mbona we umelegeza matako wazungu wanatuibia madiniBandari inauzwa wewe unalegeza mattyakko yako.
Ipo siku wajukuu wako watapiga fimbo kaburi lako.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona we umelegeza matako wazungu wanatuibia madiniBandari inauzwa wewe unalegeza mattyakko yako.
Ipo siku wajukuu wako watapiga fimbo kaburi lako.
MtanzaniaSamahani sana.
Wewe ni Mtanganyika?
hautaki na mkeo auHatuutaki huu mkataba! Hatuutaki!
Kama hatujui ni bora tutulie tu ila tusitende dhambi katika hili. Hili hata mtoto mdogo anaweza kuuliza sidhani kama kuna mtu hapendi kunufaika na wawekezaji hapa duniani. Tutulie tu...Znz ina mamlaka yake ya bandari.
..Na sheria ya uanzushaji wa Tanzania Ports Authority inaelekeza kwamba itashughulika na bandari za Tanganyika tu.
..muungano una ujanja-ujanja mwingi na watu wakisema wanashambuliwa kuwa ni wadini na wabaguzi.
..Wazenj wakikosolewa ni wepesi kujificha ktk dini na ubaguzi.
Hili siyo swala la CDM, ni swala la WaTanganyika (hapana) ni swala la waTanzania wote.Nguvu kubwa ya CDM na wote walio nyuma yake katika suala zima la port imeshafahamika chanzo chake ni kina nani.
Suala la bandari ni vita ya kiuchumi na mkuu Kalamu kaamua kuisaliti nchi yake kwa vipande thelathini vya fedha kama Yuda.Hili siyo swala la CDM, ni swala la WaTanganyika (hapana) ni swala la waTanzania wote.
Watu kama wewe mnaotafuta visingizio vya kipuuzi, tena visivyo na uhusiano wowote msidhani waTanzania hawawezi kuuona ujinga huo.
Hicho "chanzo" hata kukitaja unashindwa kwa kujua ujuha ulio nyuma ya mawazo ya namna hiyo?
LOooh!Kama hatujui ni bora tutulie tu ila tusitende dhambi katika hili. Hili hata mtoto mdogo anaweza kuuliza sidhani kama kuna mtu hapendi kunufaika na wawekezaji hapa duniani. Tutulie tu.
Bahari ndio Jambo la Muungano pamoja na Lakes na River..Znz ina mamlaka yake ya bandari.
..Na sheria ya uanzushaji wa Tanzania Ports Authority inaelekeza kwamba itashughulika na bandari za Tanganyika tu.
..muungano una ujanja-ujanja mwingi na watu wakisema wanashambuliwa kuwa ni wadini na wabaguzi.
..Wazenj wakikosolewa ni wepesi kujificha ktk dini na ubaguzi.
Bado hujanielewa boss, jaribu kusoma tena nilichokiandikaLOooh!
Na wewe pia umo, na wala huelezi chochote unachokijua na sisi wengine tukijue?
Tueleze uzuri wa masharti yaliyomo kwenye makubaliano; sote uzuri wa "wawekezaji" tunaufahamu; uwekezaji wenye "kunufaisha" hatuna tatizo nao.
Hivi akili zenu mbona zinagota namna hii?
Mnaacha kuelezea jambo linalolalamikiwa, mnakimbilia kwenye lisilo pingwa, kwa nini?
Nani atulie , unaumwa wewe , alaf nyie wavaa kobaz mnaxingua sanaKama hatujui ni bora tutulie tu ila tusitende dhambi katika hili. Hili hata mtoto mdogo anaweza kuuliza sidhani kama kuna mtu hapendi kunufaika na wawekezaji hapa duniani. Tutulie tu.
Kwa hiyo wewe unamwona 'Kalamu' kuwa hana akili kichwani?Suala la bandari ni vita ya kiuchumi na mkuu Kalamu kaamua kuisaliti nchi yake kwa vipande thelathini vya fedha kama Yuda.
Lakini mwisho wa usaliti unakaribia. Tutaibuka washindi katika vita hii iliyojaa maadui tunaokula nao chakula meza moja.
Uandishi wa shida sana huo.Bado hujanielewa boss, jaribu kusoma tena nilichokiandika
Hata mimi nimeshangaa🙂Mbona hajaja kuandamana sasa leo