Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Uchaguzi 2020 Tundu Lissu awawekea pingamizi wagombea wawili wa nafasi ya Urais wa Tanzania. John Magufuli (CCM) na Prof. Ibrahim Lipumba (CUF)

Huwez kumuwekea pingamizi Raisi wa nchi na amiri jeshi mkuu
Kwa hiyo pingamizi ni kwa nani mkuu hizi sheria tunatunga kwa furaha kubwa kuwakomoa wapinzani kwetu inakuwa noma nakumbuka kamsemo mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu
 
Vyombo vyote vya Dola wapo na Tundu lisu isipokuwa viongozi wa juu wale wanaojipendekeza kwa mtukufu kulinda vinua mgongo vyao

Acha kunichekesha migomo chuoni watu walikuwa wanawaambia wanafunzi msigeuze msimamo msikubali fildifosi wote wanawaunga mkono. Nisikilizie kichapo baadaye cha mbwa koko.
 
Mgombea Uraisi ni Raisi wa JMTZ, hashitakiwi wala kuhukumiwa popote pale ndani ya JMTZ, siyo Mwanasheria lkn simple logic inatosha!


Kwani Huyo Rais Ameshtakiwa wapi?
Mbona unakuwa kilaza hivyo.

Pingamizi linaenda NEC.
Mashtaka yanaenda Mahakamani.

Magufuli ni Mgombea ndio maana amewekewa pingamizi kwa mujibu wa sheria ya Uchaguzi kulingana na Vile Lisu alivyoona gap.

Wewe unakalia upumbavu wako, sijui Rais, sijui JMT, kama ni Rais kilichomfanya akagombee ni nini?

Uache utoto, pumbavu
 
Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.

Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.

Lissu is not fit for office
Ukiwa na akili kubwa lazima uwe tofauti na wengine.
 
Mwisho wa mapingamizi kupokelewa ni leo saa 10 alasiri. Sio?

Huenda mengine yalishapelekwa tangu majuzi.

Tume baadae itayapitia na kuyaweka hadharani.
Usije kushangaa kuwa mtu hakupingwa hata hili aliyetangaza ni mpingaji sio tume. Kuna wale hawatangazi wakijua kazi ya kutangaza mapingamizi sio yao, maana lazima yapitiwe yakidhi halafu yawe mapingamizi valid.

Si kuna wajinga hata watampinga Lisu eti anavaa miwani na ana bodguard wasio wajua? Tume itaona huu ni ujinga sio hoja . Inalitupa

Sasa utwekaje pingamizi halafu utake NEC ndo itangaze hivi umeshaona mtu ameleka kesi mahakamani halafu waandishi wanakwenda kuiuliza mahakama
 
Mwisho wa mapingamizi kupokelewa ni leo saa 10 alasiri. Sio?

Huenda mengine yalishapelekwa tangu majuzi.

Tume baadae itayapitia na kuyaweka hadharani.
Usije kushangaa kuwa mtu hakupingwa hata hili aliyetangaza ni mpingaji sio tume. Kuna wale hawatangazi wakijua kazi ya kutangaza mapingamizi sio yao, maana lazima yapitiwe yakidhi halafu yawe mapingamizi valid.

Si kuna wajinga hata watampinga Lisu eti anavaa miwani na ana bodguard wasio wajua? Tume itaona huu ni ujinga sio hoja . Inalitupa
Nimecheka mpaka watu wamenishangaa eti mabodigadi tusiowajua ila maccm hayashindwi kitu haya.
 
Lisu kaweka ana akili sana huyu Mtanzania. Akili zake siyo za dunia hii.

Amewatega NEC vibaya mno na wametegeka. Wako njia panda. Wakijikwaa katika maamuzi ya mapingamizi ya JPM na Lipumba (hii itakuwa ni precedence), na hivyo basi wabunge wote walioenguliwa watarejeshwa.

Na endapo watayapa uzito, Magufuli atapoteza sifa ya kuwa mgombea.

Vyovyote iwavyo, akili ya Lissu itakuwa imeshinda.

Lakini msisahau hili: (Aliyepewa kazi ya kumjazia fomu John atapata taqbu sana)
Kwa hiyo wewe kwa akili yako kabisa unaamini pale kuna pingamizi lenye maana la kumuondoa Magufuli kwenye ugombea?

Au unafikiri kwakuwa tu linaitwa pingamizi basi pingamizi lolote lina maana?

Lisu angekuwa na akili angetumia huo muda kuwasaidia wagimbea wake ambao majimbo yao yametwaliwa na ccm kuliko kupoteza muda hapo kwenye tume
 
Taarifa kwa Vyombo vya Habari na Umma

Mgombea wa Kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mhe. Tundu Lissu, akiwa pamoja na Mgombea wa Kiti cha Makamu wa Rais, Mhe. Salum Mwalim Juma Mwalim, muda huu wanaelekea Ofisi za Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Uchaguzi House) jijini Dodoma kuwasilisha fomu zake za mapingamizi dhidi ya wagombea wengine katika nafasi ya Urais wa JMT, baada ya hapo atazungumza na Waandishi wa Habari Ofisi za Chadema, Kanda ya Kati, jijini Dodoma.

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano
Chadema
Agosti 26, 2020

====

Tundu Lissu amewawekea Pingamizi Wagombea Wawili wa Urais. Amewawekea pingamizi Ibrahim Lipumba wa chama cha CUF na Dr. John Magufuli wa chama cha CCM.

Hadi muda unaisha, hakuna aliyemuwekea Pingamizi Tundu Lissu. Hivyo kaondoka na kuelekea Ofisi za CHADEMA za Kanda kuongea na Wanahabari.

Zaidi, soma:
Uchaguzi 2020 - NEC imemteua Profesa Ibrahim Lipumba kuwa Mgombea wa Urais

Uchaguzi 2020 - NEC imemteua Dkt. John Pombe Magufuli kugombea Urais na Mama Samia Suluhu Umakamu wa Rais kupitia CCM

Uchaguzi 2020 - Tume ya Uchaguzi yampitisha Tundu Lissu kuwania Urais kupitia CHADEMA
View attachment 1548762View attachment 1548764
Huyu Tundu Lissu anaonekana mwenye furaha sana kuliko hata waliompiga risasi.

Ama kweli maisha ni tofauti sana kabla na baada ya kumwaga damu ya mtu.
 
Mimi nadhani Lissu ameweka pingamizi sio kwa sababu anataka Rias aenguliwe kwenye kinyang'anyiro bali ni ili aonyeshe kwamba hata kama mpinzani wako ni mkuu wa nchi, kisheria una haki ya kumpinga kulingana na vifungu vya sheria zilizopo

..asante.

..ccm wao wanataka Jpm achukuliwe kuwa ni raisi, na hao wengine ni wagombea.

..lakini sheria zetu za uchaguzi zinawaweka wote ktk mzani ulio sawa, hakuna mkuu zaidi ya mwingine.
 
Endeleeni kurukaruka kama njugu.

Huyo anayehitajiwa huko mitaani alikokuwa anazunguka mara mtaa wa jojo na mitaa ya firigisi watakutana kupeana pole uko huku mitaani kwao.

Mhe. Dr. Magufuli, ndiye Rais wa Tanzania anakubalika kwa Watanzania wote.
Anakubalika kwako wewe na watoto wako sio kwa watanzania wote wee vp
 
Watu wakisema huyu mtu anahitaji msaada wa kitaalamu ajatulia mnaona wanamnanga.

Kadri siku zinavyoenda ndio anazidi kuonekana kituko kwenye jamii yeye kila kitu anafanya tofauti na wenzake.

Lissu is not fit for office

there is nothing wrong when you chose to be different.
 
Kwa hiyo wewe kwa akili yako kabisa unaamini pale kuna pingamizi lenye maana la kumuondoa Magufuli kwenye ugombea?

Au unafikiri kwakuwa tu linaitwa pingamizi basi pingamizi lolote lina maana?

Lisu angekuwa na akili angetumia huo muda kuwasaidia wagimbea wake ambao majimbo yao yametwaliwa na ccm kuliko kupoteza muda hapo kwenye tume

Yametealiwa lini na yote yamewejewa mapingamizi au wewe haupo Tanzania
 
Back
Top Bottom