Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
CHEERS! Huu ndio uungwana.Bado TEC+MWABUKUSI , SILAA, wanaendelea kua Mashujaa wa Taifa hili.
Hili limethibitishwa na Makamo wa Rais, kukiri ya kwamba, wamesikiliza maoni ya Watanzania, na hatimaye wamekuja na Mikataba hii!!.
Mwabukusi Oyeeee
Wewe shida hata usikilizi kinacho ongelewa hapo na ni wazi mkataba umefanyiwa marekebisho na mkuu wa bandari kasema wazi maoni ya wananchi yamezingatiwa …au wewe usikilizi?Saaa yale mpovu ya Chadema, Mdude na Slaa na wanaharakati uchwara walikuwa wanatuamisha nini.
Tupate nakala kama inawezekana.....hatimaye wamekuja na Mikataba hii!!.
Kama maoni yamesikilizwa kwanini wapinge? Kutoka milele hadi miaka 30 hakuna atakayepinga kama ni kweli kinachosemwa…uzuri tuone huo mkataba ulivyobadilishwaNaona viongozi wa TEC nao hawapo nyuma hawataki kuachwa na uwekezaji huu wenye manufaa makubwa ya nchi yetu.
Wewe ulitakeje kuhusu Bandari?Pesa ya Gesi ya Mtwara imetumiwa wapi?
Pesa ya Mgodi GGM imetumiwa wapi?
Fedha ya Tanzanite umeiona wapi?
Deni la Trilioni zaidi ya 60 kwa miaka 2.5 imetoka wapi kama tuna fedha?
Fedha zaTANAPA zimekwenda au zinatumika wapi?
Am very sorry to say that, some youth are using their "tool to sit" in other words 'bataks" to think and reason.
Watumishi wa sasa wa TPA watakuwa na nafasi ya kuchagua kubaki TPA au kuhamia kampuni ya DPW.
Pata nakala kwanza ya kilichosainiwa Leo, ujiridhishe. yawezekana Ritz yupo sahihi.Wewe shida hata usikilizi kinacho ongelewa hapo na ni wazi mkataba umefanyiwa marekebisho na mkuu wa bandari kasema wazi maoni ya wananchi yamezingatiwa …au wewe usikilizi?
Cha msingi mama yako amesikiliza maoni ya wannchi na TEC kama kutoka milele hadi 30 sio mbaya kabisaHii siku nilikuwa nnaingoja kwa hamu na shauku kubwa sana.
Pia, mwekezaji atalipa kodi zote za Tanzania kwa mujibu wa Sheria za Tanzania, sheria za Tanzania ndio zitatumika katika kutekeleza mkataba huu na serikali itakuwa na haki ya kujiondoa kwenye mkataba ikiona inafaa.
Kwa andiko hili kuanzia leo na ku ignore kumbe wewe ni mjinga kiasi hiki? Sikutegemea kabisa kuwa unaweza kuwa na mawazo kama haya kichwani kwako.Naangali hapa hafla la utiaji saini mkataba wa Bandari,
Kuna mzungu anamwelekeza mwarabu nini Cha kufanya,
Na aliposaini mahala pake, anakataa kwenda kupata picha ya pamoja.
Sasa naelewa, nyuma ya Mwarabu wa DP World yupo mkoloni wetu.
HAKIKA, kumbe Mwarabu ni kibaraka wa mzungu.
Bado Tutaona mengi.
Na maoni yamezingatiwaNi kwa Sababu swala la Bandari limeshatamatishwa kwa Mikataba kusainiwa
Hivyo Chadema wasiendelee kuwachuuza Watanzania Wao waendelee na mambo yao mengine ikiwemo kuelimishana kuhusu faida za Nusu mkate na SUK
Nawatakia Operesheni +255 Njema 😄😄😂
Haya mambo kwako mama ni mazito ni sawa na kumpiga chuma jiwe. TEC hawawezi kuudhuria kama vile vifungu walivyovikataa havijafanyiwa marekebisho, hiyo ni sawa na kujipaka kinyesi. Hapo vipengere vimesharekebishwa na wameviona jinsi vilivyorekebishwa na ndio maana wamehudhuria. TEC noma.TEC nawaona na vibandiko vyao vya pinki.
Umewashuka.
Nadhani unatamani conflict. Ila wenzio walisikiliza maoni, wakarekebisha sasa kazi inaanza.
Mimi namsikiliza mkurugenzi wa TPA na tunaamini anachokisema ni kweli kuwa wamesikiliza maoni ya watu ..sasa ni miaka 30 sio mia au milele…lakini bado tutakuwa na shauku ya kuona hayo marekebisho!Pata nakala kwanza ya kilichosainiwa Leo, ujiridhishe. yawezekana Ritz yupo sahihi.
Nikweli maoni yetu serikali imeyasikia na watanzania wote. Hii ni serikali sikivu tufanye maendeleo sasa watanzania.Bado TEC+MWABUKUSI , SILAA, wanaendelea kua Mashujaa wa Taifa hili.
Hili limethibitishwa na Makamo wa Rais, kukiri ya kwamba, wamesikiliza maoni ya Watanzania, na hatimaye wamekuja na Mikataba hii!!.
Mwabukusi Oyeeee