Tundu Lissu: Rais Samia na Mbarawa wameiuza Tanganyika yetu kwa Waarabu
Tatizo ni katiba yetu mbovu, inampa absolute power rais ambaye siyo raia wa Tanganyika kufanya lolote altakalo bila hofu ya kuhojiwa wala kushitakiwa na chombo ama mtu yeyote.

Kwa kauli hizi za Tundu Lisu nayaona maridhiano yakitumbukia kwenye tundu la choo
Uraia wa Tanganyika walikuwa nao kina Mkapa, Kikwete na Nyerere na bado mkaja na hoja za lawama.

Uraia wake kuuhoji ni kujaribu kumkwaza lakini ni upuuzi tu kama upuuzi mwingine wowote ule, kwani Rais anazo nguvu nyingi sana na vyombo vyote vya utendaji vipo chini yake.
 
Kwa Nini Hili swala Watu wanaingiza Dini???Hapa anasemwa MTU Kama Magufuri tulivyomwambia Kuwa Mzee wa chato.. Kwani Hapo Dini Au ukabila ilikuwepo???
 
Mikataba zaidi ya thelathini kendaa si mchezo,,,kituo kifuatacho ATCL!!
 
Uraia wake kuuhoji ni kujaribu kumkwaza lakini ni upuuzi tu kama upuuzi mwingine wowote ule, kwani Rais anazo nguvu nyingi sana na vyombo vyote vya utendaji vipo chini yake
Usijidanganye.
Usifikiri hivyo "vyombo vya utendaji" ni misukule ya aina fulani unayoweza kuitumia tu na ikatimiza unachotaka hata kama ni uchafu usiokubalika.
 
Hadi 2025 maeneo yafuatayo yatakua chini ya waarabu

1. Serengeti national park
2. Airports zote
3. Bandari zote za maziwa
4. Bandari zote za bahari
5. Bandari kavu zote
 
..Znz ina mamlaka yake ya bandari.

..Na sheria ya uanzushaji wa Tanzania Ports Authority inaelekeza kwamba itashughulika na bandari za Tanganyika tu.

..muungano una ujanja-ujanja mwingi na watu wakisema wanashambuliwa kuwa ni wadini na wabaguzi.

..Wazenj wakikosolewa ni wepesi kujificha ktk dini na ubaguzi.
Yes wao ni wazuri sana wa kulalamika ubaguzi ingawa ni wabaguzi wakubwa sana
Hivi si juzi Jussa kasema Tanganyika ni Wakoloni?
Hivi si Rais HAH Mwinyi aliyesema ardhi ya Zbar marufuku kwa Watanganyika.

Muungano una ujanja ujanja wa ajabu sana. Bandari ni suala la muungano kwa mujibu wa mkataba wa muungano wa 1964. Zanzibar kupitia katiba ya SMZ 1984 iliyofanyiwa marekebisho 2010 wakaliondoa kwa kuanzisha ZPA. Sasa Tanzania Port Authority (TPA) ina Wazanzibar, halafu wao wana yao.

Ni kama Wabunge wa Zbar walikwenda Dubai kuangalia shughuli za DP lakini bandari za Zanzibar hasihusiki
Yaani Wabunge wa Zbar ni kama Watalii tu, wanakula pesa za Watanganyika.
Huko TPA kuna Wazanzibar katika bodi na Wanaajiri 21% ya Wazanzibar kwa jambo walilosema hawataki na wakaanzisha ZPA.

Hapana, ya Tanganyika wakae pembeni wasituingilie hata ajira zisizo za muungano wang'olewe.
Si wao hawataki mambo ya muungano kuongezwa? Sasa waondolewe wakashughulikie mambo yao Zbar
 
Wewe kwako suala hili unaliona liko sawa? Kama unaliona liko sawa basi una mtindio wa ubongo.
Kwangu ubinafsishaji ni sawa ila lugha inayotumika na kulitumia Kisiasa sio sawa, vipengele vinavyoleta shida viangaliwe ila sitaki kabisa Bandari ibaki Kwa Wabongo maana wanaitumia kama shamba la bibi na wanapitisha mizigo Kwa vimemo
 
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya...

Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyo nayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO.

Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa milele. Namaanisha hadi bahari itapokauka!"

Mimi ninao huo MKATABA lakini sijaona wapi pameandikwa tutapata hizo hela zinazosemwa na wapambe waliohongwa."

Ni wazi wao kuanzia Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wa wizara husika ni WAZANZIBAR na kwa makusudi wameuza mali ya Tanganyika kwa sababu haiwahusu!"

Wengi wenu mnafikiri ni bandari pekee imeuzwa na hao WAZANZIBAR mnajidanganya! Kwa mjibu wa MKATABA hiyo reli ya Magufuli na mabarabara ni ya waarabu hadi maeneo yote maalum ya kibiashara yanakuwa yao."

Bandari kavu kwa mfano ile ya Isaka na zingine zote zinakuwa za waarabu wameuziwa na Samia ambaye ni Mzanzibar."

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"

Kama kweli huo mkataba una manufaa na faida kwanini hao WAZANZIBAR ( Samia na Mbarawa ) wameziacha bandari zao?!"

HATUPO TAYARI RASILIMALI ZETU WATANGANYIKA ZIUZWE HOVYO NA WAZANZIBAR - HATUPO TAYARI NASEMA!"


Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"

Lissu.

Lisu yuko sahihi sana.
 
Na wewe mzanzibari nini?
Hapana ,Mimi nataka ibinafsishwe,hiyo Bandari ma ccm wanaitumia kupitisha mizigo Yao na ya mahawala bila kulipia na pia imekuwa shamba la bibi ndio maana Kuna inefficiency..

Kwani wewe upuuzi wa bandarini unaona ninsawa?
 
Tundu Lissu akiongea na waandishi wa habari amesema haya...

Kwenye mamlaka ya moja kwa moja waliyo nayo kama Wazanzibar kwenye huu MKATABA kwa makusudi kabisa hawajajumuisha bandari ya kwao Zanzibar ilhali ni jambo la MUUNGANO.

Hawa WAZANZIBAR wameuza mali yetu Watanganyika kwa MKATABA wa milele. Namaanisha hadi bahari itapokauka!"

Mimi ninao huo MKATABA lakini sijaona wapi pameandikwa tutapata hizo hela zinazosemwa na wapambe waliohongwa."

Ni wazi wao kuanzia Samia, Mbarawa na Katibu mkuu wa wizara husika ni WAZANZIBAR na kwa makusudi wameuza mali ya Tanganyika kwa sababu haiwahusu!"

Wengi wenu mnafikiri ni bandari pekee imeuzwa na hao WAZANZIBAR mnajidanganya! Kwa mjibu wa MKATABA hiyo reli ya Magufuli na mabarabara ni ya waarabu hadi maeneo yote maalum ya kibiashara yanakuwa yao."

Bandari kavu kwa mfano ile ya Isaka na zingine zote zinakuwa za waarabu wameuziwa na Samia ambaye ni Mzanzibar."

DPW wamehonga karibia kila awaye na ushawishi. Waandishi zaidi ya 40 walipelekwa kula raha na miongoni mwao yupo mmoja amenieleza kwa siku tatu alizokaa kule alirejea na hongo ya mililioni 6!"

Kama kweli huo mkataba una manufaa na faida kwanini hao WAZANZIBAR ( Samia na Mbarawa ) wameziacha bandari zao?!"

HATUPO TAYARI RASILIMALI ZETU WATANGANYIKA ZIUZWE HOVYO NA WAZANZIBAR - HATUPO TAYARI NASEMA!"


Hili suala halitaisha leo wala kesho na lazima Samia atambue. Huu MKATABA haufai na mbovu kuliko ubovu wenyewe!"

Lissu.
Duh.. hatari..
 
Back
Top Bottom