Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Hoja nzito Sana hii, lakini kwakua Chadema huwa wanataka kusikia Yale ambayo wanataka kuyasikia hawataamini.

Ipo siku ukweli utajulikana.
Mkuu wanaelewa sana Ila wanajitoa fahamu
 
Bi mkubwa achutame vinginevyo nyeti zake zitakua wazi upepo ukipuliza.

Watu wanaweza kudhani una busara mpaka pale utakapoongea ndio wanathibitisha kumbe u mpumbavu.
 
Huyo Mungu wako na asikitike kwa kuwa na kiumbe kisichokuwa na ufahamu timilifu na kinachoandika kitu kisichojua.. n.b mi nipo CHAUMA!.
Uovu haulipi na siku zote uovu hunuka hata uupake marashi.lndiyo maana kina Samia na Magufuli haliwatoki vinywani mwao maana uovu hii kila siku unawafuata kwa harufu kali, damu walizozimwaga bila hatia kila siku zinawafuata zikiwalilia.
 
Bila kujali aliempiga risasi Lissu katumwa na nani, mpigaji ana umahiri gani nk. Hoja kuu ni inakuaje hadi leo hii mtu huyo au watu hao hawaja kamatwa hadi leo. Mafunzo kamili yapo katika kulenga shabaha tu.

Tunaambiwa walinzi hawakuwepo, kamera ziliondolewa baada ya tukio...hoja hizo zinajibiwa vipi...

Wanyonge mnatufikirisha mjue!
 
F
Huo ndio ukweli, yaani serikali itake kumumaliza mtu kwa kutuma watu wa kumwaga risasi 30 bado mlengwa zimpate 16 tena mguuni. Haya amenusurika bado anapelekwa Government hospital anafanyiwa operation na huduma ya kwanza mpaka na kiongozi muandamizi wa serikali, bado anatoka salama? Tuhuma za ajabu sana hizi.
Rubbish ,,sasa kama sio wao si waruhusu
uchunguzi huru kutoka mataifa ya nje tujue . Wao wameshindwa kufanya uchunguz wowote na kutuambia ni kina nan wahusika .
Kwann wanaweweseka sana na hili tukio ,
 
Hapo kasema ukweli mtupu Maana yeye ndo miongoni mwa maboss wa Askari wao wa CCM hivyo anawajua vizuri weredi wao. Kwahiyo Mimi naamini alichokisema na ndo uhalisia.

Zitto aliutaka uenyekit wa chadema akafukuzwa Chama.
Ben sanane aliutaka uenyekit wa Chama akapotea mpaka leo.
Tundu lissu aliutaka uenyekiti wa Chama akapigwa na vitu vinavyosadikika ni risasi.
F. SUMAYE aliutaka uenyekiti wa Chama akaambiwa kuwa Sumu haionjwi kwa usalama wa maisha yake akaamua kujiweka pembeni na kuchomoka kwenye himaya za mtia Sumu.

Swali; kwanini Kila anaeutaka uenyekiti wa Chama CDM anapatwa na matatizo Ni ipi Siri iliyopo Hapo nyuma?

Je nikweli Mbowe Ni kibaraka wa serikali kwamba hawezi kutoka kwenye kile kiti kwa masilahi ya Taifa?
[emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107]
 
Kwa hiyo mama umetugeuza Watanzania kama nyumbu kwenye vitalu vya kitalii kule serengeti mpaka tupigwe risasi??
 
Mimi nakubaliana naye, kwani mna uhakika huyo wa risasi 16 hajawajibishwa? Wa kukosa risasi 3 na 16 adhabu zao Ni sawa tu. !
 
Huyo Mungu wako na asikitike kwa kuwa na kiumbe kisichokuwa na ufahamu timilifu na kinachoandika kitu kisichojua.. n.b mi nipo CHAUMA!.
Huu ni unyama ambao hatupaswi kuufurahia wala kutetea hata kidogo.

Hebu jaribu kujiweka kwenye viatu vya Lissu unggelikuwa umefanyiwa wewe halafu mtu anafanya dhihaka kama hizi unazofanya hapa ungejisikiaje ?
 
Kwa hiyo

1. Waliompiga lisu anawajua na ni askari

2. Waliopiga lisu anatwambia walisha wajihishwa


Maskini mama Samia.. Mdomo na ubongo vimesha tengana na yeye hajui[emoji111]


=======
Mama Samia Suluhu Hassani ambaye ni mgombea mwenza wa kiti cha urais kupitia Chama cha Mapinduzi(CCM) amesema kuwa anawaomba wafanye kampeni kwa amani wakipita wawasikilize wala wasigombane nao.

Amesema kuwa wapo wagombea watakwenda kuwaambia kuwa walivunjwa miguu na mwingine alimsikia akisema kuwa alipigwa risasi 16.

''Watakuja kuwaambieni wameunjwa miguu lakini waulizeni ilikuwaje wakavunjwa miguu, wengine jana nilisikia mmoja anasema amemimiwa risasi 16 nataka niwaambie huyo sio askari wetu wa serikali ya chama cha Mapinduzi, askari wetu akipiga mtu tatu akamkosa atawajibika sikwambii askari aliefundishwa akapiga 16 huyo mtu atoke mzima".
 
Kumbe mume wake ni coplo...
Tumwambie tu huyu mke wa Coplo wa zimamoto kuwa wauaji waliowatuma kumuua Lissu hawakumkosa, walimpata, walimimina zaidi ya 30, na zote zililenga pale pale anapokaa Lissu kwa upande wa ndani. Hongera huyo askari kaiva kwenye shabaha.
Mliwatuma wakatekeleza maelekezo.
Ila hata siku moja shetani hajawahi kumzidi Mungu!
Nilikuwa nakuona ww mama mstaarab umekaa kimya haufungamani na hao wenzako, kumbe ulikuwa umeficha makucha, Lissu mliyomtwanga marisasi ya kutosha Mungu akasema no, huyu mtu ni mpango wangu, ni lazima aishi! Mna roho mbaya sana ninyi watu, sijui mwanamke gan ww, hukuzaa??
 
Back
Top Bottom