Hata kule M4C hakuna!Najaribu kutafuta clip za alichokisema Lissu leo hii kuhusu kuwawekea pingamizo wagombea wenzake kwenye mitandaoni mbalimbali lakini zinakuwa tabu kupatikana, na zinazopatikana, ama ziko nusunusu huku zingine zikiwa zimeondolewa mfano facebook.
Je,tatizo hili liko kwangu tu au na kwa wengine?
Kama liko na kwa wengi,je tatizo ni nini?
Nawaza!!
Kaijage sijui ana feli wapi aiseh!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]dah this is future impossible tense.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hapa ni Tza sio Kenya ujue.Kaijage sijui ana feli wapi aiseh!!
Hii ingekuwa wale majaji vichwa ngumu wa Kenya,walahi mtu battery ingeishiwa charge.
Hhh naona wimbo umebadilika sasa.. Maneno kama haya walikua wakiyasema team Lumbumba wakati upinzani walipokuwa wakiburuzwa MAHAKAMANIKama hakukizi vigezo ni lazima aenguliwe hakuna namna.
Kwaheri doctorZa Jioni wanachama wa JamiiForums,
Najaribu kufikiria kitu kitakachotokea ikiwa Jaji Kaijage aamue kukomaa kweli kweli na kumuengua Rais Magufuli kuwa mgombea wa Urais kupitia CCM kufuatia pingamizi lililowekwa na Tundu Lissu.
Waweza kuja na mawazo yako ili tujifunze.
Yote kwa yote Tundu Lissu ametufumbua macho watanzania, nadhani hata Rais Magufuli mwenyewe kastuka sana na kuingiwa na woga.
Muda utaamua.
saaaana
Hakika huyu mtu hayupo vizuri upstair. Ameshindwa kabla hajaanza. Yaan ni comedy tupu! Bora Hashim Rungwe tule tu ubwabwa aysee. Huu muda angeutumia kufanya utulivu ili aweze kupambana na jiwe. Yeye analeta comedy?Kila engo lazima itumike kuhakikisha uchaguzi huu unakuwa wa haki sawa kwa wote na huru bila kupepesa macho.
...........................................................................
2 August 2020
KUMEKUCHA TUNDU LISSU KUMUWEKEA PINGAMIZI RAIS MAGUFULI ,ASEMA AMETOA RUSHWA
Tunzeni kwenye tovuti yenu va Chama, sisi watanzania tunahitaji Maendeleo na AmaniTCRA wameagizwa na CCM wamdhibiti Tundu Lissu kwenye social media. Hamna multimedia ya Tundu Lissu itatoka salama bila kukatwakatwa sana
πππππππ we jifariji tu, mguseni muone.Lissu kafadhaishwa na navyopuuzwa. Alitegemea akirudi "ataghasiwa" ili apate huruma ila wapi. Si polisi wala serikali, hawana taimu nae na kikubwa zaidi wananchi wamempuuza.
these are last kicks of the dying horse....
ππππ huo ni mtego kwa tume kama wapo huru au laah sasa wajichanganye kuyapuuza hayo malalamiko ndio mtajua hamjuiHakika huyu mtu hayupo vizuri upstair. Ameshindwa kabla hajaanza. Yaan ni comedy tupu! Bora Hashim Rungwe tule tu ubwabwa aysee. Huu muda angeutumia kufanya utulivu ili aweze kupambana na jiwe. Yeye analeta comedy?
Magu yu juu ya sheria?Ni kwamba haiwezekani kumuengua, lakin Lissu katoa funzo kwa JPM kwamba asijifanye mjuaji.
Mzee Mshana ebu niunge na vifurushi vyenu nione clips vizuriKuna shida pahala