Gift mzalendo
JF-Expert Member
- Dec 13, 2019
- 1,856
- 2,417
TEC ilishatekeleza wajibu wake wa kushauri serikali , na serikali imezingatia baadhi ya Mambo ,Waraka unakuwa toilet paper sasa.
Waraka utabaki kuwa kumbukumbu ya VIZAZI vijavyo ukionyesha Nia njema ya TEC kwa taifa lao