TUJITEGEMEE
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 25,225
- 25,488
Mama kasema kilichosainiwa Leo kimetokana na Yale yaliyoridhiwa na Bunge, baraza la mawaziri na ushauri wa Mwanasheria Mkuu.lakini bado tutakuwa na shauku ya kuona hayo marekebisho!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama kasema kilichosainiwa Leo kimetokana na Yale yaliyoridhiwa na Bunge, baraza la mawaziri na ushauri wa Mwanasheria Mkuu.lakini bado tutakuwa na shauku ya kuona hayo marekebisho!
Aisee wameachana na IGA ya wahuni wa dubai......this is IGA ilitoboreshwa......nimefurahi.Safi sana.
Asante Yesu nchi yetu sasa imejifunza kuweka siasa za uzandiki pembeni na kuanza kufanya mambo ya msingi kwa maendeleo ya kweli
Kazi iendelee
Vilevile, Ishukuru serikali kwa kufanya marekebisho kwa vifungu kandamizi vya mkataba ambavyo TEC walivishinikiza virekebishwe.Tunashukuru kwa TEC kuunga mkono serikali .Mama samia anaupiga mwingi 2025- 2030 twende na Samia.
Sisi tunajua ni ushauri na upinzani wa Wananchi na tasisi imara za wananchi zilisama kidete.Mama kasema kilichosainiwa Leo kimetokana na Yale yaliyoridhiwa na Bunge, baraza la mawaziri na ushauri wa Mwanasheria Mkuu.
Ulisaniwa miaka 100 au maisha?Sauti ya Wachache isikilizwe, imesikilizwa, hilo tu.
Mkataba ushasainiwa , unaniuliza PAST IMPOSSIBLE TENSE.
Kwa hiyo wewe unabishana na bunge na wabunge? Sio miaka mia ulikuwa ni mkataba wa milele! Hapa hatuongelei tetesi ni jambo lililojadiliwa bungeni kabisa sio swala la wapinzani!Huo mkataba wa miaka 100 na milele haujawahi kusainiwa usipotoshwe na porojo za wapinzani
Unataka utumiwe nakala?Kilichosainiwa leo Mbona hatujakiona?
Hivi mtu anaye sema TEC hawajasikilizwa anaakili timamu kweli?
Kwani TEC walipinga au TEC walitaka mkataba ufanyiwe maboresho na ndio matokeo yanayoonekana sasa
Uweke JfUnataka utumiwe nakala?
Tundu Lissu aliwanyosha sana kwenye kipengele hiki.Pia, mwekezaji atalipa kodi zote za Tanzania kwa mujibu wa Sheria za Tanzania, sheria za Tanzania ndio zitatumika katika kutekeleza mkataba huu na serikali itakuwa na haki ya kujiondoa kwenye mkataba ikiona inafaa.
Tec vilaza tuTec sijui watakua wap leo na Kale kababu
Ule upo na unaedele kuwa ni muongozo wa mikataba mingine yoyote itakayokuja.Na ni vyema tukauona kama tulivyo uona ule wa mwanzo wa milele
wapo, mashavu yamewashuka kama soksi zilojaa tope.Tec sijui watakua wap leo na Kale kababu
Samia nomaaMama anajuwa kweli kweli. TEC wamealikwa washuhudie.
Utakiona baadaye; mbona una papara?Kilichosainiwa leo Mbona hatujakiona?
Siyo kesi jamani basi TEC wamesikilizwa na watanzania wote wamesikilizwa mpaka mwambukuzi amesikilizwa. sasa kazi ni moja tuendelee kuchapa kazi na kumuunga mkono rais wetu Mama jembe samia suluhu hassan.Hivi mtu anaye sema TEC hawajasikilizwa anaakili timamu kweli?
Kwani TEC walipinga au TEC walitaka mkataba ufanyiwe maboresho na ndio matokeo yanayoonekana sasa
Wamealikwa, waje kumeza kwa vitendo majibu ya mama Samia.Naona viongozi wa TEC nao hawapo nyuma hawataki kuachwa na uwekezaji huu wenye manufaa makubwa ya nchi yetu.