Tundu Lissu: Rais Samia na Mbarawa wameiuza Tanganyika yetu kwa Waarabu
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya...

Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyo nayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO.

Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa milele. Namaanisha hadi bahari itapokauka!"

Mimi ninao huo MKATABA lakini sijaona wapi pameandikwa tutapata hizo hela zinazosemwa na wapambe waliohongwa."

Ni wazi wao kuanzia Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wa wizara husika ni WAZANZIBAR na kwa makusudi wameuza mali ya Tanganyika kwa sababu haiwahusu!"

Wengi wenu mnafikiri ni bandari pekee imeuzwa na hao WAZANZIBAR mnajidanganya! Kwa mjibu wa MKATABA hiyo reli ya Magufuli na mabarabara ni ya waarabu hadi maeneo yote maalum ya kibiashara yanakuwa yao."

Bandari kavu kwa mfano ile ya Isaka na zingine zote zinakuwa za waarabu wameuziwa na Samia ambaye ni Mzanzibar."

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"

Kama kweli huo mkataba una manufaa na faida kwanini hao WAZANZIBAR ( Samia na Mbarawa ) wameziacha bandari zao?!"

HATUPO TAYARI RASILIMALI ZETU WATANGANYIKA ZIUZWE HOVYO NA WAZANZIBAR - HATUPO TAYARI NASEMA!"


Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"

Lissu.
Anasikitisha
 
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya...

Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyo nayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO.

Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa milele. Namaanisha hadi bahari itapokauka!"

Mimi ninao huo MKATABA lakini sijaona wapi pameandikwa tutapata hizo hela zinazosemwa na wapambe waliohongwa."

Ni wazi wao kuanzia Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wa wizara husika ni WAZANZIBAR na kwa makusudi wameuza mali ya Tanganyika kwa sababu haiwahusu!"

Wengi wenu mnafikiri ni bandari pekee imeuzwa na hao WAZANZIBAR mnajidanganya! Kwa mjibu wa MKATABA hiyo reli ya Magufuli na mabarabara ni ya waarabu hadi maeneo yote maalum ya kibiashara yanakuwa yao."

Bandari kavu kwa mfano ile ya Isaka na zingine zote zinakuwa za waarabu wameuziwa na Samia ambaye ni Mzanzibar."

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"

Kama kweli huo mkataba una manufaa na faida kwanini hao WAZANZIBAR ( Samia na Mbarawa ) wameziacha bandari zao?!"

HATUPO TAYARI RASILIMALI ZETU WATANGANYIKA ZIUZWE HOVYO NA WAZANZIBAR - HATUPO TAYARI NASEMA!"

Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"

Lissu.
Mmmmm
 
Hadi 2025 maeneo yafuatayo yatakua chini ya waarabu

1. Serengeti national park
2. Airports zote kubwa
3. Bandari zote za maziwa
4. Bandari zote za bahari
5. Bandari kavu zote
6. Ngorongoro
 
Mliokuwa mnaumauma maneno.... Lissu Katapika...

Haya Wazanzibari sasa tunaanza upyaaaa....

Twende sasa..
 
Usijidanganye.
Usifikiri hivyo "vyombo vya utendaji" ni misukule ya aina fulani unayoweza kuitumia tu na ikatimiza unachotaka hata kama ni uchafu usiokubalika.
Nguvu kubwa ya CDM na wote walio nyuma yake katika suala zima la port imeshafahamika chanzo chake ni kina nani.
 
Hakuna mwenye Akili Timamu na anayejitambua anayeweza kumsikiliza au kusikiliza maneno yanayotoka kwenye mdomo wa Tundu lissu ambaye Ni mtu mwongo ,kigeugeu,asiye na msimamo na asiyeeleweka anasimamia Nini.

Jiulizeni lissu alisema Nini juu ya lowasa miaka ya 2008-2015 July na akasema Nini kwa mdomo huo huo mwaka huo wa 2015? Lissu Ni Tapeli na mbabaishaji tu,ndio maana kwa Sasa watanzania wanampuuza na kudharau Sana kwa kuwa wametambua ya kuwa Ni mtu mwongo na mbabaishaji,mchonganishi na mwenye chuki binafsi.
 
Lissu ongoza jahazi watanganyika waikomboe nchi inayotaka kuuzwa kwa waarabu

Watanganyika walikuwa hawajapata hotuba iliyonyooka kama yako

Ni wakati wenu watanganyika kuungana kuzuia nchi isiuzwe kwa wale waharibifu na wanaoharibu nchi za watu
 
Lissu ongoza jahazi watanganyika waikomboe nchi inayotaka kuuzwa kwa waarabu

Watanganyika walikuwa hawajapata hotuba iliyonyooka kama yako

Ni wakati wenu watanganyika kuungana kuzuia nchi isiuzwe kwa wale waharibifu na wanaoharibu nchi za watu
Mh ngoja mbogamboga crew waje!!
 
Tatizo ni katiba yetu mbovu, inampa absolute power rais ambaye siyo raia wa Tanganyika kufanya lolote altakalo bila hofu ya kuhojiwa wala kushitakiwa na chombo ama mtu yeyote.

Kwa kauli hizi za Tundu Lisu nayaona maridhiano yakitumbukia kwenye tundu la choo
Bora tushukuru pamoja na maridhiano yao wameweza kutofautiana nae kwenye maslahi ya taifa
 
Naamini walivyo mvivu hata kutembea itakuwa alikuwa anasinzia wakati anasaini
 
Lissu ongoza jahazi watanganyika waikomboe nchi inayotaka kuuzwa kwa waarabu

Watanganyika walikuwa hawajapata hotuba iliyonyooka kama yako

Ni wakati wenu watanganyika kuungana kuzuia nchi isiuzwe kwa wale waharibifu na wanaoharibu nchi za watu
Kuna ya Lugemeleza, na mwakibusu zisikilize
 
Balile
Jesse kwayu
Kibanda
Kubenea
Maloto
Neville meena
Hao ni baadhi yao
 
Lisu bana eti mkataba hauna mwisho ni hadi bahari ikauke🤣🤣🤣🤣
 
Nini kimegeuza mawazo ya Mheshimiwa ? Aliwaza nini? Je aliwaza matokeo ya maamuzi yake?
 
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya...

Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyo nayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO.

Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa milele. Namaanisha hadi bahari itapokauka!"

Mimi ninao huo MKATABA lakini sijaona wapi pameandikwa tutapata hizo hela zinazosemwa na wapambe waliohongwa."

Ni wazi wao kuanzia Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wa wizara husika ni WAZANZIBAR na kwa makusudi wameuza mali ya Tanganyika kwa sababu haiwahusu!"

Wengi wenu mnafikiri ni bandari pekee imeuzwa na hao WAZANZIBAR mnajidanganya! Kwa mjibu wa MKATABA hiyo reli ya Magufuli na mabarabara ni ya waarabu hadi maeneo yote maalum ya kibiashara yanakuwa yao."

Bandari kavu kwa mfano ile ya Isaka na zingine zote zinakuwa za waarabu wameuziwa na Samia ambaye ni Mzanzibar."

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"

Kama kweli huo mkataba una manufaa na faida kwanini hao WAZANZIBAR ( Samia na Mbarawa ) wameziacha bandari zao?!"

HATUPO TAYARI RASILIMALI ZETU WATANGANYIKA ZIUZWE HOVYO NA WAZANZIBAR - HATUPO TAYARI NASEMA!"


Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"

Lissu.
Katika wanasiasa niliokuwa nawausudu ni Slaa na Lissu,nilimchukia Lissu alivyoanza kumshambulia Magufuli wakati anavunja mikataba ya kinyonyaji ya akina Barrick,na alivyongeuka Slaa suala la Lowassa.Lissu ni mwanasiasa anayetembea na upepo hana msimamo,ila kwa hili la kuuza Tanganyika tuko pamoja.
 
Back
Top Bottom