Lakini watu wengi wanamfuata sana T Lissu, pengine NI YEYE Kweli! Tuwe na subira tu.Akili zako na huyo Lissu sawa sawa. Unataka aachiwe asimame katikati ya barabara kama raisi wa nchi? Tena ka audience chenyewe cha watu 200-300 kisa tu ku entertain his mental health issues yeye na raisi wa nchi ni watu sawa.
I think his honeymoon period should be brought to an end as days go Lissu is becoming a real pest.
SawaWhat a load of nonsense, kuendelea kumchekea Lissu ni ku entertain his fantasy; yaani azuie shughuli za watu wengine barabarani kisa tu kichwani kwake anajiona ni sawa na raisi.
This joke has gone too far.
Wewe ni Mpuuzi Kama walivyowapuuzi wengine, Mgombea wenu anasimama kila mahali hajawahi kupingwa mabomu. Mwaka huu jino kwa jina jeshi la mtu mmoja TL ananyoosha= polisi+Nec+ccmMmheshimiwa, kama hufuati ratiba, jee polisi wafanye nini? na ratiba ni ya nini? kwa nini tunakuwa na ratiba? ajitahidi kufuata ratiba mikoa mingine.
Kuna sehemu akikutana na askari ambae anafahamu sheria atakwama.
Patient has its limit jamaa wa ulinzi na NEC washamvumilia sana out of pity lakini bichwa lake linazidi kuwa kubwa; watch this space.
Mkuu huyo mwamba ametumwa na Mungu aiokoe Tanzania kutoka utumwa Wa ccm,amepewa mamlaka akiongea ni sauti ya Mungu mwenyewe,lazima uufyate.Polisi kafyata Maskini, Kapewa hoja za nguvu kama kasimama kizimba Cha MAHAKAMA,
Kakosa hata Jibu la uongo, Kama Ingekuwa MAHAKAMANI Keshaenda Jela, Maana ni Kama alikuwa anasutwa, Amekuja Moto karudi Baridi.
Unatia kinyaaWatanzania wenzangu na wanachadema wenzangu tusipo angalia vizuri huyu Tundu Lissu atatupeleka pabaya, tumeishi kwa amani na upendo kwa miaka mingi lkn sasa anataka kutuchonganisha sisi kwa sisi, hatutaki kabisaaa
Election keshokutwa US ebu tuwaelize Diaspora Trump security privilege zimepunguzwa kipindi hiki?who doesn't accept that Magufuli his mandate was given has expired ??? no wonder the parliament is dissolved. Its time now to elect the new president let the majority to choose a leader to govern this country otherwise expect bloodshed the entire country than Mkapa-Zanzibar.
Kuna kitu hakiko sawa siamini kama polisi wanaweza piga mabomu bila sababu, pia hiyo sababu ya kupiga mabomu ingetokea kwenye msafara wa ccm polisi wasingepiga mabomuMungu tupe amani yako!
Atasimamishwa na wapiga kura kwa wingi wetu, sio mimi peke yangu. Muhimu ni kuheshimu taratibu za uchaguzi ambazo amekuwa akizisigana the moment he touched down.Even if you lose your patience to the death limit, nothing is going to stop Tundu Lissu to get what he wants...!!
Kivipi mkuu, ebu fafanuaWatanzania wenzangu na wanachadema wenzangu tusipo angalia vizuri huyu Tundu Lissu atatupeleka pabaya, tumeishi kwa amani na upendo kwa miaka mingi lkn sasa anataka kutuchonganisha sisi kwa sisi, hatutaki kabisaaa
Muonyeshe hii videoKamanda wa Polisi mkoa wa Kipolisi Tarime Rorya, William Mkonda amekanusha uvumi kuwa msafara wa mgombea Urais kupitia Chadema, Tundu A Lissu umepigwa mabomu eneo la Nyamongo, amesema mabomu yalipigwa kutawanya wafuasi waliokuwa wakiwashambulia askari wa jeshi hilo.
Source:
Mkuu umeongea nini hapa, Kama rais anataka kubaki ofisin Basi asigombee,ila elewa mpaka Sasa Kama mgombea yuko sawa na wagombea wengine ,msitishe watu, yupo alie na yupo kweli mtakipata mtakachoAkili zako na huyo Lissu sawa sawa. Unataka aachiwe asimame katikati ya barabara kama raisi wa nchi? Tena ka audience chenyewe cha watu 200-300 kisa tu ku entertain his mental health issues yeye na raisi wa nchi ni watu sawa.
I think his honeymoon period should be brought to an end as days go Lissu is becoming a real pest.
Sasa haya yanatokea ili iweje?Tangu kampeni zimeanza kuna sehemu kulitokea fujo au kupigana mabomu?
Hayo ndio maagizo ya Dodoma yanafanyiwa kazi na sisi wananchi tujiandae.Kupitia akaunti ya Twitter ya Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu ameandika
Polisi Nyamongo wameshambulia msafara wetu kwa mabomu ya machozi wakizuia njia kuelekea kwenye mkutano wetu wa kampeni. Wamepiga na kuumiza wananchi waliotupokea. Nawaambia Jeshi la Polisi mfanye kazi yenu kwa weledi, hakuna mabomu wala risasi za kutuzuia!! Hatutishwi!
For English Audience
Our convoy has been subjected to a massive teargas attack by the Police in Nyamongo, in attempt to block our route heading to our campaign meeting. Our supporters have equally been brutally caned and hurt. Let them bomb us and shoot us, but we shall never back down!!
TARIME: POLISI WAKANUSHA KUSHAMBULIA MSAFARA WA LISSU BALI WALIKUWA WAKIWADHIBITI WALIOKUWA WAKIWARUSHIA MAWE ASKARI
Kamanda wa Polisi, ACP William Mkonda amesema msafara wa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CHADEMA haujashambuliwa
Amesema wao wamewapiga mabomu ya machozi watu waliokuwa wanawarushia mawe Askari wa Jeshi la Polisi na hadi sasa Msafara wa Tundu Lissu upo njiani kuelekea Serengeti na unaongozwa na Polisi
Kuhusu usalama wa Mgombea amesema kuwa tangu jana Mgombea huyo alipofika Tarime amekuwa salama na anaondoka salama