Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
CHEERS! Huu ndio uungwana.Bado TEC+MWABUKUSI , SILAA, wanaendelea kua Mashujaa wa Taifa hili.
Hili limethibitishwa na Makamo wa Rais, kukiri ya kwamba, wamesikiliza maoni ya Watanzania, na hatimaye wamekuja na Mikataba hii!!.
Mwabukusi Oyeeee