Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Hoja nzito Sana hii, lakini kwakua Chadema huwa wanataka kusikia Yale ambayo wanataka kuyasikia hawataamini.

Ipo siku ukweli utajulikana.
Mkuu wanaelewa sana Ila wanajitoa fahamu
 
Bi mkubwa achutame vinginevyo nyeti zake zitakua wazi upepo ukipuliza.

Watu wanaweza kudhani una busara mpaka pale utakapoongea ndio wanathibitisha kumbe u mpumbavu.
 
Huyo Mungu wako na asikitike kwa kuwa na kiumbe kisichokuwa na ufahamu timilifu na kinachoandika kitu kisichojua.. n.b mi nipo CHAUMA!.
Uovu haulipi na siku zote uovu hunuka hata uupake marashi.lndiyo maana kina Samia na Magufuli haliwatoki vinywani mwao maana uovu hii kila siku unawafuata kwa harufu kali, damu walizozimwaga bila hatia kila siku zinawafuata zikiwalilia.
 
Bila kujali aliempiga risasi Lissu katumwa na nani, mpigaji ana umahiri gani nk. Hoja kuu ni inakuaje hadi leo hii mtu huyo au watu hao hawaja kamatwa hadi leo. Mafunzo kamili yapo katika kulenga shabaha tu.

Tunaambiwa walinzi hawakuwepo, kamera ziliondolewa baada ya tukio...hoja hizo zinajibiwa vipi...

Wanyonge mnatufikirisha mjue!
 
F Rubbish ,,sasa kama sio wao si waruhusu
uchunguzi huru kutoka mataifa ya nje tujue . Wao wameshindwa kufanya uchunguz wowote na kutuambia ni kina nan wahusika .
Kwann wanaweweseka sana na hili tukio ,
 
[emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107][emoji107]
 
Kwa hiyo mama umetugeuza Watanzania kama nyumbu kwenye vitalu vya kitalii kule serengeti mpaka tupigwe risasi??
 
Mimi nakubaliana naye, kwani mna uhakika huyo wa risasi 16 hajawajibishwa? Wa kukosa risasi 3 na 16 adhabu zao Ni sawa tu. !
 
Huyo Mungu wako na asikitike kwa kuwa na kiumbe kisichokuwa na ufahamu timilifu na kinachoandika kitu kisichojua.. n.b mi nipo CHAUMA!.
Huu ni unyama ambao hatupaswi kuufurahia wala kutetea hata kidogo.

Hebu jaribu kujiweka kwenye viatu vya Lissu unggelikuwa umefanyiwa wewe halafu mtu anafanya dhihaka kama hizi unazofanya hapa ungejisikiaje ?
 
Kwa hiyo

1. Waliompiga lisu anawajua na ni askari

2. Waliopiga lisu anatwambia walisha wajihishwa


Maskini mama Samia.. Mdomo na ubongo vimesha tengana na yeye hajui[emoji111]
 
Kumbe mume wake ni coplo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…