1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 7,201
- 9,529
Kwa hiyo akiachwa ndio hao wengine watatibiwa.hii sio sawa, anatibiwa kama nani..
gharama za wagonjwa wengine hapo muhimbili wasio na mbele wala nyuma nazo Serikali itazibeba? tuwe serious kidogo.
Jay anapaswa kusaidiwa ikiwa kakwama, Ila wanachohoji hao pia kina mantiki kwa maana Kuna maelfu ya watu ambao wamekufa kutokana na kushindwa kumudu gharama za matibabu.Wewe kama sio Mbunge wa Sasa wa jimbo lile ,Utakua, ndugu yake au rafiki yake au Utakua unawaza kugombea jimbo lile kupitia Chadema mana unajua wanachama wa Chadema pale ni wengi. Mana sio Kwa hizo roho mbaya za kumwonea wivu mpaka mgonjwa mahututi. Acheni hizo bwana. Utakuta ni mtu kabisa anamtaja mpaka Mwenyezi Mungu lakini anachuki kubwa hivi .
Kuna shida gani Prof.Jay akagharamikiwa matibabu halafu akipona ndipo tukamwambia Rais kuwa wapo wengine wanaohitaji Matibabu pia?
Hivyo unavyoviita vimedia uchwara ndivyo vilivyosikika hadi Ummy katoa neno.Vimedia uchwara vinatufaa cc wanyonge kwani havibaguiMichango isitishwe sasa
Maana kwenye vimedia uchwara
Naona watangazaji washaanza...
Kuwaomba watu watoe hela
Ova
ndipo tukamwambia Rais kuwa wapo wengine wanaohitaji Matibabu pia?
Neno roho mbaya limekaa karibu sana mdomoni mwako.Kwa hiyo akiachwa ndio hao wengine watatibiwa.
Acheni kujenga Taifa la watu wenye roho mbaya. Mnaeneza chuki lakini hazitawaacha salama.
Serikali imefanya jambo jema sana.
Kumbe Kuna watu wenye roho mbaya wengi sana kwenye nchi hii. Nilikua siamini ili ni wazi kuwa watanzania Kwa Sasa ni Taifa lenye watu wenye roho mbaya sana.
What difference does it make 🤷 ni wivu tu mtakuja kumchawia hata age basi ili mfurahi.Hiyo sio nongwa. Tatizo sio yeye kusaidiwa. Asaidiwe privately.
Ni discrimination kutumia pesa ya umma kumsaidia mtu mmoja ilhali watu wengine walio katika situation kama yake wakiachwa kujipigania wenyewe!
Alilipwa kwa kazi zake, na Wala haidai serikaliHuYu alikuwa Kiongozi na mwakilishi Rasmi wa Wananchi kwa miaka 5. Alifanya Mengi kwa maendeleo ya Wananchi wa Jimbo lake.(Mbunge).
Alishalipwa!Ametumikia wananchi kwa muda mrefu
Ni kwamba umasikini na wivu unazaa uchawi ndio unaona humu asilimia kubwa sana wana hizo tabia na ndio jamii yetu walozi watupuHakuna kitu nachukia kama hiki.
Unataka tuamini kuwa alipotembelea Muhimbili wagonjwa wengine walikuwa wameruhusiwa kwenda nyumbani akamkuta Prof peke yake?Waziri aanze sasa kupitia mahospitali kuangalia wote wasio na uwezo ili serikali igharamie matibabu....
Msiopaniki ni nyie msioona na kuchukia uozo wa serikali wa upendeleo na unyanyasaji wa raia!Kuna watu wamepanic jamaa kutibiwa na serikali
Watanzania tubadilike, wewe na hao ndugu mliowataja kila siku mnayapigania maisha yenu wenyewe tena wengine hata maisha ya ndugu wa tumbo moja hamna muda nayo.. yeye katika kupigania maisha yake pia aliwekeza kwenye jamii kwa kuwagusa watu mbalimbali hasa kwa kutumia kipaji chake, muache avune alichopanda na wewe kwa nafasi yako gusa maisha ya watu na wewe watu wataguswa na maisha yako acha nongwa. Hapo chini kuhusu bima umenena vyema ila sio kubeza kusaidiwa kwake kwani wasanii wangapi wanaumwa kwa nini Profesor J.. Kila mtu atavuna alichopanda.Watanzania walivyo wapumbavu watashangilia na kuruka ruka huku wakibinua makalio kana kwamba waziri ametatua changamoto ya afya kitaifa.
Jiulize wewe, mtoto au mzazi au ndugu yako akiumwa atapata hiyo favour?au ni wale waliokula keki ya taifa wanaipata hiyo neema peke yao?
Tunahitaji kupaza sauti juu ya bima ya afya kwa kila raia wa Nchi hii. Ni heri tutumie fedha kuhudumia afya ya za wananchi wetu huku wakiwa wanapita kwenye barabara zenye foleni kuliko kuwapitisha kwenye flyover wakiwa ndani ya jeneza.
Duuh watu munawaza kijinga Sana!Bahati ya mwenzio usimuonee wivu! Kumbuka alikuwa Mbunge na pia ni maarufu nchini!
Ule usemi wa aliyenacho huongezewa na asiye nacho hata kile kidogo alichonacho hunyang'anywa ndio unatimia kwenye mazingira haya.Ila wanyonge wasiothaminika katika nchi wananyimwa fursa ya kuchukua na kwenda kuzika miili ya wapendwa wao pindi wanapofariki katika hospitali hizo hizo za umma licha ya kutamka hadharani kuwa hawana pesa za kulipa kutokana na umasikini wao.
🤔
Upumbavu tu nahangaika na mgonjwa wa cancer hii taarifa imenikosesha raha kabisa.hii sio sawa, anatibiwa kama nani..
gharama za wagonjwa wengine hapo muhimbili wasio na mbele wala nyuma nazo Serikali itazibeba? tuwe serious kidogo.
Mimi mmoja waoKuna watu wamepanic jamaa kutibiwa na serikali
Huduma za afya bongo ghali sana walala hoi wengi wanateseka mm ndugu yangu amefanyiwa operation ya kichwa hapo Moi lakini ameshindwa kupata uchunguzi zaidi na huduma nyingine baada ya kutoka ICU sababu bado ana deni ikapelekea arudi tu tujikusanye aende tena . Na tulikutana na mwamba mmoja hana kitu katoa pesa na anadaiwa mgonjwa bado hajapona jamaa akafikia uamuzi amtelekeze mgonjwa asepe maana hana hata mia ya kuanzia.another wasted sperm,
kwani serikali haijui kuna hao 'wengine' wakikata roho kila kukicha hapo hapo Muhimbili (na kwengineko) huku wakikosa hata 10k ya matibabu ?