Utiaji saini Mkataba wa Tanzania na DP World: Mkataba utakuwa wa miaka 30 na utendaji kazi wake utapimwa kila baada ya miaka 5 na sio miaka 100
TEC walisema raia hawataki hui mkataba nchi imeuzwa mkataba wa miaka 100.
Mkataba umefanyiwa marekebisho ndugu, umeambiwa wamesikiliza maoni ya watz na ndio maana unaona kunatofauti
 
Japo mrisho mpoto alijaribu kuchafua press ya watu kwa usaanii duni wa uchochezi japo kuna uelekeo wa ukweli.

Eti anasema wale wa mwanzo kabisa kukupinga kwa nguvu zote kuhusu mkataba huu leo hii nao wapo hapa kushuhudia mkataba huu ukisainiwa 🤔
Huyo Msanii Serikali Inamkumbatia
 
Za ndani kabisa zinasema waraka wa TEC umepuuzwa. Haya TEC ifanye kama inajikuna tuone!!

Jamani tupambane kupata katiba mpya. Kwa katiba hii rais ana uwezo hata wa kuwafunga jela TEC wote na asifanywe kitu
Waraka wa TEC umepuuzwaje kwa mfano hapa? Hebu chungulia hapa
JamiiForums-1147096054.jpg
 
hiyo ni hela ndogo sana. kwasababu tulishakopa pesa mara nne zaidi ya hiyo toka world bank, na hatujuiipo wpai na ilikuja kwa ajili ya bandari hiyohiyo.

Hapo ina maana kwa US$250 milioni hakuna kreni mpya zitakazonunuliwa, DP World watatumia mgongo wa maboresho yaliyofanywa na serikali ya Tanzania kuongeza wanachoita ufanisi
 
Japo mrisho mpoto alijaribu kuchafua press ya watu kwa usaanii duni wa uchochezi japo kuna uelekeo wa ukweli.

Eti anasema wale wa mwanzo kabisa kukupinga kwa nguvu zote kuhusu mkataba huu leo hii nao wapo hapa kushuhudia mkataba huu ukisainiwa 🤔
Hhahaaa
 
TEC kwisha na Mjomba Mpoto akawapa za uso live

Vp waraka leo umesomwa kwa mara ya ngapi na kanisa takatifu la Mitume
Ccm wanazo mbinu za ushindi [emoji817] walisha tumia 70 na hii ya kuwabwaga watu wa loma ni ya 71[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Japo mrisho mpoto alijaribu kuchafua press ya watu kwa usaanii duni wa uchochezi japo kuna uelekeo wa ukweli.

Eti anasema wale wa mwanzo kabisa kukupinga kwa nguvu zote kuhusu mkataba huu leo hii nao wapo hapa kushuhudia mkataba huu ukisainiwa [emoji848]
Serikali inayo miimili 3 lakini 1 umejichimbia chini kuliko yote[emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]
 
Back
Top Bottom