Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Uchaguzi 2020 Samia Suluhu Hassan: Askari wa Serikali ya CCM akipiga mtu risasi 3 akamkosa atawajibika

Hakuna aliyenyimwa maendeleo.

Siasa za jukwaani za ushawishi wa kura zisikuue kwa vidonda vya tumbo
Ni kweli hakuna maendeleo na hata majimbo ya ccm ndio kabisa yamechoka yakachakaa
 
Si unajua mambo yanaweza kulazimishwa kuficha aibu
 
Thubutu. Heshima gani kama alikaa kimya kwa unyama unaofanywa na mkubwa wake?? Hio heshima ni ipi?
Ukimya wake ndio heshima yenyewe mkuu, na hasa kwa mazingira aliyo nayo katika nafasi yake.
 
Zi
Tumwambie tu huyu mke wa Coplo wa zimamoto kuwa wauaji waliowatuma kumuua Lissu hawakumkosa, walimpata, walimimina zaidi ya 30, na zote zililenga pale pale anapokaa Lissu kwa upande wa ndani. Hongera huyo askari kaiva kwenye shabaha.
Mliwatuma wakatekeleza maelekezo.
Ila hata siku moja shetani hajawahi kumzidi Mungu!
Nilikuwa nakuona ww mama mstaarab umekaa kimya haufungamani na hao wenzako, kumbe ulikuwa umeficha makucha, Lissu mliyomtwanga marisasi ya kutosha Mungu akasema no, huyu mtu ni mpango wangu, ni lazima aishi! Mna roho mbaya sana ninyi watu, sijui mwanamke gan ww, hukuzaa??
Zile risasi zina siri kubwa kamanda!
Zinapigwa kushoto lakini unaumia mguu wa kulia halafu dereva anayekaa kulia haguswi.
TAFAKARI!!! najua una akili.
 
Ukimya wake ndio heshima yenyewe mkuu, na hasa kwa mazingira aliyo nayo katika nafasi yake.
Hana lolote yule wote ni wale wale. Pengine angekaa kimya kuongelea wazi wazi lakini angeshauri na tukaoa uozo ukifanyiwa kazi. Lakini watu wametekwa, wameteswa, wameuliwa, wamebambikiwa kesi mbaya kabisa hadi za mauwaji, na uchafu kibao.....utatuambia nini bwana!
 
Mkuu nakuunga mkono maana hii kauli ya samia niliwahi kuiskia mahala kabla yake kua lait waliommiminia risasi lisu wangekua askari waliopitia mafunzo wasingemkosa hata kidogo mana askari aliopitia mafunzo akikulenga risasi tatu bila ya kukuua lazima awajibike na awe na maswali ya kujibu kwann kakukisa lakini chakushangaza yaya amepatiwa 16 na hajafa wazi kua hawa jamaa waliofanya hiyo kazi hawana mafunzo
Hata uwe na mafunzo,Mungu akiamua kukuponya anakuponya tu!Halafu gari ya Lissu ilikuwa na tint isiyoonesha hivyo washambuliaji walimwaga njugu upande aliokaa na sio kwamba walikuwa wanalenga shabaha kwamba jicho lile pale au utosi!Ndio maana wakamimina risasi nyingi,hii yote ni kuonesha hawakuwa na clear view ya mtu waliyekuwa wanamlenga!Ingekuwa alikuwa anaonekana basi wangelenga za kichwa!
Maswali muhimu kwenye hili saga:
1.Walinzi wa suma jkt ambao walipaswa kuwa getini muda wote walikuwa wapi?
2.CCTV camera ni nani alizificha?
 
Huyu tangu asifiwe uzuri na yeye anajiona Bi mdogo wa Magufuli.

Mama ana mambo huyu [emoji41]. Sasa yatakuja hadharani. Kayaleta mwenyewe. Wanasema mwanakulitafuta mwanakulipata. Lile swali pendwa kwa Lissu ambalo Mataga wanapenda sana kumuuliza, wamuulize hilo hilo huyu Bi mkubwa.
 
Linapokuja suala la madaraka kwao Mungu huwekwa pemben
Tumwambie tu huyu mke wa Coplo wa zimamoto kuwa wauaji waliowatuma kumuua Lissu hawakumkosa, walimpata, walimimina zaidi ya 30, na zote zililenga pale pale anapokaa Lissu kwa upande wa ndani. Hongera huyo askari kaiva kwenye shabaha.
Mliwatuma wakatekeleza maelekezo.
Ila hata siku moja shetani hajawahi kumzidi Mungu!
Nilikuwa nakuona ww mama mstaarab umekaa kimya haufungamani na hao wenzako, kumbe ulikuwa umeficha makucha, Lissu mliyomtwanga marisasi ya kutosha Mungu akasema no, huyu mtu ni mpango wangu, ni lazima aishi! Mna roho mbaya sana ninyi watu, sijui mwanamke gan ww, hukuzaa??
 
Nampongeza sana huyu mama kwa kuanza kujibu hoja za upinzani.

Hata hivyo, nimwombe kwa utashi uleule alotumia kujibu hoja ya risasi16 atumie kujibu hoja zifuatazo
1. Ujenzi wa chato airport
2. Ununuzi wa ndege bila lisiti
 
Na hizo tetesi zake zipo ila sema tulimstahi kwasababu alionesha ustaarabu!Sasa ajiandae kuanikwa huyo mwanaizaya asiye na mume!
Huyo mama ana mchepuko wake mmoja ambao ulikuwa RC na ukakimbilia kusaka ubunge ii upewe uwaziri ukaishia kikosa kwa kupigwa chini kwenye kura za maoni ajiandae taarifa zote kuanikwa live.
 
Hiv mahojiano yanachukua cku ngp???acha upoyoyo ww
Ulitaka waanze kumuhoji na kampeni hizi si atalalamika! Halafu usitumie tuli mi sihusiki wewe acha kuwa na akili mgando..
Matukio mengine yanahitaji muda.. tunajadili hatima ukifata process hutaelewa kamwe.
 
Kakosea sana. Binafsi suala la kupigwa risasi binadamu mwenzangu siliafiki Kabisa. Mpaka leo waliompiga hata hakutuona efforts zozote za kuwatafuta/uchunguzi.
Mmoja wa washambuliaji ni mchepuko wake kama upo hapo Dsm msake Le mutuz kaa nae chini mpelekeze vizuri anazo siri nyingi za huyo mama
 
Back
Top Bottom