mengine yanahitaji muda.. tunajadili hatima ukifata process hutaelewa kamwe.
Kwa akili yako, mission ya kuuwa inayotolewa na kiongozi mkuu wa nchi, Kama mbavyotaka kutuaminisha, anatumwa police officer[emoji23]? Mnapenda kuchukulia vitu easy sana.Risasi 38, kukiwa hakuna ulinzi wowote, gari umesimama commando ashindwe kukuuwa [emoji23][emoji23][emoji23], huyo alikuwa ana winda ndege labda.
NB Ingekuwa Ni agizo kutoka juu, Kama mnavyodai, na kwa mazingira ya tukio, Hali ingekuwa tofauti kidogo.Wachunguzane tu hukohuko ndani ya Chama Chao.
Nayaheshimu Sana maandiko, Ila nusingeweza kukaa kimya na kuvumilia, hata baada ya wewe kuniita sherwani🤔!Ndugu haya ni maandiko hayajalishi cheo au umaarufu wa mtu kwa Mungu hvyo vyote havina nafasi.Na uzuri uislamu haurembeshi wala kufichaficha ikiwa Mtume amekosolewa nan mwenye cheo kumshinda yeye ktk uislamu?ktk hii dini hakuna kumtukuza mtu isipokuwa Mungu pekee,tafakar chukua hatua
Kuwa ccm ni dhambi tosha kukosesha pepoHata Kikwete sio msafii ?
Kwa iyo Chadema wapange kumuua, Serikali wagome kuchunguza, Magufuli atoe maagizo kwa ndugai kukataa kulipia Matibabu na mwisho CCTV camera kwenye eneo la tukio zitolewe na bunge la ndugai wamvue ubunge Lissu!!
Labda tuseme hujaenda shule, haya mambo yote yataingia akilini mwaki kweli???!
Dr omary alilishwa Sumu baada ya taarifa kuvuja kuwa anajiaandaa kuvunja muungano awe Rais wa Zanzibar huru isiyo koloni la Tanganyika hata mkapa zipo tetesi kuwa nae kifo chake kina utata kutokana na yeye kuwa alikuwa amekasirika akataka kuanika ukweli juu ya mikataba ya madiniKwa hiyo mama anataka kusema nini?
Yaani kwa mfano Lissu angepigwa lisasi tatu tu na kufariki hapo ndio tungehitimisha kuwa hao waliompiga Lissu ni askari wa serikali ya CCM!
Hiyo ni akili ya uwendawazimu.
Hivi huyo mama anajua kuwa waliomuua Rais Abeid Karume kule Zanzibar walikuwa ni askari wa serikali ya CCM na walimimina zaidi ya risasi kumi mwilini mwake?
Hivi huyo mama anajua kuwa waliomuua aliyekuwa mkuu wa idara ya usalama wa taifa, Imrani Kombe kule Kilimanjaro walikuwa ni askari wa serikali ya CCM na walimimina zaidi ya risasi tatu mwilini mwake?
Mama anapaswa kutuambia kwa nini mpaka leo hii wahusika wa tukio lile la kutaka kumuua Lissu hawajatafutwa, kutajwa, kukamatwa na kushtakiwa na serikali?
Kama mama Samia anawajua wahusika wa tukio lile la shambulizi dhidi ya Lissu basi awataje, na kama hawajui (ama anaogopa kuwataja) ni vyema akakaa kimya, kuliko kuchokonoa mzinga wa nyuki.
Ni bora hata mama Samia angetuambia basi kwa uchache ni akina nani walimlisha sumu Mzee Mangula akiwa ndani ya ofisi kuu za CCM kiasi cha kuponea chupu chupu kupoteza maisha.
Mwisho napenda kumwambia mama Samia anapaswa kufahamu tu, kikulacho kiko nguoni mwako, asitukane mamba kabla ya kuvuka mto, kilichompata Lissu huenda kitakuja au kingeweza kumpata mtu mwingine yoyote katika Tanzania hii ya sasa.
Yote kwa yote, mama Samia anapaswa kujua Karma ipo, na ipo siku itajibu mapigo. Namkumbusha tu Dr. Omar Ali Juma alifariki ghafla kwa mshtuko wa moyo (Cardiac arrest) mwaka 2001 akiwa makamu wa rais wa Mkapa, ambapo miaka 19 baadaye Mkapa naye alifariki ghafla kwa mshtuko wa moyo (Cardiac arrest). Wote hao wanahusishwa na vifo vya wazanzibar kwenye maandamano ya mwaka 2001.
Hiyo bado haitoshi kumattack Magufuli moja kwa moja.Tambua kwamba Tz tuna mihimili mitatu, binge Ni mihimili unaojitegemea, kwa mujibu wa katiba.Hebu tujiulize yaliyofuata baada ya shambulizi lile
Alafu watu wa Chadema ndo walizuia pia Lissu kulipiwa matibabu na serikali????Huu ndio ukweli hakuna askari mwenye mafunzo apige risasi kumi na sita akose hahahah chadema ndio walumpiga risasi lissu kisa Urais! Lissu amepigwa na watu wa chadema
Ni kweli alipigwa na wadeni na wale alikwachukulia wake zao. Walimfuatilia muda mrefu hadi aliwatolea taarifa polisi, wakamfuata hadi Dodoma, wakaondoa ulinzi area C, wakammiminia risasi, wakang'oa CCTV camera, wakazuia asichangiwe damu, wakazuia albadri zisisomwe, wakazuia malipo yake ya matibabu, wakazuia polisi wasifanye uchunguzi wowote, wakazuia mzuia Ndungai asijua mbuge wake yuko wapi. Huyo mke Ni mke wa aina gani? First Lady? Hapana! Huyu mama anajihesimu. Makamu wa Rais? Hapana! Huyu Ni muadilifu! Ni nani Sasa huyo?Lissu itakuwa alipigwa risasi na Wadeni wake au alikua anachukua wake za watu, ndiyo hayo matatizo kajisababishia!!
Nayaheshimu Sana maandiko, Ila nusingeweza kukaa kimya na kuvumilia, hata baada ya wewe kuniita sherwani[emoji848]!
Ninachokiona hapa Ni kwamba, unajaribu kutusi watu huku ukijificha kwenye mrengo wa maandiko matakatifu, kitu ambacho sio kizuri kabisa[emoji120]
Kuwa muelewa sisemi natetea lissu kupigwa risasi ila naona Kuna utofauti serikali kuhusika moja kwa moja kwenye tukio lake.. ukiangalia anaehusishwa zaidi ni rais Tena ambae anawatu wenye weledi mpana wanaoweza kufanya tukio timilifu zaidi ya kile kilichowaunganisha!.. tukio la lissu ni tata Sana na ndio maana hata serikali hawataki kukurupuka hovyo maana linaweza tumika kisiasa!.. tanua ubongo wewe usikariri..Kumbe na wewe huwa unatetea unyama ???
Hiyo bado haitoshi kumattack Magufuli moja kwa moja.Tambua kwamba Tz tuna mihimili mitatu, binge Ni mihimili unaojitegemea, kwa mujibu wa katiba.
Pesa za mazingira pesa za kero za muungano hutengwa kila mwaka zinaenda wapi? anzia hapo kwani kero bado zipo na uchafuzi wa mazingira umezidi maradufuhuyu mama leo kala kungu nyingi zimemlevya.
Mpeni taarifa tumeliongeza jina lake kwenye list.
Tusaidie kuwaambia maana watufanya Sisi mapoyoyo
=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.
Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.
''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Tundu alishambuliwa na hao aliowatuhumu na sasa analindwa na mungu pamoja na malaikakuna dhambi nyingi lakini mbaya moja wapo ni kumdhania mtu.
sisi kama binadamu wa kutumia akili tunaamini serikali ama system ina mbinu nyingi sana za kutumia, kumzima mtu, kuliko hiyo yenye kelele na misuko suko mingi, na hata kama itabidi kuitumia si kwa watu ambao hata harufu zao zitasikika.
mara bashite wa watu masikini, leo heri na nyauringo wanatajwa, keshokutwa atatajwa mtu wa kukodi kutokea israel nk. yote ilimradi kubahatisha tu.
lakini jambo la msingi linabaki pale pale, lissu alishambuliwa na watu gani, kwa lengo gani??? ni hao hao ambao yuko nao sasa hapa nchini kisha wanampa na ulinzi au wengine!!!
hahahhahahahaKama walikuwa wako 8 jee na kila mmoja kapiga 2?
Usisahau kama kuna Mungu
=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.
Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.
''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
Mlitaka afe kwa risasi zenu kwa sababu Mungu ni mkuu kamponya kuwaonyesha Mungu ni mkubwa kuliko madaraka yenu.Kuwa muelewa sisemi natetea lissu kupigwa risasi ila naona Kuna utofauti serikali kuhusika moja kwa moja kwenye tukio lake.. ukiangalia anaehusishwa zaidi ni rais Tena ambae anawatu wenye weledi mpana wanaoweza kufanya tukio timilifu zaidi ya kile kilichowaunganisha!.. tukio la lissu ni tata Sana na ndio maana hata serikali hawataki kukurupuka hovyo maana linaweza tumika kisiasa!.. tanua ubongo wewe usikariri..