Habari zenu.
Napenda kumpa pongezi raisi wetu wa Tanzania MAMA SAMIHA SALUHU,Na viongozi wote waliohusika kwenye kupambana mkataba huo.
Kwanza mkataba ni wa miaka 30 sio mkataba wa miaka 100 kama tulivyokuwa tunadanganywa na watu wenye chuki ya maendeleo.
Pili mkataba unabadilika kila baada ya miaka 5,ambapo tunakaa chini na hao D.P WORLD na kudiscuss jinsi ya kuiboresha mkataba kila baada ya miaka 5. Na kama tukiona huo mkataba hautufaidishi tunaweza upiga chini na kuachana nao na hakuna atakuaye pata hasara maana ni kipengele kilichopo kwenye mkataba huo.
Tatu mkataba umeegemea kwetu kwa kiasi kikubwa,asilimia 60 mpaka 70.
. Faida tukazopata kwenye huo mkataba.
1.Uwepo wa ajira za kutosha.
2.Bandari itatengenezwa vyema
3.Pesa tutakazopata zitaenda kuleta maendeleo kwenye sekta mbalimbali,mashuleni,mahospitalini kila sekta itanufaika.
Kwa nchi zinazoendelea bandari ni kitu cha muhimu sana,wenzetu wa Kenya wameboresha bandari yao ya Mombasa vyema na imekua bandari kubwa Africa,na sasa wanajenga nyingine lamu,wanapokea meli kubwa za kila nchi na kuna mataifa wanatumia bandari hiyo kushusha mizigo yao,wametupiga bao sana.
Tumsupport raisi wote,maana anaupiga mwingi.