Wangerekebisha kanisa lingetwambia, kwa kuwa kanisa halijatuambia basi serikali imepuuza wananchi, kanisa, na watalaamu wote waliopinga mkataba huu.
 
Si ni nyie mlisema IGA ndo mkataba mama HGA haiwezi kwenda kinyume na IGA? Mmebadili gea angani tena.
 
Si ni nyie mlisema IGA ndo mkataba mama HGA haiwezi kwenda kinyume na IGA? Mmebadili gea angani tena.
HGA na IGA ni vitu tofauti haviingiliani kabisa.

Mfano wa HGA ni kama vile wewe aje mgeni iwenu halafu umpe kanuni za hapo kwenu mfano umwambie, hapa ukienda matembezi kurudi mwisho saa tatu usiku, mlango unafungwa, wanafunguliwa mbwa wa ulinzi, hatoki mtu kukufungulia baada ya saa tatu usiku.

mgeni akikubaliana na masharti hayo halafu akichelewa kurudi aking'atwa na mbwa hakuna wa kumlaumu.

Huo ndiyo mfano wa HGA kwa mlioenda shule kusomea ujinga.
 
Dangote alivyoanza oparesheni simenti alikua anauza elfu 7 kwa mfuko, hiyo ilikuwa ni Dar mwaka 2016, ila makampuni yaliyokuwepo tayari yakashinikiza kuwa bei ipande na kuwa elfu 11 kama wanavyouza wao, ikabidi Dangote afuate nyayo zao.
Mwenyekiti wa kampuni ya Taifa Group, Rostam Aziz amekutana na Rais wa Zambia, Haikande Hichilema na kufikia makubaliano ya kuwekeza katika kuzalisha jmeme wa kutumia gesi nchini humo.

Rostam alikutana na Rais huyo katika Ikulu ya Lusaka Zambia jana Ijumaa akiwa ameandamana na… twitter.com/i/web/status/1…
 
Hakuna mkataba uliosainiwa kabla ya huu.
 
Sasa kama kila kitu kimerekebishwa mdude kwanini anaendelea kusema maandamano ya kupinga kuuzwa bandari yapo palepale tarehe 9 November? Huyu mdude ni kichaa?
 
Tunashukuru kupata za ndani haya DP-WORLD waingie kazini tuchape kazi. Mama samia anaupiga mwingi sana 2025 - 2030
 
Sio kweli kwani mkataba uliosainiwa leo ni kati ya TPA na DPW usichanganye makubaliano na mkataba
 
Wameshushuka shuuu, wanajitowa kimasomaso tu.

Wamechelewa jamvini karamu imeshaliwa.

Leo yalikuwa yamenuna kweli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…