Sasa wenzio wanataka iwe ada yani mwanaume hata akisema amsalimie kwa simu tu tayariπ mizinga inaanza. Anakomaa kabisa umgee hela ukifeli inakuwa balaa.Kweli kabisa, mimi nauchukia sana umaskini ndio maana nafanya kazi kwa bidii ili kuhudumia wanao nitegemea ili na wao waweze kujitegemea. Hela ya mtu hapana aisee ,naridhika na ninachokipata. Wanawake tuache kuombaomba, tutafute hata kidogo cha kwetu, ikitokea umepawa hewala , lakini isiwe ni ada
Sasa mbona unawaomba omba poshoHawajaniajiri
Nyingi za wapi, Mbeya au?Familia nyingi sana zinahudumiwa na wanawake
Kwa kweli wanawake na pesa ni sawa tu na mgonjwa na uji! Yaani hamuwezi kutenganishwa.Habari zenu wana nzengo?
Siko hapa kuleta ugomvi, niko hapa kuweka mambo sawa na kuondoa dhana iliyojengeka miongoni mwa wanaume wengi sana hapa bongo, dhana hiyo ni potovu, ovu na iliyopitwa na wakati.
- Wanaume wa leo wanatimiza miaka 50 wanakaa kwa baba na mama
- Wanaume wa leo hawatunzi wazee wao, wazee wanatunzwa na mabinti
- Wanaume wa leo hawatunzi nyumba zao, badala yake wako busy na kuhudumia michepuko.
- Wanaume wa leo wengi hawasomeshi watoto, watoto wanasomeshwa na mama zao.
- Wanaume wa leo wanajua ulevi na uzinzi na sio kuwekeza ndio maana wanawake wengi sasa ndio wafanyabiashara na wajasiriamali.
- Wanaume wengi wa leo wanatunzwa na wanawake
Wanaume wamekuwa wakiona wanawake kama ni watu wasio na upendo wa kweli, watu wenye kupenda pesa na wasio na utu.
Ndugu zangu, sisi hatupendi pesa, ila tunauchukia umasikini. Tukipata hela kutoka kwenu tunasomesha watoto wetu, tunawalisha, tunawatunza wazee wetu, tunapunguza umasikini wa familia.
Wanaume wanautafuta umasikini kwa udi na uvumba. Mshahara laki tano, huo huo uhonge, ujimwambafai kwa washikaji, uwanunulie ma bar maid bia yaani mnatafuta sifa za kijinga sana.
Kazi mnayoSasa wenzio wanataka iwe ada yani mwanaume hata akisema amsalimie kwa simu tu tayariπ mizinga inaanza. Anakomaa kabisa umgee hela ukifeli ia balaa.
Wee utakuwa ulienda kwa National AnthemSi nilikwambia unitumie hela ya uber wew ukakataaπ
Huyo ni jobless jaman hela ya uber atatoa wapi sasaWee utakuwa ulienda kwa National Anthem
Wee huyo ana pikipiki yake sii ajabu alikufuataHuyo ni jobless jaman hela ya uber atatoa wapi sasa
Mkuu ungemtafutia KAZI kweli ?Yaan wanawake wa sasa wanajifanya wao wana akili sana kuliko sisi,wamekuwa omba omba hatari na hawana aibu hata kidogo
Kwa kwel kwa sasa ni mwendo wa kukwepa tu vizingaView attachment 2377772View attachment 2377773
Umeona kama huyu mjinga nimemwambia nimtafutie kazi ila kapotezea,anataka hela za kupewa tu
Hakunifata jaman niamini mimiWee huyo ana pikipiki yake sii ajabu alikufuata
Wewe unaonesha umefundwa ebu wape elimu hawa wadogo zako kama mtoa madaKweli kabisa, mimi nauchukia sana umaskini ndio maana nafanya kazi kwa bidii ili kuhudumia wanao nitegemea ili na wao waweze kujitegemea. Hela ya mtu hapana aisee ,naridhika na ninachokipata. Wanawake tuache kuombaomba, tutafute hata kidogo cha kwetu, ikitokea umepawa hewala , lakini isiwe ni ada
Ila pesa zao unapokeaHawajaniajiri
πHakuna cha umasikini wala nini
Mnataka pesa na sisi tunataka utelezi
Weka utelezi tuweke pesa
Weka pesa upate utelezi.
Kwan sio kazi πSasa unasomesha kwa mbususu?
Si mtafute kwa jasho kama wengine?
Vita hii haiishi πTukianza andika vya wanawake hapa, point elfu 2..
Na tunachambwa balaa yaani kuanzia redion vituo vy television had kwenye mitandao ya kijamii sema ndo IvoKweli kabisa, mimi nauchukia sana umaskini ndio maana nafanya kazi kwa bidii ili kuhudumia wanao nitegemea ili na wao waweze kujitegemea. Hela ya mtu hapana aisee ,naridhika na ninachokipata. Wanawake tuache kuombaomba, tutafute hata kidogo cha kwetu, ikitokea umepawa hewala , lakini isiwe ni ada
Hahahah, ndio tujiongezeNa tunachambwa balaa yaani kuanzia redion vituo vy television had kwenye mitandao ya kijamii sema ndo Ivo