Hoja mbuzi
Afadhali Mbuzi ni kitoweo / Kisusio….. kuliko hoja yake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hoja mbuzi
Good boyTundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya...
Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyo nayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO.
Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa milele. Namaanisha hadi bahari itapokauka!"
Mimi ninao huo MKATABA lakini sijaona wapi pameandikwa tutapata hizo hela zinazosemwa na wapambe waliohongwa."
Ni wazi wao kuanzia Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wa wizara husika ni WAZANZIBAR na kwa makusudi wameuza mali ya Tanganyika kwa sababu haiwahusu!"
Wengi wenu mnafikiri ni bandari pekee imeuzwa na hao WAZANZIBAR mnajidanganya! Kwa mjibu wa MKATABA hiyo reli ya Magufuli na mabarabara ni ya waarabu hadi maeneo yote maalum ya kibiashara yanakuwa yao."
Bandari kavu kwa mfano ile ya Isaka na zingine zote zinakuwa za waarabu wameuziwa na Samia ambaye ni Mzanzibar."
DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"
Kama kweli huo mkataba una manufaa na faida kwanini hao WAZANZIBAR ( Samia na Mbarawa ) wameziacha bandari zao?!"
HATUPO TAYARI RASILIMALI ZETU WATANGANYIKA ZIUZWE HOVYO NA WAZANZIBAR - HATUPO TAYARI NASEMA!"
Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"
Lissu.
Wewe tatizo huweki vyanzo. Una tabia ya kuwalisha maneno hao unao wanukuu.Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya...
Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyo nayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO.
Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa milele. Namaanisha hadi bahari itapokauka!"
Mimi ninao huo MKATABA lakini sijaona wapi pameandikwa tutapata hizo hela zinazosemwa na wapambe waliohongwa."
Ni wazi wao kuanzia Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wa wizara husika ni WAZANZIBAR na kwa makusudi wameuza mali ya Tanganyika kwa sababu haiwahusu!"
Wengi wenu mnafikiri ni bandari pekee imeuzwa na hao WAZANZIBAR mnajidanganya! Kwa mjibu wa MKATABA hiyo reli ya Magufuli na mabarabara ni ya waarabu hadi maeneo yote maalum ya kibiashara yanakuwa yao."
Bandari kavu kwa mfano ile ya Isaka na zingine zote zinakuwa za waarabu wameuziwa na Samia ambaye ni Mzanzibar."
DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"
Kama kweli huo mkataba una manufaa na faida kwanini hao WAZANZIBAR ( Samia na Mbarawa ) wameziacha bandari zao?!"
HATUPO TAYARI RASILIMALI ZETU WATANGANYIKA ZIUZWE HOVYO NA WAZANZIBAR - HATUPO TAYARI NASEMA!"
Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"
Lissu.
Makubwa!…Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya...
Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyo nayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO.
Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa milele. Namaanisha hadi bahari itapokauka!"
Mimi ninao huo MKATABA lakini sijaona wapi pameandikwa tutapata hizo hela zinazosemwa na wapambe waliohongwa."
Ni wazi wao kuanzia Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wa wizara husika ni WAZANZIBAR na kwa makusudi wameuza mali ya Tanganyika kwa sababu haiwahusu!"
Wengi wenu mnafikiri ni bandari pekee imeuzwa na hao WAZANZIBAR mnajidanganya! Kwa mjibu wa MKATABA hiyo reli ya Magufuli na mabarabara ni ya waarabu hadi maeneo yote maalum ya kibiashara yanakuwa yao."
Bandari kavu kwa mfano ile ya Isaka na zingine zote zinakuwa za waarabu wameuziwa na Samia ambaye ni Mzanzibar."
DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"
Kama kweli huo mkataba una manufaa na faida kwanini hao WAZANZIBAR ( Samia na Mbarawa ) wameziacha bandari zao?!"
HATUPO TAYARI RASILIMALI ZETU WATANGANYIKA ZIUZWE HOVYO NA WAZANZIBAR - HATUPO TAYARI NASEMA!"
Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"
Lissu.
We mjinga hoja ni Bandari, kama vipo fungua maada ya mikutani kubuma tuijadiliBaadae ya kiki ya kuzurura Mikoani kubuma Sasa chadomo wanatembea na kiki ya Bandari
Chama Cha matukio [emoji16][emoji16]
Wananchi wote nani na nani? Mbona sisi ni wananchi na tunapinga kufanywa watumwa wa kuburuzwa na wakenya.Maaskofu, Wananchi wote, wanansheria TLS wao wanatumiwa na nani?
Aliyekwambia mamlaka ni moja mpaka Zanzibar ni nani? Zanzibar ina DG wake kinyume na katibaHii DP world itasimamia bandari za Tz nzima mpaka za Zanzibar ( maana ni sehemu ya Tz) au Tanganyika tu kama Lissu anavyodai ? Kwani mamlaka ya bandari si hiyo hiyo moja ?.....
Lissu awe makini asipoteze muelekeo wa mjadala na akanasa kwenye mtego wa wajanja, ajikite na makubaliano ya hiyo MOU tu, hayo ya Tanganyika na Zanzibar ni spinning za watu wenye malengo yao.
Kalamu Nguruvi3 JokaKuu Pascal Mayalla
Hakuna mtu makini kwa sasa kuliko Lissu.Hii DP world itasimamia bandari za Tz nzima mpaka za Zanzibar ( maana ni sehemu ya Tz) au Tanganyika tu kama Lissu anavyodai ? Kwani mamlaka ya bandari si hiyo hiyo moja ?.....
Nyie mmeshanunuliwa, mpo upande wa mnunuziWananchi wote nani na nani? Mbona sisi ni wananchi na tunapinga kufanywa watumwa wa kuburuzwa na wakenya.
Inanikumbusha Loliondo, waliohamishwa pale ni watanzania, lkn walioandamana ni wakenya 😂😂
kama walivyo muoa babaako sioSubiri uolewe na Waarabu ili akili zikukae sawa.
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar alishasema TPA ni ya Tanzania Bara tu kule Zanzibar Wana ZPA na kila Moja unajitegemea!Hii DP world itasimamia bandari za Tz nzima mpaka za Zanzibar ( maana ni sehemu ya Tz) au Tanganyika tu kama Lissu anavyodai ? Kwani mamlaka ya bandari si hiyo hiyo moja ?.....
Lissu awe makini asipoteze muelekeo wa mjadala na akanasa kwenye mtego wa wajanja, ajikite na makubaliano ya hiyo MOU tu, hayo ya Tanganyika na Zanzibar ni spinning za watu wenye malengo yao.
Kalamu Nguruvi3 JokaKuu Pascal Mayalla
Maandamano yake anayafanyia hapa JF.Mbona hajaja kuandamana sasa leo
Hii DP world itasimamia bandari za Tz nzima mpaka za Zanzibar ( maana ni sehemu ya Tz) au Tanganyika tu kama Lissu anavyodai ? Kwani mamlaka ya bandari si hiyo hiyo moja ?.....
Lissu awe makini asipoteze muelekeo wa mjadala na akanasa kwenye mtego wa wajanja, ajikite na makubaliano ya hiyo MOU tu, hayo ya Tanganyika na Zanzibar ni spinning za watu wenye malengo yao.
Kalamu Nguruvi3 JokaKuu Pascal Mayalla
Mmeshindwa kuandamana na silaha yenu iliyobakia ni kushutumu na kupanda mbegu ya chuki kwa majina ya kificho.Moyo wa mtu ni kiza kinene
Ukimuona samia anavyotabasamu akiwa na watanganyika utadhani anawajali
Kumbe ana nia ovu ya kuuza nchi kwa waarabu
Siku zote ukiona mtu anajifanya mwema sana kwako shituka
Nilipoona samia anakaa karibu na wapinzani nilijua huyu ana nia ovu ya kuingamiza Tanganyika
Ni wazi mungu atamuondoa kwenye kiti kikuu
Huwezi kuwadhulumu watanganyika milion 59 ukaasalimika
Samia utaondoka na waarabu wataondoka
Tanganyika KwanzaHakuna mtu makini kwa sasa kuliko Lissu.
Nawe jaribu kujiongeza kidogo, swala hili la Bandari limeongelewa sana humu JF na nje ya hapo. Itakuwia vipi vigumu kutambua hadi sasa kwamba Bandari za Zanzibar hazihusiki? Hujui kuwa anayesimamia bandari Zanzibar ni Zanzibar Ports Corporation,(ZPC) na siyo Tanzania Ports Authority (TPA)?
Kiufupi ni kwamba Samia katika jambo hili anafanya hila za maksudi kabisa kunadi mali za Tanganyika, huku akiwatumia waZanzibar wenzake, huyo Mbarawa na Katibu Mkuu wa Wizara.
Watu hawawezi kupuuza hitimisho la namna hiyo, hasa kutokana na ulaghai mwingi unaoonekana kufanyika kufanikisha jambo hili.
Lakini jambo linaloshangaza hasa ni huyu Samia ujasiri huu wote anautoa wapi? Sidhani kuwa, pamoja na kuwa Rais wa nchi, angeweza kufikia uamzi wa namna hii yeye pekee bila ya kuwahusisha baadhi ya waTanganyika wenye nyadhifa kubwa, au waliowahi kushika madaraka makubwa ndani ya nchi hii.
Nakataa kabisa kabisa, kwamba hii siyo kazi ya Samia na vidagaa vidogovidogo, kama akina Msukuma. Hii ni kazi ya Mapapa haswa. Sasa tunawaona hata akina Roast wakijitokeza kutetea ujinga huu.
Kweli Kabisa..Znz ina mamlaka yake ya bandari.
..Na sheria ya uanzushaji wa Tanzania Ports Authority inaelekeza kwamba itashughulika na bandari za Tanganyika tu.
..muungano una ujanja-ujanja mwingi na watu wakisema wanashambuliwa kuwa ni wadini na wabaguzi.
..Wazenj wakikosolewa ni wepesi kujificha ktk dini na ubaguzi.