Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Ndiyo maana tunahitaji serikali inayozingitia Uhuru,Haki,UTU na Maendelea ya watu.Na serikali hiyo haiwezi kutoka CCM.
 
Huyu mama hafai kabisa kuwa kiongozi ni aibu mno!
 
Alimaanisha Green Guard au Hawa Jeshi la Police Tanzania ambao hawana chama chochote?
 
Sijawahi kumsikia huyu mama anaongea mambo ya hovyo tokea apate hayo madaraka.Sijuwi nini kimemsibu sasa.Mwenyezi Mungu amsaidie asisame kama alivyo toka awali ili heshima yake iendelee kubaki kama ilivyokuwepo.
 
Swali; nyie ndio mnamiliki vyombo vyote vya usalama na vya sheria, mnsjus kuwa mwenyekiti wa chadema amefanya haya yote. Kwanini mpaka leo hamjamchukulia hatua za kisheria? au yeye yuko juu ya sheria?
Si amekuambia ni mwenzao.
 
Ndiyo maana tunahitaji serikali inayozingitia Uhuru,Haki,UTU na Maendelea ya watu.Na serikali hiyo haiwezi kutoka CCM.
CDM nako wamejaa wababaishajii, Wapigaji bora tumpe Mzee wa Ubwabwa!!
 
Serikali ya ccm si ipo lumumba na inaongozwa na mwenyekiti tofuti na ilivyo kwa serikali ya jamhuri ya muungano wa Tz
Serikali ya jamhuri ya muungano wa Tanzania iko chini ya chama gani?
 
Ndio ijulikane yupo Mungu anayeishi,awazaye tofauti na mawazo ya wanadamu!!!!
Mamaaaaaaa!!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…