Mkataba waliyoingia serikali na dp world kuhusu uendeshaji wa bandari ni kati ya vitu vilivyonifurahisha sana wiki hii nadhani hata akina mwambukusi na mdude sasa hv watakuwa wamefurahi maana asilimia kubwa waliyoyataka ndio yapo kwenye mkataba na wamechangia pakubwa inawezekana wangekuwa kimya mkataba ungekuwa tofauti na huu,utoaji wao wa maoni rais amewasikia kilichobaki kuwapa support wawekezaji nchi isonge mbele
 
Binuka nikubamize kwa mpalange.
Haiiii nawe kila goli likiingia kunako nyuma wewe ni Binuka nikubamize tuuuu kwani basi hata kama nakukoboa vizuri badilisha basi maneno ya mahaba nami nijisikie nipo kunako Mnanato πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ Jamani Utanisameee My Beibi kama nimekukwaza I Lavyuuuuu mwaaaaaaa
 
Binuka nikubamize kwa mpalange.
 

..watawekeza usd 250 million.

..sasa hebu jiulize kama Tz haina fedha hizo.

..huu ni ULAJI tu wakubwa serikalini wametengeneza.
 
Hivi na hizo Corridors mbili ya Southern hadi Tunduma na Central hadi Rusumo zimo kwenye utiaji wa Kidole Akhui?

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…