Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Kwel Allah amesema kweli "Mashetwani wapo watu na majini pia
 
Kwamba walikua wanamwaga njugu bila kujua aliekuepo ndani ni nani ila walikua wakifahamu tu kama hii gari inayokuja ni ya lissu.na kwamba hata lisu asingekuepo ndani kulingana na tinted zilizokua bado wasingejua kuna nani ndani point ni kua hii gari ni yalisu ilivyofika mahala stahili wakamwaga njugu sindio mkuu au nimekosea kukuelewa?
 
Kunyamaza kunaficha mengi ... ahsante mama umeongea tumejua uwezo na fikra zako
Asubuhi akiamka atapigiwa simu na mtukufu na pia mwingulu Nchemba ambaye saa nyingi huwa JF kufuatilia kila kitu watamwambia kuwa ajiandae kuwa mvumilivu kwani chadema wanaenda kufunua madhambi yake yote ambayo alidhani hayajulikani kumbe yanajulikana lakini chadema walikuwa wameamua kumstiri tu, ni Aibu kwa mama kuwa na Akili kama za mkuu wa wilaya ya Kigamboni ambaye alipata kutoa kauli kama ya huyo mama.
 
Washambuliaji walifanya shambulio kwa pupa uoga haraka haraka maana mratibu wa shambulio hukuwa mzoefu
 
Kakosea sana. Binafsi suala la kupigwa risasi binadamu mwenzangu siliafiki Kabisa. Mpaka leo waliompiga hata hakutuona efforts zozote za kuwatafuta/uchunguzi.
Ndo ujue ukubwa Mungu. Pale aliwanyima mawazo ya kuwarudishia mpira Chadema.

Mbaya zaidi matukio yaliyofuata baada ya kumnyima Lissu matibabu na kumvua ubunge yanazidi kuwahukumu. CCM ni mashetani hakika
 
Washambuliaji walifanya shambulio kwa pupa uoga haraka haraka maana mratibu wa shambulio hukuwa mzoefu
Eti Makonda na new recruits ndo wanafanya shambulio!!! Mungu huyu muache tu aitwe Mungu, kwa alivyowaaibisha Ccm kwenye shambulio la Lissu. Hadi leo wanaweweseka!!
 
Askari wenu ni wataalamu wa kupiga risasi tu ?, Je kutafuta waharifu waliotenda makosa au kutafuta wale waliopiga raia risasi ?, au hio sio kazi yao....

Na wale waliosababisha kifo cha mwandishi wa habari au yule Akwilina aliyepigwa kwa bahati mbaya, pale walikosa au walipatia?

Hawa watawala wanaotumia kodi zetu kutanua nadhani wamejisahau
 
Oho, oho, oho oho, mama sasa analikoroga! Asubiri kulinywa.
Siri za mama kuanikwa ikiwemo kutafuna zile pesa hutengwa kwa ajili ya kumaliza kero za muungano zisizokwisha huku mabilioni yakitengwa kila mwaka lakini kero hazipungui pesa inapigwa bure.
 
Hii TBC walikata au ilirushwa live? au hii inafurahisha na haina tatizo
 
Nawewe mmeo ni koplo wa jeshi gani!!!!

Jikite kwenye hoja ya msingi, usiendeshwe na mihemko ya hit.
 
Nyumbu ni nyumbu tu, hata umwambie hapo kuna mamba umuonyeshe atakwambia, tuko wengi siwezi liwa mimi.
 
Kwel Allah amesema kweli "Mashetwani wapo watu na majini pia
Na mzazi wako wa kike akiwemo🗣️🗣️, Sasa bado nahangaika kumweka kweye kundi litakalo msatahili, either sherwani au jini.
Jifunze kuwajibu watu kwa staha, matusi sio hoja.
 
nyumbu ni nyumbu tu, hata umwambie hapo kuna mamba umuonyeshe atakwambia, tuko wengi siwezi liwa mimi.
Nyumbu ni CCM hata mbugani porini nyumbu ni wengi kuliko wanyama wengine kama ilivyokuwa kwa wanachama wa CCM
 
Hivi jamani,hadi Leo hamjajua kua system ndiyo imemuweka pale Mbowe kwa kiti kile na inamlinda, jaribu na wwe kutamani kiti kile bila baraka za system uwone chamoto!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…