Soma vizuri ukiona nilipo laumu unitag.
 
hii sio sawa, anatibiwa kama nani..

gharama za wagonjwa wengine hapo muhimbili wasio na mbele wala nyuma nazo Serikali itazibeba? tuwe serious kidogo.

Hao wengine serekali haiwezi kupata kick. Ule mpango wa bima ya afya kwa kila mwananchi umeishia wapi? Au bi utapeli as usual?
 
Gharama za matibabu ya Mh. Lissu mtatoa ama hamtoai?

Haya yapo kisheria wala si hisani yenu nyie wana Lumumba.
 
Pamoja na kuwa mbunge wa upinzani hakuwa mtu wa mihemko kama kina rema kina msingwa, alifanya anachoona kina maslahi kwa taifa ndio maaana Leo hii Kila mtu unaona anasupport Kila kitu kinachosemwa kuhusu kupigania afya yake.

Siasa si uadui
 
Pamoja na kuwa mbunge wa upinzani hakuwa mtu wa mihemko kama kina rema kina msingwa, alifanya anachoona kina maslahi kwa taifa ndio maaana Leo hii Kila mtu unaona anasupport Kila kitu kinachosemwa kuhusu kupigania afya yake.

Siasa si uadui
Chadema wala familia ya J haikushindwa kumtibu mtu wao , Kujichomeka kwa serikali ili ipate huruma ya wananchi kusikupumbaze .

Tumenyamaza kwa sababu maalum
 
Kamanda mnyenyekevu sana akiwa bungeni aliongea kwa busara na hekima muda wote, upone haraka comrade
 
Hii baada ya Chadema kutangaza kuwa wamekusanya milioni 15 kwa ajili ya tiba yake? Ninawashauri wasiziguse kwa kuzingatia yakiyompata mbunge wao mwingine ambae Ummy aliahidi kuwa serikali itagharamia matibabu yake kokote duniani.

Amandla...
 
Ni muda wa wasanii chipukuzi kujua kuwekeza.

Kwamba Haule ameshindwa kuwekeza kwenyw afya?

Ameshindwa hata Silver plan ya bima achilia gold plan.

Hadi napata ukakasi nini kinachomsumbia hadi serikali iingie kati kulipia matibabu yake.
 
Mara nyingi kwa Research yangu wagonjwa mahututi ambao selikali iliwahi kuingilia kati na kuwatibu kwa gharama za selikali Waliishia kufa.. Bora tu wangeachwa watu Wachange..
 
Jambo lililo jema zaidi ni kutowasahau na Watanzania wengine wasio na majina/ maarufu.

Au wao sawa tu wakiachwa wajigharamie matibabu yao wenyewe?
Kila mmoja ashinde mechi zake, waambie ba wao wapambane wawe maarufu.
 
Prof. Jay ni tone tu kwa mamilioni wanaohitaji msaada wa matibabu angalau ya panado, serikali isijifiche kwenye kichaka cha kugharimia matibabu ya mbunge mstaafu badala ya kuboresha huduma za afya na kuzifanya kuwa nafuu kwa wote.......haingii akilini hospitali ya muhimbili kutoza bei kubwa za matibabu na vipimo huku tukijua kwamba ni hospitali ya umma ambapo vifaa na wataalamu wanalipwa na serikali kwa kodi za wananchi.
 
ujumbe mzito sana huu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…