Wewe nakusamehe na kukuouuza maana hujui unenalo. Lakini ujie kuwa uhai wa binadamu ni zaidi ya kelele za uchawa. Uhai wa mtu siyo wa kuwekea uchawa.Wewe ndiye ungeacha wenye akili Timamu na wanaojitambua wajadili hoja
Another crap.siasa za namana hiyo zilishapitwa na wakati lisu
watu tuko kwenye mageuzi kiuchumi
Muulize Hangaya, si ndiye aliyetangaza uchunguzi, Majibu yako wapi?Unawafahamu waliomuua kibao? Unaweza kusaidia jeshi la polisi ?
Kwa mara ya kwanza nimeshuhudia andiko lisilo la kumsifia Samia,Kama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote ile
Wewe nakusamehe na kukuouuza maana hujui unenalo. Lakini ujie kuwa uhai wa binadamu ni zaidi ya kelele za uchawa. Uhai wa mtu siyo wa kuwekea uchawa.
Tutofautiane kwa mambo mengine lakini siyo kwenye umuhimu wa thamani ya uhai wa mwanadamu. Ukipuuza na kuona uhai wa wanadamu si chochote, kuna siku utaoneshwa kwa namna ambayo itaamsha akili na dhamira yako iliyolala ili upate hekima. Usifanyie mzaha maisha ya mwanadamu. Mungu aliyetupatia uhai, akaupa heshima na thamani ya pekee, hadhihakiwi katika kile alichotujalia.
Kuna wakati umaskini wa kipato, husababisha mpaka umaskini wa akili na hekima. Ndipo alipofikia Mwashambwa.Lucas ana roho mbaya sijui analipwa nini huko ccm? Ni hela hizi huzi au kunakingine?
Long time bro... Mambo vipi?Kutoka X Lissu anaandika,
Enyi watu wabaya mjulikanao kama 'watu wasiojulikana,' nimezisikia njama zenu. Mnataka kuniumiza halafu mumsingizie Mwenyekiti wetu wa chama, Freeman Mbowe.
Ndivyo mlivyofanya wakati wa kifo cha marehemu Chacha Wangwe. Ndivyo mlivyofanya tena wakati mliponishambulia tarehe 7 Sept '17. Na ndivyo mlivyofanya miezi michache iliyopita mlipomteka nyara na kumuua Mzee Ali Mohamed Kibao.
Ndivyo mnavyofanya kila mnapoua watu wasio na hatia. Mnasingizia watu wengine ili nyie mnaohusika msiwajibike na udhalimu wenu.
Huyo mnayedhani mnamtumikia alitoa ahadi hadharani kuwa nitakuwa salama nikirudi nyumbani. Waziri wake Masauni alirudia ahadi hiyo bungeni.
Mkiniumiza kama mnavyopanga mjue lawama yote itaangukia kwa Samia Suluhu Hassan. Badala ya kumlinda mtamchafua zaidi. Na kama ilivyokuwa kwa Magufuli baada ya 7 Sept '17, ndivyo itakavyokuwa kwa Samia.
Wewe si umeandika kana kwamba unawafahamu?Muulize Hangaya, si ndiye aliyetangaza uchunguzi, Majibu yako wapi?
Wewe ni mjinga, lakini Tambua kwamba hawa wanaokulipa iko siku watakugeuka, Shetani hana maanaWewe si umeandika kana kwamba unawafahamu?
CCM inavijana wengi mavi ila wewe dada umezidi wapumbavu woteKama kawaida yake ya kuropoka ropoka Hovyo hovyo bila ushahidi wa aina yoyote ile
Ni lini Lisu aliwahi kushindwa kupeleka ushahidi?Mwambie mtu wako aweke ushahidi na siyo kuongea vitu na kuleta taharuki bila ushahidi wa aina yoyote ile
Wa kupuuzwa huyo!Kutoka X Lissu anaandika,
Enyi watu wabaya mjulikanao kama 'watu wasiojulikana,' nimezisikia njama zenu. Mnataka kuniumiza halafu mumsingizie Mwenyekiti wetu wa chama, Freeman Mbowe.
Ndivyo mlivyofanya wakati wa kifo cha marehemu Chacha Wangwe. Ndivyo mlivyofanya tena wakati mliponishambulia tarehe 7 Sept '17. Na ndivyo mlivyofanya miezi michache iliyopita mlipomteka nyara na kumuua Mzee Ali Mohamed Kibao.
Ndivyo mnavyofanya kila mnapoua watu wasio na hatia. Mnasingizia watu wengine ili nyie mnaohusika msiwajibike na udhalimu wenu.
Huyo mnayedhani mnamtumikia alitoa ahadi hadharani kuwa nitakuwa salama nikirudi nyumbani. Waziri wake Masauni alirudia ahadi hiyo bungeni.
Mkiniumiza kama mnavyopanga mjue lawama yote itaangukia kwa Samia Suluhu Hassan. Badala ya kumlinda mtamchafua zaidi. Na kama ilivyokuwa kwa Magufuli baada ya 7 Sept '17, ndivyo itakavyokuwa kwa Samia.
Unajua hiki alichokiandika Lissu haraka sana mimi nilikijua kwamba kitatokea, unaambiwa mbwa ukimjua jina hakung'ati.Duh.... So Tundu Lissu ni shetani, Hana rafiki CHADEMA wala CCM?
Inaumiza sana.. Wanafanya hivi baada ya mbingu zote kushindikanaEnyi watu wabaya mjulikanao kama 'watu wasiojulikana,' nimezisikia njama zenu. Mnataka kuniumiza halafu mumsingizie Mwenyekiti wetu wa chama, Freeman Mbowe.
Ndivyo mlivyofanya wakati wa kifo cha marehemu Chacha Wangwe. Ndivyo mlivyofanya tena wakati mliponishambulia tarehe 7 Sept '17. Na ndivyo mlivyofanya miezi michache iliyopita mlipomteka nyara na kumuua Mzee Ali Mohamed Kibao.
Ndivyo mnavyofanya kila mnapoua watu wasio na hatia. Mnasingizia watu wengine ili nyie mnaohusika msiwajibike na udhalimu wenu.
Huyo mnayedhani mnamtumikia alitoa ahadi hadharani kuwa nitakuwa salama nikirudi nyumbani. Waziri wake Masauni alirudia ahadi hiyo bungeni.
Mkiniumiza kama mnavyopanga mjue lawama yote itaangukia kwa Samia Suluhu Hassan. Badala ya kumlinda mtamchafua zaidi. Na kama ilivyokuwa kwa Magufuli baada ya 7 Sept '17, ndivyo itakavyokuwa kwa Samia.View attachment 3178142
Katika andiko lake hilo la X ameweka ushahidi wa tuhuma zake? Unaweza kusaidia kuweka hapa jukwaani? Alisema kwenye chama chake yameingizwa manilioni ya rushwa je amewahi kuthibitisha tuhuma hizo? Je unaweza kutuwekea hapa majina ya hao watoa na wapokea rushwa wa CHADEMA? Yeye kama makamu Mwenyekiti alishughulikia vipi masuala hayo? Lissu alisema kuwa alitaka kuhongwa mapesa na mtoto wa Rais je amewahi kuweka ushahidi wa hata CCTV camera? Unaweza kutusaidia kuweka hapa?Ni lini Lisu aliwahi kushindwa kupeleka ushahidi?
Fuatilia Lisu aliwahi kushtakiwa mara ngapi, na mara ngapi alitiwa hatiani? Unadhani ni kwa nini?
Lisu hajawahi kutoa kitu chochote public bila uhakika wa ushahidi. Hapa tayari amevituhumu vyombo vya dola, wamwite wamhoji, uone kama atakosa ushahidi.
Yaani unataka watu wamwombee Mafwele apone? Ili azidi kuwamaliza wengine? Labda kwanza atubu na kuahidi kuapa kutorudia ushetani wake.Mwee! Nini tatizo tumwombee kwa Mungu apone haraka